Nashukuru baada ya mke wangu kuondoka, pesa inaonekana mfukoni

Nashukuru baada ya mke wangu kuondoka, pesa inaonekana mfukoni

Yaani peke ako unatumia 10k per day alafu we na mkeo per day mlikua mnatumia 60k mlikua mnakula nini au mnakulaje?
Mke alikuwa anashirikiana na familia yake kuniibia pesa kila siku, nikitoa hela kumbe kashawatumia na kwao wakaange kuku, siwezi kulisha matumbo ya familia nzima tena mijitu mizima yote
 
Au uli mu approach ki kuku🤣😂😂
Tena huwezi amini nilimfwata kwao kipindi namuoa nikamkuta kachakaa, nywele hazijawahi kuoshwa wala hana nguo mpya, kachanganyikiwa kama mwehu leo hii alete ujinga, karudi kwao akaokote makopo kama nilivomkuta kule, kaka zake wote vibaka kajisahaulisha leo wakuniletea zarau? Mke gani kila wakati anazungumza na baba yake mpaka usiku wa manane,
Kuna mama mmoja kanambia ukoo wao wanawake wanatabia ya kulala na baba zao kimapenzi, kanambia mwanangu kaa mbali baba yake atakuwa analala nae mana anawajua
 
Tena huwezi amini nilimfwata kwao kipindi namuoa nikamkuta kachakaa, nywele hazijawahi kuoshwa wala hana nguo mpya, kachanganyikiwa kama mwehu leo hii alete ujinga, karudi kwao akaokote makopo kama nilivomkuta kule, kaka zake wote vibaka kajisahaulisha leo wakuniletea zarau? Mke gani kila wakati anazungumza na baba yake mpaka usiku wa manane,
Kuna mama mmoja kanambia ukoo wao wanawake wanatabia ya kulala na baba zao kimapenzi, kanambia mwanangu kaa mbali baba yake atakuwa analala nae mana anawajua
jifunze kuficha madhaifu ya mwenza ako, Afu usikute huyo mama ndo kamuharibu mkeo🤔🙄
 
Mimi nilikuwa nalisha familia nzima yakwao ya kwangu nani atawalisha, akwende mwanaharamu yule

Hilo ni kosa lako, jukumu la kulisha familia yao ni la kwao wenyewe. Yeye ana offer nn kwako?
Unge underline hii miongozo mapema asingeleta nyodo
 
Mkuu una hakika alikuwa mke au hawara?
Majirani zao wananambia ukoo wao mabint wana tabia za kulala na baba zao, nakweli nikapata picha alikuwa anaongea sana na baba yake kuliko mtu mwingine mpaka usiku wa manane
 
Tena huwezi amini nilimfwata kwao kipindi namuoa nikamkuta kachakaa, nywele hazijawahi kuoshwa wala hana nguo mpya, kachanganyikiwa kama mwehu leo hii alete ujinga, karudi kwao akaokote makopo kama nilivomkuta kule, kaka zake wote vibaka kajisahaulisha leo wakuniletea zarau? Mke gani kila wakati anazungumza na baba yake mpaka usiku wa manane,
Kuna mama mmoja kanambia ukoo wao wanawake wanatabia ya kulala na baba zao kimapenzi, kanambia mwanangu kaa mbali baba yake atakuwa analala nae mana anawajua
Haki wewe unachekesha, mm sipendi wanaume wasio na msimamo. Kuna raha ya mwanaume kuwa na misimamo juu ya maamuzi yake, sasa kwa maelezo yako naona kabisa hukustahili kuwa dume, yaani namna unavyonungunika ungekutana na type za wanaume wenye misimamo wangekupa mipasho ya kiume kwa kukiuka miiko ya uanaume!
 
Haki wewe unachekesha, mm sipendi wanaume wasio na msimamo. Kuna raha ya mwanaume kuwa na misimamo juu ya maamuzi yake, sasa kwa maelezo yako naona kabisa hukustahili kuwa dume, yaani namna unavyonungunika ungekutana na type za wanaume wenye misimamo wangekupa mipasho ya kiume kwa kukiuka miiko ya uanaume!
Msimamo gani ndugu yangu, wewe ukae na mke analala na baba yake kimapenzi utavumilia sio, hizi habari nimeambiwa baada ya kumfukuza
 
Madhaifu yanafichwa lakini sio la kulala na baba yake mzazi, umalaya wa aina gani huu
Ulimfumania, yanni mwenye tatizo ni wewe. Huwezi kumudu ndoa wewe, baki bachelor maana kwa mwenendo huo hata ukipata mwanamke sahihi utamboa na hizo tabia zako. Hadi majirani unakaa nao kumdiscuss mkeo, duh tpu mbakasia.
 
Ulimfumania, yanni mwenye tatizo ni wewe. Huwezi kumudu ndoa wewe, baki bachelor maana kwa mwenendo huo hata ukipata mwanamke sahihi utamboa na hizo tabia zako. Hadi majirani unakaa nao kumdiscuss mkeo, duh tpu mbakasia.
Majirani wamenieleza walikaa kimya mpaka nione mwenyewe kwa macho mana alishalala na baba yake mzazi
 
Majirani zao wananambia ukoo wao mabint wana tabia za kulala na baba zao, nakweli nikapata picha alikuwa anaongea sana na baba yake kuliko mtu mwingine mpaka usiku wa manane
Kama ni mke hiyo vita bado ni mbichi.
Usishangilie ushindi mapema.
Na talaka hujatoa bado.
Kama wewe ndio chanzo Chao Cha mapato basi jiandae kisawasawa.
 
Back
Top Bottom