Akili ya kubeti
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 417
- 636
Aiseeeee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁Akijipendekeza acha aliwe tuu..si ni mtu mzima
Punguza kupiga kwenye mshono.Juhudi unazozifanya kumpata ilhali anekuweka wazi kuwa ni mke wa mtu the same power kuna njemba anafanya kwa mke wako.
Hapo yawezekana mke wako atakubali na kuliwa mapema kabla wewe hujamzini huyo mdada.
Asubuhi njema
Mimi ni mzee wa fact.Punguza kupiga kwenye mshono.
Sikupingi mkuuMimi ni mzee wa fact.
Lazima ukweli usemwe
Unataka msaada gani?Kuna ofisi moja nimekuwa nikienda tangu siku nyingi kupata huduma, katika hiyo ofisi receptionists ni wanawake. Katika hao receptionists kuna mmoja kila akiona nikizungumza na mwenzake yeyote hapo kwenye desk lao la reception anaonesha ishara za kukasirika. Ingawa kila nikifika tu ofisini kwao kupata huduma ananichangamkia ila inaonekana hapendi nikiongea zadi na wenzake hata mbele yake tena akiwa anasikia ninachozungumza na mwenzake yeyote ni mazungumzo yanayohusu huduma za ofisi yao tu na sio kitu kingine.
Hivi karibuni nilifika ofisini kwao huyu dada kupata huduma na baada ya hapo nikumuita pembeni huyu dada kumuomba tuongee na baada ya story za fupi nikamuomba namba zake za simu ila akataa kabisa kunipa namba zake akaniambia yeye ni mke wa mtu yaani ameolewa, nikaenda tena baada ya kama wiki moja kupata huduma, baada ya huduma nikamuita pembeni kama siku ile kumuomba namba akakataa kwa mara nyingine kunipa namba akinisisitiza yeye ni mke wa mtu hawezi kutoa namba.
Lakini sasa najiuliza, je kama kweli huyu dada ni mke wa mtu, KWASABABU gani aoneshe kutopenda mimi kuongea na mwenzake yeyote ofisini kwao? Nimejiuliza sana, je huyu dada huwa anapenda sana wateja wote awahudumie yeye tu, yaani ni kama ni mbinafsi? Na je anawafanyia kama mimi kwa kukasirika wateja wengine wanaofikaga hapo wakihudumiwa na mwenzake ambaye yuko nae reception?
Naombeni msaada wenu wadau kunifafanulia juu ya tabia ya huyu dada, je ni tabia gani hii mbona sielewi! cc Robert Heriel Mtibeli, Da'Vinci
Chai.Mahusiano yaliyopo ni ya kiofisi tu. Mimi ni mwanaume. Hata mimi sijamuelewa
Rafiki yangu naona ishakua tabu, mie mwenyewe nilijua nimepost uzi bila kujuaSijaelewa kama mahusiano ni ya kiofisi ..why namba majibu aseme mke wa mtu??
Ina maana hakuna wateja WA ofisi aliewapa namba??...
Jina lako nilifikiri Kelsea ...nilikuwa nasoma narudia tena sielewi kabisa ...
Ongeza bidii ya kuongea na wahudumu wenzake, mpaka uvumilivu umshinde kabisa, ikiwezekana utoke na mmoja na ajue, mwanamke hakutaki na hataki uongee na mtu, stupid.
Kwani mkuu umewahi kumpa pesa ?Mkuu kao la amani sijakupata, Una maanisha huyu mwanamke hanitaki na vile vile hataki niongee na mtu? Si ndio Una maana hiyo?
Kwa nini asionyeshe intereste kwa yoyote? Kama huyo kamkataa ana weza pick yoyote.Heshimu maamuzi yake kama amekwambia mke wa tu achana naye ,wewe ukienda ofisini kwao fuata ulichokifata ,ongea nao wote peaceful including huyo mke wa mtu ,usionyeshe interest kwa yeyote kati ya hao wanawake.
Mwanamke akishakwambia hivyo(2 Times) ukinga'ang'ania hapo kifuatacho ITV hautokaa kuamaini.
Kwa nini asionyeshe intereste kwa yoyote? Kama huyo kamkataa ana weza pick yoyote.
Maisha hayako fair, pili huyo mke wa mtu amkasrikie mumuwe,Si kashaeleza kwamba akionyesha interest kwa wengine yule Mke wa mtu anakasirika so ili kusiwe na makasiriko inabidi aplay fair ground na pia ajikite zaidi ya kilichompeleka kama kuna mambo yao nje ya kazi wakayafanyie mtaani na si ofisini wasije wakaharibu kazi.
Upo sahihi mwanaMaisha hayako fair, pili huyo mke wa mtu amkasrikie mumuwe,
Sijawahi, mtu ambaye Sina uhusiano nae wowote, nitampaje pesa.Kwani mkuu umewahi kumpa pesa ?
Nimekuelewa Dada yangu Lavit Asante kwa ushauri wako.Unataka busara gani? Hivi akinuna ukiongea na wahudumu wengine wewe unapungukiwa nini?
Nikisema bado una utoto mwingi nitakuwa nakosea?
Sent using Jamii Forums mobile app