Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Hii nchi imeshakuwa ngumu kuishi! Cha kushangaza hao wanao pitisha hizi sheria kandamizi, wenyewe wanaishi kwenye nyumba za bure! Huku wakilipiwa bili zote!!!

So sad 🙁
Ndio tuamke sasa tuonyeshe hii nchi ya kwetu sote na sio watawala tu
 
Wahuni sana hawa watu. Bahati nzuri uongo kwao unalipa kuliko ukweli.

Yaani wanatuona waTZ mazuzu hatujui kitu.....Wameleta matozo yao yameshusha miamala sana mtu alikuwa anapata commision hdi laki 6 lakin wakala sasa anacheza na commision ya laki na ushee!!
 
Wewe msubilie lisu wako siku akiwa rais atashusha

USSR

Mtajijua nyinyi na serikali yenu ya kijani ,uzuri hayo matozo yenu yasiyo na kichwa wala miguu yana option! mtu akizidiwa hatumi fedha anapeleka kwa basi na vile vile kuna option ya solar kukimbia hiyo elfu 12 yao ya kodi.
 
Huu SASA ndo wizi mkuu, badala ya buk ya Kodi ya nyumba Kwa kila Luku, SASA wameiweka buk 2?

Ndio nashangaa maana jana nimemsikiliza ofisa wa TRA kitengo cha limu kwa mlipa kodi alitamka wazi kabisa ni elfu 1 kwa mwezi kwa nyumba za kawaida.
 
Mtajijua nyinyi na serikali yenu ya kijani ,uzuri hayo matozo yenu yasiyo na kichwa wala miguu yana option! mtu akizidiwa hatumi fedha anapeleka kwa basi na vile vile kuna option ya solar kukimbia hiyo elfu 12 yao ya kodi.
Tuna lipa Kodi kila siku kwenye mishahara na biashara tumezoea ,shida wezi wa ruzuku nyie mnalialia

USSR
 
Yaani wanatuona waTZ mazuzu hatujui kitu.....Wameleta matozo yao yameshusha miamala sana mtu alikuwa anapata commision hdi laki 6 lakin wakala sasa anacheza na commision ya laki na ushee!!
Biashara za kulipa kwa mtandao zinakufa, biashara hizo zilikuwa zikiingiza pesa kupitia kodi, usafirishaji na kutoa ajira kwenye marketing channel zake.
Ilikuwa rahisi kumtumia mtu hela hata kwa jambo dogo unapokuwa unajisikia kufanya hivyo. Yote hiyo ni mzunguko wa pesa.
Sasa wanatufanya tusipendane. Maana hakuna kupendana bila kusaidiana kwa mambo madogo madogo.
Kwenye makampuni ambako walikusanya kodi biashara inakuwa ngumu.
Ni mapema sana kusema, lakini mpango huu athari zake baada ya muda ni kubwa kwa uchumi, huku mahusiano ya jamii na serikali yakibaki kuwa tete. Sijui tuna wachumi wa aina gani hawa!!

Sisi kazi yetu kulipa, nao tutawadai huduma na maendeleo.
 
Marehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.

Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.

Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".

Au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu nsdiye alileta haya matatizo. Angekua na akili angeunda mfumo na sio kuunda bunge la kumuongezea muda wa kutawala.
 
Leo asubuhi nilikua Kibaha nikadhani labda huku Ni Kama Mbagala utumbo Ni rahisi ninunulie huku. I could not believe my eyes. Utumbo Kibaha Ni 6,000 per kg.
Utumbo wa ng'ombe.
 
Biashara za kulipa kwa mtandao zinakufa, biashara hizo zilikuwa zikiingiza pesa kupitia kodi, usafirishaji na kutoa ajira kwenye marketing channel zake.
Ilikuwa rahisi kumtumia mtu hela hata kwa jambo dogo unapokuwa unajisikia kufanya hivyo. Yote hiyo ni mzunguko wa pesa.
Sasa wanatufanya tusipendane. Maana hakuna kupendana bila kusaidiana kwa mambo madogo madogo.
Kwenye makampuni ambako walikusanya kodi biashara inakuwa ngumu.
Ni mapema sana kusema, lakini mpango huu athari zake baada ya muda ni kubwa kwa uchumi, huku mahusiano ya jamii na serikali yakibaki kuwa tete. Sijui tuna wachumi wa aina gani hawa!!

Sisi kazi yetu kulipa, nao tutawadai huduma na maendeleo.
Elfu 12 tu ndio unakufanya uliekiasi hiki,humu jf mnajifanyaga mna pesa leo mnalialia tu

USSR
 
Ameandika Evans Rubara

I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.

View attachment 1900475
Au wamekata ya July na August?
 
Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa

Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19

Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Dah!soo sad 😒,elfu 10 nzima inaenda kwenye makato!
 
Mwigulu na mpango sera ya kubwa kodi ya kinyonyaji,life ilivyo tough kipindi hiki cha c19 nchi nyingi zinapunguza gharama kwa wananchi wao TZ yangu ndio inazidi kuwabebesha zigo la miba wananchi wake!
Hivi haya mambo kwanini yamekua shida zaid baada ya kuingia mtaalamu wa uchumi Mwigulu???
 
Back
Top Bottom