USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Chadema walisema Mungu amewajibu haya ndio majibuAaah kumbe yule gaidi nadhan huko alipo anashangilia kazi iendelee
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema walisema Mungu amewajibu haya ndio majibuAaah kumbe yule gaidi nadhan huko alipo anashangilia kazi iendelee
Hahaha alikuwa hajui kimalikia leo mmegeuka tena , chadema wanademka Sana ,wacha wafutwe machoziTutulie yule wa awamu ya 5 alikuwa hazunguki kwa ushamba na kutojua lugha, hivyo nchi ikawa haina mahusiano na nchi zingine.
Wa mjini acha afungue nchi tutamlipia na convoy yake
Hakika tunamkumbuka MagufuliMarehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.
Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.
Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".
Au nasema uongo ndugu zangu 😂😂😂
Just ignore him.Huu ndio ujinga wa watanzania hili ni tatizo letu sote inabidi kupambana kwa pamoja au wewe unatumia kibatali??
Hahaaaa. Acha tunyooshwe na bado. Oooh tunatawaliwa na mshamba. FogofuHahaha alikuwa hajui kimalikia leo mmegeuka tena , chadema wanademka Sana ,wacha wafutwe machozi
USSR
Kabisa mkuu alisema wacha afe wakafanya sherehe, mama anaupiga mwingi Kama Messi. Mpaka Sasa Ana assist 200 na ni dk ya 10Marehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.
Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.
Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".
Au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kajengeni ukuta Kama kipindi Cha JPM ,Huu ndio ujinga wa watanzania hili ni tatizo letu sote inabidi kupambana kwa pamoja au wewe unatumia kibatali??
Mkiambiwa muingie barabarani hamtaki.Si walisema wanakata Buku 1 kwa mwezi ,why wakate elfu 2? Mimi natumia solar huku porini so sijui hayo makato.
Wanasiasa wenu mnaowaita mwamba wako wapi au wanadai katiba ,unadai katiba huku huna pesa ya LukuUnajiona wa sayari nyingine, itakuwa heri kama unaishi maisha yako na siyo haya ya JF.
Daaaah umekucha mkuu😂😂.Kumekucha 🤣🤣🤣🤣
Huyu amekuja kuwafuta wanachadema machozi baada ya miaka sita ya machozi ya dikiteta JPMSisiemu hovyoo kabisa
Kuna Mtu kanitonya Tozo nyingine yaja!!Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Tatizo la waafrika ni ubinafsi na hatutaendelea hadi dunia inaisha hakuna kiongozi aliopo kwaajili ya raia wake hivi kama nchi haina hela kwanini tunaendelea na zigo la wabunge wasio na tija wanaolipwa mamilioni ya hela kwanini wasipunguzwe kila mkoa ubaki na mbunge mmoja tuuuuuuu???Kajengeni ukuta Kama kipindi Cha JPM ,
USSR
Eti magufuli dikiteta Mungu amewawafuta machoziHahaaaa. Acha tunyooshwe na bado. Oooh tunatawaliwa na mshamba. Fogofu
vipi zile nyimbo amboza alikua anaimbiwa kipindi kachukua madaraka bado zipo?Sasa hatuimbi tu wimbo yaani na Namba zinasomeka vizuri kweli kweli.
Nchi wamekabiziwa majambazi, Mpango , Majaliwa na Mwigilu.
Nani kakwambia tozo zimewekwa kwa sababu za kisiasa? Ni mvivu wa kufikiri pekee ambaye anawaza siasa kwa kila jambo.Wanasiasa wenu mnaowaita mwamba wako wapi au wanadai katiba ,unadai katiba huku huna pesa ya Luku
USSR
Wote hovyo tuKabisa mkuu alisema wacha afe wakafanya sherehe, mama anaupiga mwingi Kama Messi. Mpaka Sasa Ana assist 200 na ni dk ya 10
USSR
Unaingia barabarani huna hata 2000 ya Deni la nyumba ,chakula huna unagongwa virungu hata bima hunaMkiambiwa muingie barabarani hamtaki.