USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Mpaka mjue hamjui , JPM was raisKuna Mtu kanitonya Tozo nyingine yaja!!
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mjue hamjui , JPM was raisKuna Mtu kanitonya Tozo nyingine yaja!!
Msamehe huyo anaishi kwa shemeji yake...Nani kakwambia tozo zimewekwa kwa sababu za kisiasa? Ni mvivu wa kufikiri pekee ambaye anawaza siasa kwa kila jambo.
Sikutarajia kama uwezo wako kifikra upo hivyo.
Wengine walikuwa wanasema Mama anaifungua nchi. Na ameifungua kweli kweli.Kabisa mkuu alisema wacha afe wakafanya sherehe, mama anaupiga mwingi Kama Messi. Mpaka Sasa Ana assist 200 na ni dk ya 10
USSR
Mkuu USSR , hapa jF kuna sisi wanaCCM tusiokuwa bendera fata upepo alafu kuna wewe whistle blower wa CCM ambaye huna lolote unaloweza kupinga zaidi ya kushangilia.Mkuu hivi ni kweli pesa inakwenda zanji sio chato tena
USSR
Zulumati wa NSSFMpaka mjue hamjui , JPM was rais
USSR
Vipi pesa za ruzuku za CHADEMA huwa mnazitumiaje au zile za michango ya majukwaani,wako wapi watetezi wenu wa katibaTatizo la waafrika ni ubinafsi na hatutaendelea hadi dunia inaisha hakuna kiongozi aliopo kwaajili ya raia wake hivi kama nchi haina hela kwanini tunaendelea na zigo la wabunge wasio na tija wanaolipwa mamilioni ya hela kwanini wasipunguzwe kila mkoa ubaki na mbunge mmoja tuuuuuuu???
Tunachekelea pembeni tu.Eti magufuli dikiteta Mungu amewawafuta machozi
USSR
Sasa mnalialia nini na tozo ,lipeni CHADEMA ipate ruzukuNani kakwambia tozo zimewekwa kwa sababu za kisiasa? Ni mvivu wa kufikiri pekee ambaye anawaza siasa kwa kila jambo.
Sikutarajia kama uwezo wako kifikra upo hivyo.
Mtu anakaa kwa shemeji atajuwa nini zaidi ya kujamba jamba...Mkuu USSR , hapa jF kuna sisi wanaCCM tusiokuwa bendera fata upepo alafu kuna wewe whistle blower wa CCM ambaye huna lolote unaloweza kupinga zaidi ya kushangilia.
Katika hili serikali imekosea Sana mkuu.
Nyambu nyambu , tunapigwa kisenge kisenge sana na CCM.Muda si mrefu watatuletea na Tozo za pumbu Sasa🤒.
Mzee wewe hauko Tanzania? Unafurahia nini? Mana hii hali sio nzuri matatizo yakizidi sana katika jamii anything can happen kama hawafahamu.Vipi pesa za ruzuku za CHADEMA huwa mnazitumiaje au zile za michango ya majukwaani,wako wapi watetezi wenu wa katiba
USSR
Hahaha mpaka wanyooke dadadeki....Kuna Mtu kanitonya Tozo nyingine yaja!!
Samia Samia mh rais wangu unajua kazi maana Kodi za majengo zilikuwepo tangu zamani wabongo walikuwa hawalipi Sasa ni juu kwa juuWote hovyo tu
Ataacha kizurura ndege zikichakaa mkuuUmejuaje hizo busara alipewa? Maisha yamepanda ghafla kiongozi nikuzurura nchi zawatu hajui mambo ndani yanavyoharibika!! Mafuta yakula/petroli juu,nyama juu,mitandao tozo, luku juu kilakitu kinapanda naye haoneshi umakini wwte!! Hopeless kwakweli tuna wazubaaji wawili pale juu watatuchelewesha mmmno
2000 mzee babaSi walisema wanakata Buku 1 kwa mwezi ,why wakate elfu 2? Mimi natumia solar huku porini so sijui hayo makato.
Tunajenga nchi wananchi lazima waumie kidogoAtaacha kizurura ndege zikichakaa mkuu
Ushabiki wa vyama usikutie upofu. Tumia akili. Kujipendekeza huku na unafiki ndiyo maana hata huwezi kushauri mambo ya msingi.Sasa mnalialia nini na tozo ,lipeni CHADEMA ipate ruzuku
USSR
Nchi inajengwaje kwa ufujaji huu wa pesa?Tunajenga nchi wananchi lazima waumie kidogo
USSR