Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu cha kwanza ni afya ya akili sasa tayari unatumia dawa hapo ndio tatizo linapoanzia, hata hivyo hujasema pesa zako zinaishia kwenye mambo gani maana yanawezekana ni mambo ya maendeleo hivyo unataka kuyafanya yote kwa pamoja bila kufuata hatua . ebu elezea matumizi yako ya pesa yalivyo.Nina shida ya kiakili natumia dawa zinatwa resperidone. Changamoto niliyonayo ni kuwa hata nifanye Nini nkipata kipato haichukui wiki laki Tano imeisha. Hata niweke mikakati ghani nitajikuta tu baada ya wiki nipo kwenye stress Sina pesa. Nmefikia hatua Sasa hii hali imenichosha naomba ushauri bila matusi Wala kebehi nifanye Nini kuondokana na hii hali.
Nani amekwambia kula hakumalizi pesa? Unatakiwa kusema ugali na maharage ndio havimalizi pesa.Kula pekee hakumalizi pesa ila kama upo ktk hivi vifuatavyo jua pesa haitokaa mfukoni
Ulevi wa kamari
Ulevi wa pombe/madawa ya kulevya
Ulevi wa wanawake (kununua malaya)
Nina shida ya kiakili natumia dawa zinatwa resperidone. Changamoto niliyonayo ni kuwa hata nifanye Nini nkipata kipato haichukui wiki laki Tano imeisha. Hata niweke mikakati ghani nitajikuta tu baada ya wiki nipo kwenye stress Sina pesa. Nmefikia hatua Sasa hii hali imenichosha naomba ushauri bila matusi Wala kebehi nifanye Nini kuondokana na hii hali.
Kama anatumia risperidone unadhani tatizo litakua ni akili au pesa😂😂Nadhani ungekuwa una track matumizi yako ya kila siku ujue pesa ina kwenda wapi.
Kivipi?Kula hakumalizi pesa.
Ulishawahi sikia wapi mtu kafilisika kisa amekula chakula hela yote.Kivipi?
Kwasababu chakula ni bure sio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama una tatizo la akili hizo pesa unazitafutaje huku wenye akili timamu wakishindwa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama una tatizo la akili hizo pesa unazitafutaje huku wenye akili timamu wakishindwa?