Nashindwa kulielewa hili gari

[emoji3][emoji3] yan gari yangu hajawahi endesha mtu mwingine hata siku moja..kwangu ni mwiko aisee.
 
Imezima mitaa ya vingunguti nikawasha, nikama haitaki niachie mafuta sana kwahiyo kwenye kona niingie mazima ndani nasikia petrol harufu
Hamna gar hapo pole sana
 
Kama 300k inakufanya upaki gari achana nayo. Msivamie vitu bila utafiti. Sasa kuna electric water pump humo siku chache zijazo itakufa ukitajiwa bei utakufa kabisa.
Inashangaza sana mtu anakimbia kisa 300k na anasema [emoji3][emoji3]
 
Hapa wazungu ndipo nawapendea gari chini imefichwa haswaa hakuna kitu kipo wazi wazi.. iwe pipe au nini ila specific kwa Benz, na Audi, ila kwa Jaguar ina uwazi na one week nikapasua pipe exhaust ikaanza kuvuja
 
Hapa wazungu ndipo nawapendea gari chini imefichwa haswaa hakuna kitu kipo wazi wazi.. iwe pipe au nini ila specific kwa Benz, na Audi, ila kwa Jaguar ina uwazi na one week nikapasua pipe exhaust ikaanza kuvuja
Wameweka skid plate? Kwamba mpaka exhauset imefichwa?? Kama hamna skid plate maana yake vitu viko exposed mkuu its just matter of nini kitagusa kwanza na hiyo sehemu umeingia kwa angle gani.

Kama hujaona vizuri au umekosea hesabu penye ncha pakawa katikati lazima uguse kitu huko chini no way out. Ila kama ncha umezipitia na tairi itakita frame ya gari ambayo japo inalia vibaya haina madhara.

Kuna mtu humu anabadili sana ID sijui anatumia ipi now ila alikuwa anapiga trip akatoboa oil sump ya Audi A3/4 barabarani.
 
Namna walivyo weka vitu vyao kwa chini na vilivyokuwa fixed kwa hizo gari husika Benz na Audi, siwezi sema kama skid plate ile, the way walivyo vi fix hata kuingizia mkono shughuli pevu. Audi A4, ile guard yake ilitoka ilienda fanyiwa services mafundi hawakufinga vyema ikawa imetoka na chini paka wazi samp kufikiwa ma chochote plus gari ilikuwa chini sana.. Sedan changamoto ya kutambalia tumbo haikwepeki kwa mazingira yetu na makazi yetu
 
Nimeleta kesi ya traffic kwa polisi
 
😁😁😁😁 Bavaria Extrovert njooni mumsaidie ndugu yenu huyu
 
Wadau wapi naweza pima ubora wa mafuta diesel na petrol Ili kumeet standard itakiwayo.
 
Endelea tu kukabidhi gari na email, iko siku utakuta email invoice bei ya nusu gari na gari haitoki bila malipo. Washakuvuta hapo tayari bado kukupiga sasa wewe na jakaya ardhi na mbingu mwenzako kuacha million 20 kwa service ya V8 siyo tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…