Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Acheni kutetea ujinga hivi nyie watoto wa masingo maza mpojeHongera kwa kufanikiwa kuonesha upumbavu wako hadharani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kutetea ujinga hivi nyie watoto wa masingo maza mpojeHongera kwa kufanikiwa kuonesha upumbavu wako hadharani
Elf 60 kwa siku ni chai
Sawa ni ndogo ila sio kwa huyu mleta uzi anayeshangilia kutumia 10k kwa sikuTafuta hela kaka hela ndogo hiyo
Roger that! Team 2 en route for evacuation.One man down.. I repeat... one man down.. do you copy Sergeant??
Biriani na nyama ya ngamiaYaani peke ako unatumia 10k per day alafu we na mkeo per day mlikua mnatumia 60k mlikua mnakula nini au mnakulaje?
Wengi wao hawajaoa bado ndo mana wananishangaa. Mke ukiwa na hela anajisogeza ukianguka anakimbia kwahiyo lazima mtu ajiulize kama akianguka mke anakimbia na kubaki mwenyewe kwanini hata akiwa tajiri asibaki tu peke yake. Kuna mke wa shida na raha na yupo wa raha tu hawa idadi yao ndio kubwa ulimwenguni ndio maan Rick Ross mpaka sasa hajaoa yeye kazalisha tu. Kwani Rick Ross amekosa nini? Kwahiyo hapo utapata picha halisi ya maishaMatoto ya masingo maza na michangudoa ya mjini imeandamana kumpinga mwamba . Oo mwamba usimrudishe huyo demu kaenda kukuchukulia limbwata jingine
Achana kabisa na mimaneno ya hii mitoto ya masingo maza na michangudoa ilio jazana humu kukulostisha..
Wewe ndio unaijua thamani ya hela yako kesho ukifulia hii mitoto ya masingo maza na mishangingi Yao ilio jazana humu ndio itakua ya kwanza kukucheka.
Mtoa mada hapo pichaniKwakweli nina furaha kubwa sana isiyofaa kuelezea. Kabla ya kuoa maisha yangu yalikuwa mazuri sana pesa inaonekana mfukoni.
Baada ya kuoa mambo yakabadilika sana mke akaja pesa zangu zikaanza kupukutika kwasababu ya matumizi, hali ile ikanitesa sana nikaona umasikini huu umeshaingia kwangu tayari.
Nikawa na hali ngumu sana pesa zinayeyuka mara leo nyama, mara kesho kuku, mara nitoe out takataka kibao kiasi kwamba laki tatu ndani ya siku saba imeisha.
Nikaomba ushauri kwa wanaume wenzangu wakanishauri ujinga kwamba sitaki kuhudumia huku napiga hesabu naona kabisa 1Million inaisha kwa wiki mbili kwangu ilikuwa kama msiba mzito kuteketeza 1Million ndani ya wiki mbili kwenye matumizi ya kisenge eti tu nifuge mbunye wakati sabuni na wese lipo.
Juzikati nikachukua uamuzi mgumu nikamuigizia mke kama mimi nimekuwa fukara, nikagoma kununua chakula akaumwa njaa siku mbili, yatatu akadanganya wazazi wamemuita kabla hajamaliza kutamka nikampa nauli.
Kesho yake asubuhi akaondoka e bwana we tangu ameondoka pesa zangu sasa zinapumua.
Nimejikuta natumia elfu 10 tu kwa siku badala ya elfu 60. Alhamdullah kumbe ndo mana Rick Ross mpaka sasa hajaoa asee.
Umenipatia mkuu😀Mtoa mada hapo pichani
View attachment 2678093
Ujue watu wengine kama wewe nadhani tatizo la kuzaliwa na bao la chooni wazazi wako waliponyanduana ndio shida .Acheni kutetea ujinga hivi nyie watoto wa masingo maza mpoje
Halafu mwamba amechambua fresh sana@@Mr Why yakua amegundua mwanamke aliyenae anamfilisi na hamsaidii kwakitu maelezo yake yamejitosheleza lkn wapuuzi wanamkomalia kua apambane tuvhata kama naaona kabisa anakoelekea nijehanamu.siku akipata mtu anaekidhi vigezo vyake ataoa.Nyie mafeminist acheni kumkoromea mwamba3.....oya mwamba ulicho fanya ni sahihi haya mamasikini kazi yao ni kuteteana
Kweli ndugu, na mwanamke akishaanza ubaya usipokuwa makini anaweza kukuua. Wanaume wenzetu wengi sana wameuawa na wake zaoHalafu mwamba amechambua fresh sana@@Mr Why yakua amegundua mwanamke aliyenae anamfilisi na hamsaidii kwakitu maelezo yake yamejitosheleza lkn wapuuzi wanamkomalia kua apambane tuvhata kama naaona kabisa anakoelekea nijehanamu.siku akipata mtu anaekidhi vigezo vyake ataoa.
Naungana naww miles45 ,hakika jamaa etu amefanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi,niukweli kua yy ndie anaejua kua anakoelekea nishimo latewa ,anaona fika mwanamke aliyeoa hafanyiki msaidizi ndani yanyumba kama isemavyo biblia bali amegeuka kua mzigo wa misumari mabegani kwake,yy ndie anaejua standards za maisha yake kabla ya kuoa nabaada yakuoa.Matoto ya masingo maza na michangudoa ya mjini imeandamana kumpinga mwamba . Oo mwamba usimrudishe huyo demu kaenda kukuchukulia limbwata jingine
Achana kabisa na mimaneno ya hii mitoto ya masingo maza na michangudoa ilio jazana humu kukulostisha..
Wewe ndio unaijua thamani ya hela yako kesho ukifulia hii mitoto ya masingo maza na mishangingi Yao ilio jazana humu ndio itakua ya kwanza kukucheka.
Siku ukiapta mwanamke anaeendana na standards zako za maisha vuta ndani,sio mwanamke anaekuja kubadirsha direction yako uliyoizoea.halafu ufuate upuuzi wake,Kweli ndugu, na mwanamke akishaanza ubaya usipokuwa makini anaweza kukuua. Wanaume wenzetu wengi sana wameuawa na wake zao