Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
We mwenyewe 10000 Kwa siku unatumiaje? Mi siku nikila bas natumia 800 mchanganuo ameutoa Intelligent businessman siku zngn sio lazima nitumie hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mke hiyo vita bado ni mbichi.Majirani zao wananambia ukoo wao mabint wana tabia za kulala na baba zao, nakweli nikapata picha alikuwa anaongea sana na baba yake kuliko mtu mwingine mpaka usiku wa manane
Bora lingekuwa la yeye kunifilisi tu lakini kumbe analala na baba yake hilo hapana halivumiliki, wanaume wenzangu angalieni sana msije kuta wake zenu wanalala na baba zao kama yaliyonikutaKama ni mke hiyo vita bado ni mbichi.
Usishangilie ushindi mapema.
Na talaka hujatoa bado.
Kama wewe ndio chanzo Chao Cha mapato basi jiandae kisawasawa.
Dah na wewe ni muharibifu🤔🙄, mi natumia 700 t😂🤣🤣🤣We mwenyewe 10000 Kwa siku unatumiaje? Mi siku nikila bas natumia 800 mchanganuo ameutoa Intelligent businessman siku zngn sio lazima nitumie hela
Acha kujificha ktk kivuli cha ndotoni, ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungelizungumza na mkeo au kuweka msimamo wako bayana juu ya namna ya kuhandle maisha yenu ndani, kutenga budget na kumjuza ahakikishe inatumika ndani ya muda fulani siyo kupelekwa na mihemko.
Ulichoandika hapa kimekuvua nguo, wanaume wanaojitambua huwa washajua wakioa familia zao wataziendeshaje, sasa wewe sijui ulioa kwa kichwa cha chini au cha juu.
Hebu jifunze kwa wenzio maana unatia aibu, ptuuuuu.
We mi nakunywa sana maji ndo ongezeko la 100 unaloona paleDah na wewe ni muharibifu🤔🙄, mi natumia 700 t😂🤣🤣🤣
We muharibifu Bado, maji naomba kwa jirani🤣😂😂We mi nakunywa sana maji ndo ongezeko la 100 unaloona pale
Una ushahidi mkuuBora lingekuwa la yeye kunifilisi tu lakini kumbe analala na baba yake hilo hapana halivumiliki, wanaume wenzangu angalieni sana msije kuta wake zenu wanalala na baba zao kama yaliyonikuta
We kaka kama hujaoa nioe😂😂😂Acha kujificha ktk kivuli cha ndotoni, ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungelizungumza na mkeo au kuweka msimamo wako bayana juu ya namna ya kuhandle maisha yenu ndani, kutenga budget na kumjuza ahakikishe inatumika ndani ya muda fulani siyo kupelekwa na mihemko.
Ulichoandika hapa kimekuvua nguo, wanaume wanaojitambua huwa washajua wakioa familia zao wataziendeshaje, sasa wewe sijui ulioa kwa kichwa cha chini au cha juu.
Hebu jifunze kwa wenzio maana unatia aibu, ptuuuuu.
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]We ni muharibifu Mkuu, mi natumia 700, yaani [emoji117]
[emoji117]Unga robo, 500
[emoji117]mafuta 100, nyanya 100,
[emoji117]Naokota kuni, napikaa
Kwanini usije Hapa😂🤣🤣We kaka kama hujaoa nioe😂😂😂
Nimesikia uko single😂🤣🤣🤣
Hapana mkuu nipo single but double [emoji23][emoji23]Nimesikia uko single[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mazuri kama hayoKwanini usije Hapa😂🤣🤣
Punguza ukali wa maneno mkuu. Hasira zisikupelekeshe mpka ukavuka mipaka.Tena huwezi amini nilimfwata kwao kipindi namuoa nikamkuta kachakaa, nywele hazijawahi kuoshwa wala hana nguo mpya, kachanganyikiwa kama mwehu leo hii alete ujinga, karudi kwao akaokote makopo kama nilivomkuta kule, kaka zake wote vibaka kajisahaulisha leo wakuniletea zarau? Mke gani kila wakati anazungumza na baba yake mpaka usiku wa manane,
Kuna mama mmoja kanambia ukoo wao wanawake wanatabia ya kulala na baba zao kimapenzi, kanambia mwanangu kaa mbali baba yake atakuwa analala nae mana anawajua
Hutaki kutumia 700 🤣😂😂Hakuna mazuri kama hayo