Nashindwa kuitawala pesa. Laki Tano inaisha ndani ya wiki Moja. Natumia dawa za matatizo ya akili. Nifanye nini?

Nashindwa kuitawala pesa. Laki Tano inaisha ndani ya wiki Moja. Natumia dawa za matatizo ya akili. Nifanye nini?

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
Nina shida ya kiakili natumia dawa zinatwa resperidone.

Changamoto niliyonayo ni kuwa hata nifanye Nini nkipata kipato haichukui wiki laki Tano imeisha. Hata niweke mikakati ghani nitajikuta tu baada ya wiki nipo kwenye stress Sina pesa.

Nmefikia hatua Sasa hii hali imenichosha naomba ushauri bila matusi Wala kebehi nifanye Nini kuondokana na hii hali.
 
Nina shida ya kiakili natumia dawa zinatwa resperidone. Changamoto niliyonayo ni kuwa hata nifanye Nini nkipata kipato haichukui wiki laki Tano imeisha. Hata niweke mikakati ghani nitajikuta tu baada ya wiki nipo kwenye stress Sina pesa. Nmefikia hatua Sasa hii hali imenichosha naomba ushauri bila matusi Wala kebehi nifanye Nini kuondokana na hii hali.
Pole sana Mkuu, Mwenyezi Mungu awe pahala pako katika tiba unayoifanya.
 
Nina shida ya kiakili natumia dawa zinatwa resperidone. Changamoto niliyonayo ni kuwa hata nifanye Nini nkipata kipato haichukui wiki laki Tano imeisha. Hata niweke mikakati ghani nitajikuta tu baada ya wiki nipo kwenye stress Sina pesa. Nmefikia hatua Sasa hii hali imenichosha naomba ushauri bila matusi Wala kebehi nifanye Nini kuondokana na hii hali.
Mkuu tafuta mke(msaidizi) atakusaidia Sana kupanga bajeti na kuzisimamia
 
Muhimu kwanza ungepona maradhi yako ya akili, kisha ndiyo uanze kujifunza namna sahihi ya kutunza fedha na kuzidhibiti.

Huenda hilo tatizo la akili ndiyo hupelekea wewe kufanya hayo matumizi yanayofanya laki 5 iishe ndani ya wiki moja kama unavyojilaumu
 
Binafsi nilichojifunza ili nijibane nisitumie sana fedha, nahakikisha kabla sijatoka ndani najua kwa siku hiya nzima nitatumia kiasi gani. Sitoki na hela nyingi, natoka na hela ninayoihitaji tu na nahakikishia ni cha maana ninachokwenda kununua
 
Tatizo waajariwa tunakosea principle moja ya pesa

Pesa ina masharti mengi moja wapo ni
ukipata pesa una machaguo mawili, either uitumie ilete pesa zingine au izifuate pesa zingine, huna option ya kukaa tu na hela

Jiangalie hapo kwanza
 
Hilo tatizo la akili ulizaliwa nalo au limekupatia ukubwani?

Najaribu kufikiria kama kabla ya hujapatwa na hilo tatizo matumizi yako ya pesa yalikuwa rough basi hakuna namna ya kuhusisha ugonjwa wa akili.

Lakini kama ni tatizo lililokupata ukubwani na kabla ya hapo ulikuwa na matumizi mazuri ya pesa basi tunaweza tukaanzia kufikiria kwenye hilo tatizo lako la akili.
 
Punguza shobo,si ukiona kichaka ushabanwa,simamia maamuzi yako,panga Kwa siku unatumia 10k na iwe hivyo.Usisingizie Akili hili swala lipo hasa Kwa sisi maskini,yaani maskini akipata tu makalio hewani
 
Back
Top Bottom