COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,821
👍👍👍Nitakupokea pale stand boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍👍👍Nitakupokea pale stand boss
Mwigulu ana hasira na Watanzania,Magu alivyomtumbua si mlikua mnamcheka,Mara arudi Singida akalime,na yeye kweli alirudi zake Singida kulima hadi picha alitupia akiwa Shamba analima! Magu kufariki Mama kamrudisha tena,Sasa na yeye kaamua kuwakomoa sasa! Kuna watu Wana visasi hata ipite miaka mingapi! Ndiyo maana Mwigulu anajibu anavyotaka,Kama huriziki na Tz hamia Burundi! by Mwigulu!!Hivi haya mambo kwanini yamekua shida zaid baada ya kuingia mtaalamu wa uchumi Mwigulu???
Mama anawafuta machozi baada ya junyanyaswa na mwendazakeKumekucha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa tunapumua, tuko huru, uhuru wa kuongea umerudi![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha waisomee nambaaaa eeee Chadema mbele kwa mbeeeleee dadadeki na bado....
Machozi yameshakauka,Sasa Mama anawafuta kamasi hadi pua zao zinauma!![emoji3][emoji2][emoji23][emoji1787]Huyu mlisema anawafuta machozi
USSR
Betri ngapi unaunganisha na huo umeme una uwezo wa kuwasha TV, Pasi.Friji, Taa na Feni?Za redio(bila shaka ushaelewa)
Tulia wewe libavicha!!!Huyu Waziri wa Fedha ni janga la Taifa letu! Tangu apewe uwaziri ni shida kwene:
1. Bei ya Petrol na Diesel.
2. Tozo za Miamala ya simu.
3. Kodi za Majengo.
Huyu Mwigulu Nchemba anatamani awatoze Kodi Watz hata kwenye hewa wanayopumua!!!
Leo anatamba kukusanya 48B kwa kisingizio kuwa zitapeleka maendeleo ya shule na zahanati!
Hivi chanzo Kodi ni Miamala ya simu tu? Fedha ya MADINI yetu,MBUGA za WANYAMA,BANDARI,n.k. ziko wapi?
Wote hovyoo tu...Mama anawafuta machozi baada ya junyanyaswa na mwendazake
Unaweza kuta Luku yake ina deni la miaka ya nyuma ndiyo maana wanamkata kidogo kidogo hadi deni liishe!!Wanakuonea Sana Mkuu. Jaribu kufuatilia ni kwanini iwe hivyo kwako.
ukiwa kiongozi kupingwa ni kawaida ulitaka wapigiwe makofi kilasaa? Yesu tuu ali/anapingwa chamuhimu nikujitahidi kufanya vyamsingi! Matozotozo yaajabu ajabu tulishapinga na yakafutwaMama anajua hata akijaribu kua Kama Mtangulizi wake bado mtamtukana tu, maana anajua Watanzania hawana shukhurani na wengi hawajui wanachokitaka, JK wa Msoga alitukanwa hadi kuitwa Dhaifu,akawaletea Chuma kigumu nacho pia mkasema ni Dikteta!! Sasa Mama kamua mradi liende Maisha yasongee!!
Since ugunduzi wake hakuna mtu au taasisi iliyojikita katika kuboresha uwezekano wa kuzalisha nishati ya kutosha kwa ajili ya hayo yote, ila matokeo ya uhakika ninayofahamu ni kuwasha taa zote bila ajizi, nahitaji muda wa kufuatilia kususu kuwasha tv, pasi nk.Betri ngapi unaunganisha na huo umeme una uwezo wa kuwasha TV, Pasi.Friji, Taa na Feni?
Naomba ufafanuzi!!!
Mbogamboga hovyoo kabisa....Sasa tunapumua, tuko huru, uhuru wa kuongea umerudi!
[emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]Kabisa
Dah! Nilikuwa namchukia sana mwenda zake ila now natamani hata afufuke aje kuendeleza nchi yakeMama anaupiga mwingiii
Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Huyu ndo chanzo cha yote haya...Hivi haya mambo kwanini yamekua shida zaid baada ya kuingia mtaalamu wa uchumi Mwigulu???
Dah! Nilikuwa namchukia sana mwenda zake ila now natamani hata afufuke aje kuendeleza nchi yake
Bora hata huyo Mungu wao asinge wajibu tu!!Chadema walisema Mungu amewajibu haya ndio majibu
USSR
Hata katika hili atajibu tu,ni suala la muda tuBora hata huyo Mungu wao asinge wajibu tu!!