Nashukuru baada ya mke wangu kuondoka, pesa inaonekana mfukoni

Nashukuru baada ya mke wangu kuondoka, pesa inaonekana mfukoni

Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
 
Upo sahihi mkuu lakini bado una matumizi mabaya ya pesa elfu kumi kwa siku peke yako?
 
Upo sahihi mkuu lakini bado una matumizi mabaya ya pesa elfu kumi kwa siku peke yako?
Kwa umri wangu lazima itumike 10
Mtu mzima utakula lakini utakunywa kidogo lazima itumike 10
 
Majirani wamenieleza walikaa kimya mpaka nione mwenyewe kwa macho mana alishalala na baba yake mzazi
Oyaaa,Mr Why sikia mwamba mijanaume inayokuchamba humu kua hauna msimamo niwale wenye tabia za kunyenyekea wanawake hata kama binafsi anaona kua haya maisha nikinyume cha standard zake yy mwenyewe,niwale wanaume wanaoacha misingi yao nakufuata misingi namiiko ya mwanamke kwa kudhani ndio mapenzi yenyewe(kupelekeshwa)...mm naungana naww napia nakutia moyo kua umefanya jambo lenye masilahi kwako nakwamba umeona standard zako zinavunjwa nahukuona haya kuchukua hatua kwasababu ya mitazamo hasi yajamii.yaani uumie ww halafu uvumilie tu kana kwamba kunatuzo za kuvumilia mwanamke asiyeendana na miiko yako.ww ndie mbeba maono,ww ndie umegundua kua maisha baada yakuoa yanakupeleka ktk ufukara nakwamba mkeo umegundua kua nimalaya nahana msaada kwako,ww ndie umetathimini kua mke uliyenae hana faida ktk ujenzi wa kesho yako,mfujaji wa malizako hakuhurumii kwakua anataka kuku daily,hakusikilizi anatumia nafamilia yake huku ww familia yako iliyokulea ikipigika,unasitahili pongezi kwa kusimamia standards zako ww kama baba wafamilia.
 
Nikaomba ushauri kwa wanaume wenzangu wakanishauri ujinga kwamba sitaki kuhudumia
Wewe bado sio mwanaume, ni mvulana. Na hao uliowaomba ushauri ni wavulana wenzio.

Mvulana siku zote hawezi kumshauri mvulana mwenzake kuhusu masuala ya ndoa.
 
Mke tu unakimbia kulalamika na vipi Kama ungekuwa na watoto kbsa? Si ungewatoroka uwaachie nyumba.

Wanaume Kweli wanapungua kwa Kasi Sana.
 
Oyaaa,Mr Why sikia mwamba mijanaume inayokuchamba humu kua hauna msimamo niwale wenye tabia za kunyenyekea wanawake hata kama binafsi anaona kua haya maisha nikinyume cha standard zake yy mwenyewe,niwale wanaume wanaoacha misingi yao nakufuata misingi namiiko ya mwanamke kwa kudhani ndio mapenzi yenyewe(kupelekeshwa)...mm naungana naww napia nakutia moyo kua umefanya jambo lenye masilahi kwako nakwamba umeona standard zako zinavunjwa nahukuona haya kuchukua hatua kwasababu ya mitazamo hasi yajamii.yaani uumie ww halafu uvumilie tu kana kwamba kunatuzo za kuvumilia mwanamke asiyeendana na miiko yako.ww ndie mbeba maono,ww ndie umegundua kua maisha baada yakuoa yanakupeleka ktk ufukara nakwamba mkeo umegundua kua nimalaya nahana msaada kwako,ww ndie umetathimini kua mke uliyenae hana faida ktk ujenzi wa kesho yako,mfujaji wa malizako hakuhurumii kwakua anataka kuku daily,hakusikilizi anatumia nafamilia yake huku ww familia yako iliyokulea ikipigika,unasitahili pongezi kwa kusimamia standards zako ww kama baba wafamilia.
Nashkuru sana mkuu, unajua kuna wanawake tunawafuga kumbe ndio sumu ya mafanikio yetu, unapoteza pesa nyingi kuhudumia jitu na mwisho wa siku halina shukrani kumbe pesa hizo ungejengea nyumba za kupangisha ukatafuna kodi mpaka uzee wako, tazama jinsi Dr Mengi alisumbuliwa na mke wake mpaka akaishi kwa Jack, yule mke wa kwanza kazi yake ilikuwa kufilisi tu kampuni, wake wengine tunawafuga waje kutufilisi hakuna msaada wowote wajinga flani hivi ndio maana matajiri wakubwa sana wako mbali na wake zao kama Bill Gates, Elon Musk huwa wanaishi na wake mguu nje huwa hawataki kabisa mke amuingie akilini
 
Wewe bado sio mwanaume, ni mvulana. Na hao uliowaomba ushauri ni wavulana wenzio.

Mvulana siku zote hawezi kumshauri mvulana mwenzake kuhusu masuala ya ndoa.
Wewe endelea kufuga umasikini, endelea kuhudumia badala pesa hizo uwekeze mwisho utanikumbuka, wanawake hawa sio watu
 
Mke tu unakimbia kulalamika na vipi Kama ungekuwa na watoto kbsa? Si ungewatoroka uwaachie nyumba.

Wanaume Kweli wanapungua kwa Kasi Sana.
Watoto natunza lakini sio jitu lakuja kunifilisi mwisho wa siku liondoke, aende tu kwani yule mama yangu?
 
Wewe endelea kufuga umasikini, endelea kuhudumia badala pesa hizo uwekeze mwisho utanikumbuka, wanawake hawa sio watu
Wewe endelea kufukuzana na wavulana na wasichana wenzio. Haya mambo tuachie wanaume tujenge nchi na familia.

Mke wangu mimi ni chachu kubwa sana kwenye maendeleo ya familia yangu. She's superb!
 
Unashangilia ujinga. Kama Taifa ndo linawanaume wa namna hii, basi ni sawa tu hata tukiuzwa😠
 
Acha kujificha ktk kivuli cha ndotoni, ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungelizungumza na mkeo au kuweka msimamo wako bayana juu ya namna ya kuhandle maisha yenu ndani, kutenga budget na kumjuza ahakikishe inatumika ndani ya muda fulani siyo kupelekwa na mihemko.
Ulichoandika hapa kimekuvua nguo, wanaume wanaojitambua huwa washajua wakioa familia zao wataziendeshaje, sasa wewe sijui ulioa kwa kichwa cha chini au cha juu.
Hebu jifunze kwa wenzio maana unatia aibu, ptuuuuu.
Kwani nyie hamjijui muishije hadi muambiwe....? Yaani huu upumbavu eti wa kumfundisha mwanamke jinsi ya kuwa mwanamke sijiui nani aliuanzisha. Yaani kama baba yako hakukufundisha kutengeneza bajati ndio nikufundishe mimi.....[emoji16][emoji16][emoji16] it can't be me utarudi kwa mama yako tu ukafundishwe huko..

Wanaume hatuna muda mchafu wa kufundisha mbwa zilizo zeeka
 
Haki wewe unachekesha, mm sipendi wanaume wasio na msimamo. Kuna raha ya mwanaume kuwa na misimamo juu ya maamuzi yake, sasa kwa maelezo yako naona kabisa hukustahili kuwa dume, yaani namna unavyonungunika ungekutana na type za wanaume wenye misimamo wangekupa mipasho ya kiume kwa kukiuka miiko ya uanaume!
Nyie mafeminist acheni kumkoromea mwamba3.....oya mwamba ulicho fanya ni sahihi haya mamasikini kazi yao ni kuteteana
 
Back
Top Bottom