George Barran
JF-Expert Member
- Sep 2, 2015
- 647
- 1,268
Unazungumzia mkee sie wengine tunazungumzia madem zetu wa mtaaniHivi kuna anaependa asiye taka kupendwa ?
Ndiyo maana niliacha kujifunza Falsafa kwa sababu ina uongo mwingi sana. Kumpenda mwanaumke kwetu sisi Wanaume hilo ni umbile letu.
Usahihi wa mambo ni kuwa tuoe katika Wanawake ambao tunawapenda.
Hizi habari huwa mnazipata wapi aisee. Au sisi wake zetu ni tofauti na Wanawake wenu nini ?
Mkuu unadhani waliojiua walikuwaga hawana akili au?Ni kumuomba Mungu tu na pia kujifunza kutokana na makosa.By the way leo kanipigia mwenyewe asubuhi na pia ameniunblock.Ila ambacho hajui ni kuwa ameshajipunguzia credits nyingi sana kwangu.Kiukweli now it's all about me, myself and I.Nashukuru Mungu kupitia changamoto nimepata suluhisho.Nitaenda nae mdogo mdogo,mpaka sasa yeye ndio awe anasuffer.Tatizo sio mwanamke tatizo ni wewe. .
Ishi nao kwa akili , ukishindwa acha haupo kwenye kifungo..!
Sasa unapofikiria kujiua ndio solution uliyokuja nayo unahidi una akili sawa sawa ya kuishi na huyo mwanamke?
Pole sana kwa matatizo mkuu, lakini jaribu kutumia akili usilazinishe mahusiano yasiyowezekana mtajitafutia matatizo makubwa
Hivi wanaume wa hivi wanapatikanaga wapi? ....Bora nibaki hivi hivi kuliko kutafuta mwanamke mwingine tofaauti yake. Nataka kukaa na kumbukumbu zake maishani mwangu siku zote. Naombeni ushauri wakuu Nifanyeje kumpata tena mpenzi wangu huyu?? Kila nikimpigia ananiblock. Nifanyeje mimi??
I'm in so much pain wapendwa
Wenye upendo wa dhati tupo mkuuHivi wanaume wa hivi wanapatikanaga wapi? ....
Hebu weka na picha tuone unafananaje.
Ushauri mzuri utafuata.
Mbona wapo wanaokwenda na kurudi , Maybe iwe haijawahi kumuachia positive legacy yeyote ile katika maisha yake zaidi ya kero tu
Hongera mkuu, ila kama bado yeye ndio mwenye power kwenye mahusiano yenu ..hayo mambj yataendelea kujirudia mpaka pale utakapo shika usukani na kuheshimiwa kama mwanaumeMkuu unadhani waliojiua walikuwaga hawana akili au?Ni kumuomba Mungu tu na pia kujifunza kutokana na makosa.By the way leo kanipigia mwenyewe asubuhi na pia ameniunblock.Ila ambacho hajui ni kuwa ameshajipunguzia credits nyingi sana kwangu.Kiukweli now it's all about me, myself and I.Nashukuru Mungu kupitia changamoto nimepata suluhisho.Nitaenda nae mdogo mdogo,mpaka sasa yeye ndio awe anasuffer.
Njoo nikuliwaze....utamsahau tu with time.Ku move on sio kitu rahisi ndugu. She's perfect in every way ndio maana inakua ngumu kupenda mwingine.
Asante sana mkuu.Kwa kuwa tumeambiwa tuishi nao kwa akili,basi kila kitu kitaenda sawa.Hongera mkuu, ila kama bado yeye ndio mwenye power kwenye mahusiano yenu ..hayo mambj yataendelea kujirudia mpaka pale utakapo shika usukani na kuheshimiwa kama mwanaume
Hii ni koment ya mwaka[emoji28][emoji28][emoji28]Njoo nikuliwaze....utamsahau tu with time.
Sahihi kabisa...kunogesha jukwaa