Nashindwa kulielewa hili gari

Nashindwa kulielewa hili gari

IMG_2911.jpg

I am back Total costs 520k Vitz inaumiza miguu yangu mirefu nimeamua kupambana tu
 
Mkuu wabongo washazoea service ni kumwaga oil tu, tena hapo bajeti unakuta kaweka top top elfu 50. Oil ya 30k, filter 10k na fundi 10k. Mbongo kupeleka gari garage ikakaguliwe yote hafanyi hiyo kazi hata akiwa na safari ya kwenda mbali atamwaga oil tu tena hapo kama imemaliza au imekaribia kilomita. Tyre wananunua hizi za kichina na hapo kubadilisha ni mpaka iwe kipara. Tyre za kichina sio reliable kabisa, tena hasa kwa safari ndefu ila kwakuwa tunapenda vya bei rahisi tunaona poa tu.

Gari ya kizungu lazıma ukubali kila baada ya miezi sita at least uipeleke check up, tena sio zile chini ya mti ni ile unakabidhi gari na email yako wewe unaendelea na mambo yako. Check up ikiwa tayari unakutana na Invoice kwenye email unalipa unaenda na slip yak unachukua mali yako na guarantee juu.

Nilijisikia fahari sana nimepeleka gari service siku naenda kuchukua nikakaa na Muhasibu wao kuongea akaniambia ile garage Mzee Jakaya ndio garage ya magari yake. Na wala bill haikuwa kubwa, walikagua gari na wakatoa spare ambayo waliona inaelekea mwisho wakaweka nyingine basi, ningepeleka chini ya mwembe vingebadilishwa mpaka vizima ili kazi iwe kubwa na wao apate pesa nyingi.
Hii comment iwekwe kwenye gazeti la mwananchi watu wasome.

Hata Toyota zinawatoa jasho, tena IST.
 


Tazameni hii video halafu mshushe comments zenu,hii in service ya 2001 BMW 3 series. Kabla hazijawa complicated zaidi.
Individual opinion should not be taken as industry standards.

Hizo german brands zina zaidi ya miaka 50 kwenye game na zinaendelea kuwepo. Kwanini uchukue opinion ya mtu mmoja kama conclusion?

Current BMW engines are the best right now. Kuna makampuni yanasource engines toka BMW, Porsche na Mercedes.
 
Unahitaji uelewa gani katika kununua gari ?

Hakuna gari ambayo ni stress, mtu kama hama hela anaanza singizia gari, ni vyema kupita kushoto kama mfuko unapepea kama mawimbi ya redio, unachukua kinachofanana na wewe. Kila siku wenye hela zao wananunua hizo BMW , RR , Benz hawana hizo ngonjera zenu ..
😄😄😄 Na wenye hela zao hawanunui hizo takataka mnazonunua nyie wanyonge,wao wanatumia zilizoko kwny warranty ikiisha wananunua jingine yaani Ni mwendo wa kucheza na warranty tu.
 
Nimepata mda wa kupitia comments nyingi wengi mnapendekeza matumizi ya toyota kwa sababu ya reliability na affordability binafsi nimeendesha toyota mark x sedan na mark x zio sijui inaitwa hatcback , kwa mara ya kwanza nilipoendesha BMW niliona nimekidhi haja ya moyo wangu nakumbuka ilikuwa 3 series latest nilipenda sana interior comfortability na body lake niliapa lazima nipate hii kitu nikaangukia kwenye 5 series

Kuna muda nakaa naiangalia ndinga ilivyopaki alafu nasema hiiiiiiiiii ikitokea shida ya ghafla kama hii ya iliyonikuta natetereka kidogo lakini sasa nimesahau kabisa kama imenicost why? My love ni kubwa over these BIG BOYS CAR kama itasumbua tena nitavunjika moyo lakini i must find a way out

Nafurahi sana staff wenzangu wanapoisifia natamani pia nipate FUGA au LEXUS ambayo ni sedan naona ni gari za kiume, siwezi kumshauri mtu asinunue au anunue gari anayopemda kwa sababu ya matunzo i just advise people to make big money you will automatically kwenye Big cars
 
Utanunua vitu mpaka kichwa kikuume.

Usikute ni mafuta tu ya kidebe yamewekwa humo.

Hizo gari zinakuwa sensitive kutrigger trouble codes au kuwasha dashboard lights siyo kama gari za kijapani sijui ni kwanini watu mnakimbilia ramli.

Anza na uliyemuazima gari, kuna nini kilifanyika, aliweka mafuta wapi! n.k.

Ukitoka hapo tafuta mashine ya Diagnosis ufanye diagnosis.
Sio atafute, bali akutafute umsaidie..

Mzee gari hizo mafundi ni wawili ninawajua, yupo huyu mwamba jitu, kuna mwamba mwingine anaitwa ivan yupo mwenge pale yeye ana deal na gari za Ulaya tu.
 
Back
Top Bottom