USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Tunajenga nchi sisiDah!soo sad [emoji19],elfu 10 nzima inaenda kwenye makato!
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajenga nchi sisiDah!soo sad [emoji19],elfu 10 nzima inaenda kwenye makato!
Ngoja wajidai ni wazalendo wao watemebelee veiti,walale kwa 5* hotel.wakafanyiwe masaje na watt wa kiarabu. Watt wao wakisoma uk USA German,feza ,ist wa mwigulu yupo feza wa kwako yupo za bure.Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa
Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19
Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Kabisa Mkuu ...popote alipo abebe huu mzigo....Huyu nsdiye alileta haya matatizo. Angekua na akili angeunda mfumo na sio kuunda bunge la kumuongezea muda wa kutawala.
Kuna mwanangu mmj kaniambiaBasi walitulisha tango pori ,walisema kodi ya nyumba za kawaida imepanda kutoka elfu kumi kwa mwaka hadi elfu 12 kwa mwaka na italipwa kila mwezi elfu 1 ,ila kama ghorofa kila floor ni elfu 5 means 60000 kwa mwaka kutoka elfu 50.
Sasa Sasa sisi tunaonunua wa buku mbili ndio basi tena dahNi kweli wanakata 2000, huyu bibi aisee
View attachment 1900539
Na iwe kweli InshaAllah..!🙏🏾🙏🏾Mpango mahututi siku yoyote bendera nusu mlingoti
mtanikumbuka bu JPMWalimuombea JPM afe wapate Uhuru Sasa ndio huu
USSR
safi sana hii. JPM mlikuwa mnamtukana kila siku humu,Unajiona wa sayari nyingine, itakuwa heri kama unaishi maisha yako na siyo haya ya JF.
Kuna kodi ya kisima cha maji ukichimba kwako, na hiyo solar wataweka kodi tu Hawa walafiMtajijua nyinyi na serikali yenu ya kijani ,uzuri hayo matozo yenu yasiyo na kichwa wala miguu yana option! mtu akizidiwa hatumi fedha anapeleka kwa basi na vile vile kuna option ya solar kukimbia hiyo elfu 12 yao ya kodi.
hii nchi JPM ndio alikuwa anaiweza peke yake. nakumbuka libya, baada ya kufa gadafi cha mito wanakiona sasaTatizo la waafrika ni ubinafsi na hatutaendelea hadi dunia inaisha hakuna kiongozi aliopo kwaajili ya raia wake hivi kama nchi haina hela kwanini tunaendelea na zigo la wabunge wasio na tija wanaolipwa mamilioni ya hela kwanini wasipunguzwe kila mkoa ubaki na mbunge mmoja tuuuuuuu???
Achen Magufuli apumzikeeHuyo jamaa ni boya tu, yule Mzee aliefariki alikuwa na madhaifu yake ila sidhani kama angewahi kuruhusu huu upumbavu kwenye serikali yake.
Ninachoamini huu ni kwanzo tu,kuna mabaya mengi yanakuja mbele ya Safari.
Hivi kumbe wanaCCM hata nyie mnalipa hizi tozo !Mama anaupiga mwingiii
Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Mmmh wewe unapataje unit 50.6 kwa 20K?
Mimi huwa napata units 30.6
Habari za jioni wateja wetu.
Kuanzia leo sheria ya kulipa kodi ya jengo kupitia manunuzi ya umeme imeanza kutekelezwa.
Kwa hiyo mteja akinunua umeme atakatwa shs 2000 ikiwa ni kodi ya Jengo inayodaiwa na Tra.kodi hii ilitakiwa kuanza tarehe 01.07.2021 lakini imeanza leo.
Hivyo mteja akinunua umeme kuanzila leo atakatwa shs 2000 ambayo ni kodi ya jengo ya miezi miwili ya (Julai na Agasti.)
Tunawashauri wateja wetu wanunue umeme wa kuanzia 3000 ili walipie kodi ya jengo 2000 na shs 1000 wapate umeme.
Imetolewa na:
Ofisi ya uhusiano na huduma kwa wateja
TANESCO
20.08.2021
Copy and paste