Kama kweli umeamua kumwacha ili uweze kumsahau ni kukumbuka mabaya yake. Ukikumbuka mazuri yake utajivika upofu utakuwa unasema bahati mbaya,,shetani alimpitia ngoja nimsamehe.Mm nimeshaamua kuachana, chakufanya nipe tu mbinu ya kumsahau, kutofuta namba Ni kigezo Cha kupendana?
No research no right to speak ,pole yakoHehehe heeheee...alitujib mbofumbofu kwenye huo uzi!
I do remember
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wala at a sijaikariri,Usikute hata namba umeikalili kichwani. Nahisi kuna kitu kizur kakuachia kama kumbukumbu!.
Pole kwa kujaribu bahati nasibu yako, thread yangu niliileta hapa last year mwanzon, jaribu Tena bahati yakoNaishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa
Habari zenu wanaJF Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39]) Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja. Suala lililonileta kwenu. Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto...www.jamiiforums.com
Mnafurahisha kwel hiiyo thread mnayohis ni mm imeandikwa Mei this year, na mm nimewaambia huu Ni mwezi wa tano hatuko pamoja, hata vitu havihusiani, kazi mnayoAsante Mpendwa Walimwengu endeleeni kumshauri
Ukweli ni kwamba ni wewe hapa umezuga ili tusikujueMnafurahisha kwel hiiyo thread mnayohis ni mm imeandikwa Mei this year, na mm nimewaambia huu Ni mwezi wa tano hatuko pamoja, hata vitu havihusiani, kazi mnayo
Nisaidie nitoke utumwani dearUtaendelea kuwa mtumwa wa mapenzi mpaka ukome
Basi amini hivyo mpendwaaUkweli ni kwamba ni wewe hapa umezuga ili tusikujue
Humu sio sehemu ya kufanya uteseke hivyo kisa miandiko ya watu, usijinyime nafsi yako eti kisa humu, changanua maushauri ila kamwe usiruhusu yakandamize amani na furaha yako,, jipendeMkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basi
Humu sio sehemu ya kufanya uteseke hivyo kisa miandiko ya watu, usijinyime nafsi yako eti kisa humu, changanua maushauri ila kamwe usiruhusu yakandamize amani na furaha yako,, jipende
Cha kufanya unatakiwa ukiri ulivyompenda huyo ex mbele yake Yani namaanisha kwa njia ya simu au sms sio ana kwa ana tafadhali, ila tu hakikisha usirudiane nae hiyo itakusaidia kupunguza mtukutiko wa nafsi,,, hii mbinu ilinisaidia Sana kwa wanaume (2) niliowahi kuwapenda kwa moyo, akili na hisia zote kuwasahau kwa haraka sana
Kingine jiapie iwe Ni Kama mwiko wako kurudiana na ex, katika vitu kwangu nimeviheshimu Ni huo mwiko, sirudii matapishi na mpaka sasa nimefanikiwa
Shukrani , lakini from no where namtumia mtu text ambae siongei nae kwa miezi mitano kwamba ninampenda, si ataniona chiz, embu nielekeze how?Humu sio sehemu ya kufanya uteseke hivyo kisa miandiko ya watu, usijinyime nafsi yako eti kisa humu, changanua maushauri ila kamwe usiruhusu yakandamize amani na furaha yako,, jipende
Cha kufanya unatakiwa ukiri ulivyompenda huyo ex mbele yake Yani namaanisha kwa njia ya simu au sms sio ana kwa ana tafadhali, ila tu hakikisha usirudiane nae hiyo itakusaidia kupunguza mtukutiko wa nafsi,,, hii mbinu ilinisaidia Sana kwa wanaume (2) niliowahi kuwapenda kwa moyo, akili na hisia zote kuwasahau kwa haraka sana
Kingine jiapie iwe Ni Kama mwiko wako kurudiana na ex, katika vitu kwangu nimeviheshimu Ni huo mwiko, sirudii matapishi na mpaka sasa nimefanikiwa
Ni kweli dear umepatia ni Mimi ,then nishauri sasaUkweli ni kwamba ni wewe hapa umezuga ili tusikujue
Kupitia status zake, akipost kitu kizuri mpe pongezi pitia hapo kumueleza jinsi ulivyompenda ila yakatokea yaliyotokea, maisha lazima yaendelee nk itakupa nafuu ya sumbuko la moyo wako trust me, ila usirudishe mawasiliano ya karibu endapo atataka ku-take advantage ya kukiri kwako,Shukrani , lakini from no where namtumia mtu text ambae siongei nae kwa miezi mitano kwamba ninampenda, si ataniona chiz, embu nielekeze how?