- Thread starter
- #21
mkuu King Kong III busara yako pia hapa naomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka busara gani? Hivi akinuna ukiongea na wahudumu wengine wewe unapungukiwa nini?Sawa mkuu kwa busara zako
Kila ishara Ina lake jambo, huwezi jua labda wadangaji, watumia dawa, wake za watu pia, last but not least ushindani wa kike na ana mvuto kwa wateja, na kamisheni kama ipo ushindani wa kuhudumia wateja closing the deal means something.Kuna ofisi moja nimekuwa nikienda tangu siku nyingi kupata huduma, katika hiyo ofisi receptionists ni wanawake. Katika hao receptionists kuna mmoja kila akiona nikizungumza na mwenzake yeyote hapo kwenye desk lao la reception anaonesha ishara za kukasirika. Ingawa kila nikifika tu ofisini kwao kupata huduma ananichangamkia ila inaonekana hapendi nikiongea zadi na wenzake hata mbele yake tena akiwa anasikia ninachozungumza na mwenzake yeyote ni mazungumzo yanayohusu huduma za ofisi yao tu na sio kitu kingine.
Hivi karibuni nilifika ofisini kwao huyu dada kupata huduma na baada ya hapo nikumuita pembeni huyu dada kumuomba tuongee na baada ya story za fupi nikamuomba namba zake za simu ila akataa kabisa kunipa namba zake akaniambia yeye ni mke wa mtu yaani ameolewa, nikaenda tena baada ya kama wiki moja kupata huduma, baada ya huduma nikamuita pembeni kama siku ile kumuomba namba akakataa kwa mara nyingine kunipa namba akinisisitiza yeye ni mke wa mtu hawezi kutoa namba.
Lakini sasa najiuliza, je kama kweli huyu dada ni mke wa mtu, KWASABABU gani aoneshe kutopenda mimi kuongea na mwenzake yeyote ofisini kwao? Nimejiuliza sana, je huyu dada huwa anapenda sana wateja wote awahudumie yeye tu, yaani ni kama ni mbinafsi? Na je anawafanyia kama mimi kwa kukasirika wateja wengine wanaofikaga hapo wakihudumiwa na mwenzake ambaye yuko nae reception?
Naombeni msaada wenu wadau kunifafanulia juu ya tabia ya huyu dada, je ni tabia gani hii mbona sielewi! cc Robert Heriel Mtibeli, Da'Vinci
Sipungukiwi chochote, ninachojaribu kujua ni kwanini anune?Unataka busara gani? Hivi akinuna ukiongea na wahudumu wengine wewe unapungukiwa nini?
Nikisema bado una utoto mwingi nitakuwa nakosea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halinisumbui mkuuMbona unasumbuka na jambo dogo kama hili
Kuna ofisi moja nimekuwa nikienda tangu siku nyingi kupata huduma, katika hiyo ofisi receptionists ni wanawake. Katika hao receptionists kuna mmoja kila akiona nikizungumza na mwenzake yeyote hapo kwenye desk lao la reception anaonesha ishara za kukasirika. Ingawa kila nikifika tu ofisini kwao kupata huduma ananichangamkia ila inaonekana hapendi nikiongea zadi na wenzake hata mbele yake tena akiwa anasikia ninachozungumza na mwenzake yeyote ni mazungumzo yanayohusu huduma za ofisi yao tu na sio kitu kingine.
Hivi karibuni nilifika ofisini kwao huyu dada kupata huduma na baada ya hapo nikumuita pembeni huyu dada kumuomba tuongee na baada ya story za fupi nikamuomba namba zake za simu ila akataa kabisa kunipa namba zake akaniambia yeye ni mke wa mtu yaani ameolewa, nikaenda tena baada ya kama wiki moja kupata huduma, baada ya huduma nikamuita pembeni kama siku ile kumuomba namba akakataa kwa mara nyingine kunipa namba akinisisitiza yeye ni mke wa mtu hawezi kutoa namba.
Lakini sasa najiuliza, je kama kweli huyu dada ni mke wa mtu, KWASABABU gani aoneshe kutopenda mimi kuongea na mwenzake yeyote ofisini kwao? Nimejiuliza sana, je huyu dada huwa anapenda sana wateja wote awahudumie yeye tu, yaani ni kama ni mbinafsi? Na je anawafanyia kama mimi kwa kukasirika wateja wengine wanaofikaga hapo wakihudumiwa na mwenzake ambaye yuko nae reception?
Naombeni msaada wenu wadau kunifafanulia juu ya tabia ya huyu dada, je ni tabia gani hii mbona sielewi! cc Robert Heriel Mtibeli, Da'Vinci
mkuu King Kong III busara yako pia hapa naomba
Yes, inawezekana ameshanitamani na anajua naomba namba kwaajili ya kugusa unyevuasee huyo muhudumu atakuwa na tatizo...lakini kwa kuwa ni mwanamke jaribu kumdadisi utajua tatizo lake ..kwanini akiombwa namba aseme yeye ni mke wa mtu..anajua wewe shida yako ni kugusa unyevu tu na inawezekana ameshakutamani
Thanks mkuu King Kong III kwa ushauri wako, kweli hakuna haja ya kung'ang'aniaHeshimu maamuzi yake kama amekwambia mke wa tu achana naye ,wewe ukienda ofisini kwao fuata ulichokifata ,ongea nao wote peaceful including huyo mke wa mtu ,usionyeshe interest kwa yeyote kati ya hao wanawake.
Mwanamke akishakwambia hivyo(2 Times) ukinga'ang'ania hapo kifuatacho ITV hautokaa kuamaini.
Busara kubwa sana hii EyceHii story umeiweka kama yeye ni predator na wewe ni victim. Si uKubali tu kuwa wewe ndiye unamtaka zaidi ndio maana vitendo vyake flani vinakuathiri kiasi cha kumuanzishia thread. Usingemuelewa asingekuhangaisha na kingine kuwa na kiasi, kama ni mke wa mtu achana nae
Usije kuwa sababu ya anguko la ndoa yake maana yawezekana AMEKUTAMANI Ila bado nafsi inamsuta. Msaidie kwa kukaa mbali
Akijipendekeza acha aliwe tuu..si ni mtu mzimaHii story umeiweka kama yeye ni predator na wewe ni victim. Si uKubali tu kuwa wewe ndiye unamtaka zaidi ndio maana vitendo vyake flani vinakuathiri kiasi cha kumuanzishia thread. Usingemuelewa asingekuhangaisha na kingine kuwa na kiasi, kama ni mke wa mtu achana nae
Usije kuwa sababu ya anguko la ndoa yake maana yawezekana AMEKUTAMANI Ila bado nafsi inamsuta. Msaidie kwa kukaa mbali
Si ashakuambia ni mke wa mtu two times!!!Umalaya umetokea wapi hapo? Kuomba namba ni umalaya KENZY ?
Yes anatakiwa kujitambuaAkijipendekeza acha aliwe tuu..si ni mtu mzima
Ni jina linatumika kwa jinsia zote.Siku zote nikiona hili jina huwa nadhani ni mdada kumbe ni mwanaume
Utandawazi oyee