Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Unit moja inauzwa Euro zaidi ya 30. Utalinganiasha na Tz?
Usibishe kitu ambacho hujui, uliza.



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nchi gani hiyo ya Ulaya inauza umeme unit moja ( 1 kWh) kwa Euro zaidi ya 30!? Yaani unit moja ya huko Ulaya bei yake ni sawa na 30 x2400 = TZS 72, 000.00!!! Yaani unit moja bei yake sawa shiling za kitanzania elfu 72!!!!!!!
====
 
Mkuu acha uongo tafadhali, unaijua euro 30 kweli? umekaa nchi gani hiyo ya ulaya? tumeishi huko na unapikia umeme wakati wa winter lazima uwashe heater muda mwingi ukiwa ndani, bado friji, microwave, washing machine n.k. Please acha uongo. Kule mbali ya per capital income yao kuwa juu kwa nchi nyingi bado umeme ni bei rahisi kulinganisha na huku kwetu. Yaani unaongelea unit moja sawa na takribani Tsh 70,000. Mungu anakuona mkuu
Sema wewe bei ya umeme, siyo uanibishia halafu hauna data.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Marehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.

Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.

Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".

Au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wewe unaishi wapi?
 
Ameandika Evans Rubara

I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.

View attachment 1900475
Acha kulia lia,fanyakazi,ujikimu.
 
Haki nammiss huyu mzee na anisamehe kwa mawazo yangu mabaya kwake[emoji22][emoji22]

I love u JPM[emoji8][emoji8]
Licha ya makandokando yake, Magufuli aliwajali sana watu wa kipato cha chini. Katika uongozi wake kamwe asingeruhusu haya matozo ya hovyo hovyo.

Huyu Madam tuliyenaye anajifanya "mpole" lakini ndani ni "mbwa mwitu mkali sana.
 
Ameandika Evans Rubara

I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.

View attachment 1900475
Siri kubwa nawapeni chini ya kapeti .....baada ya watu kususa kutumia huduma za simu zenye tozo uchumi umeyumba vibaya kikao kikafanyika cha siri cha baraza ikulu hivyo wakasema waweke tozo kwenye umeme kwa kisingizio cha kodi ya jengo ,Dawa kwetu watanzania ni kupunguza gharama za matumizi ya umeme kwa nusu nunua nguo zisizo hitaji kupigwa past punguza kutumia friji na heater nk
 
Mwigulu ana hasira na Watanzania,Magu alivyomtumbua si mlikua mnamcheka,Mara arudi Singida akalime,na yeye kweli alirudi zake Singida kulima hadi picha alitupia akiwa Shamba analima! Magu kufariki Mama kamrudisha tena,Sasa na yeye kaamua kuwakomoa sasa! Kuna watu Wana visasi hata ipite miaka mingapi! Ndiyo maana Mwigulu anajibu anavyotaka,Kama huriziki na Tz hamia Burundi! by Mwigulu!!
Siyo huyo tu alikuwa na chuki mother ni zaidi ndege yetu hadi chupii zinafuliwa na kuanikwa ndani ya ndege mm hapo ndiyo nilibaki mdomo wazi
 
Umejuaje hizo busara alipewa? Maisha yamepanda ghafla kiongozi nikuzurura nchi zawatu hajui mambo ndani yanavyoharibika!! Mafuta yakula/petroli juu,nyama juu,mitandao tozo, luku juu kilakitu kinapanda naye haoneshi umakini wwte!! Hopeless kwakweli tuna wazubaaji wawili pale juu watatuchelewesha mmmno
Hivi ni nn hii ,sielewi
IMG_20210821_222522.jpg
 
Siyo huyo tu alikuwa na chuki mother ni zaidi ndege yetu hadi chupii zinafuliwa na kuanikwa ndani ya ndege mm hapo ndiyo nilibaki mdomo wazi
Duh! Ebu funguka zaidi,nasi utupe uhondo!!
 
Umejuaje hizo busara alipewa? Maisha yamepanda ghafla kiongozi nikuzurura nchi zawatu hajui mambo ndani yanavyoharibika!! Mafuta yakula/petroli juu,nyama juu,mitandao tozo, luku juu kilakitu kinapanda naye haoneshi umakini wwte!! Hopeless kwakweli tuna wazubaaji wawili pale juu watatuchelewesha mmmno
Mimi napinga ile kauli yake eti "MIMI NA MAGUFURI NI KITU KIMOJA" hapana ni vitu viwili tofauti.

Kwanza mzee baba alikuwa haupigi mwingi, then alikuwa na presha yake kiuchumi, ila hawa binadamu now days ni kupaa nje ya mipaka 😨!.
 
Nchii hii. Niko na sehemu ni kiwanja kisichokjwa na nyumba na ni sehemu ya kuoshea magari. Nako kuna tizo ya pango lakini hakuna jengo!!

Kama wanataka kuwe angalau na haki katika hili - wasiseme ni tozo ya jengo. Waseme ni tozo kwa kuwa na mita ya LUKU. Kama ilivo kwa mita za maji ambazo zina service charge au ilivo kwa account za benki ambazo zina makato wa mwezi na walio na fedha huko hawalalamiki.

Huenda wana haki ya kukusanya tozo hizi - shida yao kubwa ni maelezo yaliyonyooka. How to use the money has never been in itself a justification for collecting it!! Utasikia kujenga madarasa, sijui kununua madawati kama sababu za kukata tozo. Waseme tu wameanzisha service charges za kuwa na registered utililty meter!! Period!!
 
Ameandika Evans Rubara

I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.

View attachment 1900475
Serikali ya majambazi hii,na bado tutakoma
 
Back
Top Bottom