TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nchi gani hiyo ya Ulaya inauza umeme unit moja ( 1 kWh) kwa Euro zaidi ya 30!? Yaani unit moja ya huko Ulaya bei yake ni sawa na 30 x2400 = TZS 72, 000.00!!! Yaani unit moja bei yake sawa shiling za kitanzania elfu 72!!!!!!!Unit moja inauzwa Euro zaidi ya 30. Utalinganiasha na Tz?
Usibishe kitu ambacho hujui, uliza.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sema wewe bei ya umeme, siyo uanibishia halafu hauna data.Mkuu acha uongo tafadhali, unaijua euro 30 kweli? umekaa nchi gani hiyo ya ulaya? tumeishi huko na unapikia umeme wakati wa winter lazima uwashe heater muda mwingi ukiwa ndani, bado friji, microwave, washing machine n.k. Please acha uongo. Kule mbali ya per capital income yao kuwa juu kwa nchi nyingi bado umeme ni bei rahisi kulinganisha na huku kwetu. Yaani unaongelea unit moja sawa na takribani Tsh 70,000. Mungu anakuona mkuu
Kwani wewe unaishi wapi?Marehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.
Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.
Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".
Au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamia huko aliko basi ,au nenda kamlete.Mpaka mjue hamjui , JPM was rais
USSR
Acha kulia lia,fanyakazi,ujikimu.Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Licha ya makandokando yake, Magufuli aliwajali sana watu wa kipato cha chini. Katika uongozi wake kamwe asingeruhusu haya matozo ya hovyo hovyo.Haki nammiss huyu mzee na anisamehe kwa mawazo yangu mabaya kwake[emoji22][emoji22]
I love u JPM[emoji8][emoji8]
Ukijua itakusaidia nini?Kwani wewe unaishi wapi?
Siri kubwa nawapeni chini ya kapeti .....baada ya watu kususa kutumia huduma za simu zenye tozo uchumi umeyumba vibaya kikao kikafanyika cha siri cha baraza ikulu hivyo wakasema waweke tozo kwenye umeme kwa kisingizio cha kodi ya jengo ,Dawa kwetu watanzania ni kupunguza gharama za matumizi ya umeme kwa nusu nunua nguo zisizo hitaji kupigwa past punguza kutumia friji na heater nkAmeandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Arafu wapuuzi wanataka kumlinganisha huyu na pampasi au kumlinganisha na walio furahia kifo chake
Siyo huyo tu alikuwa na chuki mother ni zaidi ndege yetu hadi chupii zinafuliwa na kuanikwa ndani ya ndege mm hapo ndiyo nilibaki mdomo waziMwigulu ana hasira na Watanzania,Magu alivyomtumbua si mlikua mnamcheka,Mara arudi Singida akalime,na yeye kweli alirudi zake Singida kulima hadi picha alitupia akiwa Shamba analima! Magu kufariki Mama kamrudisha tena,Sasa na yeye kaamua kuwakomoa sasa! Kuna watu Wana visasi hata ipite miaka mingapi! Ndiyo maana Mwigulu anajibu anavyotaka,Kama huriziki na Tz hamia Burundi! by Mwigulu!!
Hivi ni nn hii ,sielewiUmejuaje hizo busara alipewa? Maisha yamepanda ghafla kiongozi nikuzurura nchi zawatu hajui mambo ndani yanavyoharibika!! Mafuta yakula/petroli juu,nyama juu,mitandao tozo, luku juu kilakitu kinapanda naye haoneshi umakini wwte!! Hopeless kwakweli tuna wazubaaji wawili pale juu watatuchelewesha mmmno
Duh! Ebu funguka zaidi,nasi utupe uhondo!!Siyo huyo tu alikuwa na chuki mother ni zaidi ndege yetu hadi chupii zinafuliwa na kuanikwa ndani ya ndege mm hapo ndiyo nilibaki mdomo wazi
Kwani mkuu na wewe si Taga pia ..mwacheni mama aupige mwingi maana namba tunaisoma wote.Mama anaupiga mwingiii
Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Kwani mkuu na wewe si Taga pia ..mwacheni mama aupige mwingi maana namba tunaisoma wote.
Let the work continue...."Jf nzima nzima ni taga acheni kelele kazi iendelee
Mimi napinga ile kauli yake eti "MIMI NA MAGUFURI NI KITU KIMOJA" hapana ni vitu viwili tofauti.Umejuaje hizo busara alipewa? Maisha yamepanda ghafla kiongozi nikuzurura nchi zawatu hajui mambo ndani yanavyoharibika!! Mafuta yakula/petroli juu,nyama juu,mitandao tozo, luku juu kilakitu kinapanda naye haoneshi umakini wwte!! Hopeless kwakweli tuna wazubaaji wawili pale juu watatuchelewesha mmmno
Utaumia moyo bure nikifunguka wewe bora usitake kujua mm mwenyewe najuta kujua nimepoteza pozi mwezi mzimaDuh! Ebu funguka zaidi,nasi utupe uhondo!!
Serikali ya majambazi hii,na bado tutakomaAmeandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475