Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahoja za kijinga Sana mnajiita wazalendo ila mnalialia sanaNchi hii imefika pabaya. Mabeyo na watu wake waingilie kati. Yaani hata umeme tunapangiwa tununue wa shilingi ngapi! Kwani mnatupa hela vile?
Wanatakiwa kunegotiate tuso wapangaji wanamsaidia mwenye nyumba kulipia nyumba yake loh, huu ubunifu hatar
Unahoja za kijinga Sana mnajiita wazalendo ila mnalialia sana
USSR
Unahoja za kijinga Sana mnajiita wazalendo ila mnalialia sana
USSR
Hongera wewe unayelala gizani kwa kugoma kulipa 12000tu ,akili zako Kama za wanaoUzalendo ni undondocha. Mi ni mtu wa sayari nzima siyo kasehemu tu kwenye sayari hii. Uzalendo danganyana na wajinga wenzio huko.
Hongera wewe unayelala gizani kwa kugoma kulipa 12000tu ,akili zako Kama za wanao
USSR
Bado wa moto kabisa hana ubibi wowoteNi kweli wanakata 2000, huyu bibi aisee
View attachment 1900539
Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Haya makato hayana mwenyewe kabisaAmeandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Wakiangalia makusanyo yalivyo mengi hiyo hoja yako haiwez kupita hii ni sawa na mama kumlalamikia baba eti sigara anazovuta kila siku ndizo umaliza pesa hadi watoto wanakosa viatu.Tatizo la waafrika ni ubinafsi na hatutaendelea hadi dunia inaisha hakuna kiongozi aliopo kwaajili ya raia wake hivi kama nchi haina hela kwanini tunaendelea na zigo la wabunge wasio na tija wanaolipwa mamilioni ya hela kwanini wasipunguzwe kila mkoa ubaki na mbunge mmoja tuuuuuuu???
Sema wewe ndio uchangie kama ilivyo kwa luku na nyumba.Kodi ni muhimu kwa maendeleo ya taifa letu. Kuna maeneo bado yamesahaulika. Wakubwa tupieni jicho kwenye ving"amuzi vya runinga! Kila mwezi na wao wachangie kidogo kujenga taifa!
Wewe ulidhani ni hela ndogo??Naanza kufikiria kuweka umeme jua ili niachane na Tanesco,kumbe kupunguza gharama za kuweka umeme na kuwa TZS 27,000 ilikuwa ni mtego, tulifurahia umeme wa REA kumbe kuna shughuli nyuma ya pazia
Ahaaa!!!!!mwaka wa kodi unaanza tarehe moja mwezi wana saba, inamaana wamekataa ya miezi miwili
Mkuu Abrianna tupe michongo tukuje huko nasisi.Usisubiri kuhamishiwa, hamia tu my dear, mi nishahamia siku nyingi