Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Hiii
FB_IMG_1616556474832.jpg
 
Mi sijafutwa machozi nahisi kupakwa pilipili kichaa machoni jamani
 
  • Thanks
Reactions: nao
Muda huu baada ya kuona huu uzi , nimetest kununua units za miatano (chini ya kiwango chao wanachotaka 1000tsh), ngoma inagoma kabisa wanadai eti "tender more money😝"

Nimemwambia mke wangu ajaribu na yeye wanamuandikia hivyo.

Nilichogundua ni kwamba hii tozo ya luku atakatwa mtu yoyote bila kujali anamiliki nyumba au laa

Huu ni upuuzi mkubwa sana,yani hawaridhiki na hela za miamala na mafuta sasa wamehamia kwenye LUKU, na kibaya zaidi hela zetu zinatumiwa na mpumbavu mmoja kufanya ziara za kijinga tu, kutwa anazunguka na misafara kwenye nchi za watu kijinga kijinga tu.

Muda si mrefu watatuletea na Tozo za pumbu Sasa🤒.
Huu sasa ni wizi wa wazi kabisa, mama anatufanyia michezo michafu sana
 
so wapangaji wanamsaidia mwenye nyumba kulipia nyumba yake loh, huu ubunifu hatar
Tena Mimi tarehe 01 sept naanza kuwatokza laki 2 kwa room hawataki wahame nipangishe Kuku, Bata na Kanga!!!
 
Muda huu baada ya kuona huu uzi , nimetest kununua units za miatano (chini ya kiwango chao wanachotaka 1000tsh), ngoma inagoma kabisa wanadai eti "tender more money[emoji13]"

Nimemwambia mke wangu ajaribu na yeye wanamuandikia hivyo.

Nilichogundua ni kwamba hii tozo ya luku atakatwa mtu yoyote bila kujali anamiliki nyumba au laa

Huu ni upuuzi mkubwa sana,yani hawaridhiki na hela za miamala na mafuta sasa wamehamia kwenye LUKU, na kibaya zaidi hela zetu zinatumiwa na mpumbavu mmoja kufanya ziara za kijinga tu, kutwa anazunguka na misafara kwenye nchi za watu kijinga kijinga tu.

Muda si mrefu watatuletea na Tozo za pumbu Sasa[emoji855].
Kwa wanawake wajiandae na kodi ya hedhi
 
Zifuatazo ni hatua za kuzalisha nishati ya umeme kwa njia ya kinyesi cha binadamu,

1) funga betri kubwa sita
2) weka waya upande hasi na upande chanya
3)ingiza hizo betri kwenye tank la kinyesi pale unapoishi, kisha unganisha katika switch waya wako ujipatie umeme wa bure

Hima watanzania wenzangu tuhamie huko serikali haiwezi kuweka tozo ya kinyesi,
Kacnia to the rescue
 
B
Zifuatazo ni hatua za kuzalisha nishati ya umeme kwa njia ya kinyesi cha binadamu,

1) funga betri kubwa sita
2) weka waya upande hasi na upande chanya
3)ingiza hizo betri kwenye tank la kinyesi pale unapoishi, kisha unganisha katika switch waya wako ujipatie umeme wa bure

Hima watanzania wenzangu tuhamie huko serikali haiwezi kuweka tozo ya kinyesi,
Kacnia to the rescue
Betri hizi za national au za gari mkuu
 
Umejuaje hizo busara alipewa? Maisha yamepanda ghafla kiongozi nikuzurura nchi zawatu hajui mambo ndani yanavyoharibika!! Mafuta yakula/petroli juu,nyama juu,mitandao tozo, luku juu kilakitu kinapanda naye haoneshi umakini wwte!! Hopeless kwakweli tuna wazubaaji wawili pale juu watatuchelewesha mmmno
Mama anajua hata akijaribu kua Kama Mtangulizi wake bado mtamtukana tu, maana anajua Watanzania hawana shukhurani na wengi hawajui wanachokitaka, JK wa Msoga alitukanwa hadi kuitwa Dhaifu,akawaletea Chuma kigumu nacho pia mkasema ni Dikteta!! Sasa Mama kamua mradi liende Maisha yasongee!!
 
Huu SASA ndo wizi mkuu, badala ya buk ya Kodi ya nyumba Kwa kila Luku, SASA wameiweka buk 2?
Huyu Waziri wa Fedha ni janga la Taifa letu! Tangu apewe uwaziri ni shida kwene:
1. Bei ya Petrol na Diesel.
2. Tozo za Miamala ya simu.
3. Kodi za Majengo.
Huyu Mwigulu Nchemba anatamani awatoze Kodi Watz hata kwenye hewa wanayopumua!!!
Leo anatamba kukusanya 48B kwa kisingizio kuwa zitapeleka maendeleo ya shule na zahanati!
Hivi chanzo Kodi ni Miamala ya simu tu? Fedha ya MADINI yetu,MBUGA za WANYAMA,BANDARI,n.k. ziko wapi?
 
Mama anaupiga mwingiii

Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Mama anawakomesha mataga!

Mamaa anawakomesha sukuma gang na kufuta legacy!


Mamaaa anafungua nchi!
.
Mama anamwaga hela mtaani ili sisi mabavicha tuwe tunaziokota

Pole pole na Bashiru wanakiona cha moto
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom