Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Kiukweli bila kupepesa macho wala kutafuna maneno SAUT ni the best. Nakumbuka back in time "C" ya SAUT ni 50 wakati UDOM ilikuwa 41.
Cc: kisiju pwani

Nijuavyo ni kwamba Mtu mwenye Lower Second wa SAUT kwa UDSM ni Upper Second kutokana na Grades za SAUT.

Nikisema kuwa SAUT Mwanza haifundishi wala haizalishi Vilaza ( Wapumbavu ) kama wa Vyuo Vikuu vingine ( hasa cha Jirani na Ubungo Maji, Survey na Mlimani City ) jua namaanisha Kweli na nina uhakika nalo.
 
USHAURI: Kama unataasisi yako na unahitaji kuajiri, ajiri watu waliosoma private universities utakuja kunishukuru

Kuna baadhi ya vyuo pu*lic vinawajenga wanafunzi wao katika mifumo ya kishamba sana
 
Acha kunipotezea muda Mimi sijaanza na Diploma Kitaaluma kama Majuha ( Morons ) nyie sawa?
Mifumo ya elimu.

Kwanza ifahamike hakuna mfumo mmoja ulio Bora kushinda mwenzie.

Mifumo yote ni mizuri na hakuna ulio bora kushinda mwingine unless atokee popoma mmoja atakaye sifia A na kuponda B kwa sababu ya personal interest zake.

Pili elimu itambulike mwisho kidato Cha sita yaani academic.

Baada ya hapo kinachofuata ni Taaluma.

1)Direct kutoka kidato Cha Sita
Hapa naomba ijulikana mtu ataomba undergraduate studies au Diploma baada ya kumaliza kidato Cha sita.

Mfano:Hapa kundi kubwa la watu wa PCB, PCM,PGM huangukia kwa sababu ya mfumo mbovu wa shule za serikari eneo hili huwezi kumkuta yule popoma wa Alasiri ila yeye utamkuta hakuna kusoma kufaulu lazima.

2) Direct kutoka form four kwenda college
Hapa Kuna Lile kundi linaloomba kwenda technical college.

Mfumo huu ndio uliotengeneza wataalamu kibao kwenye Mataifa yaliyoendelea. ambayo inamuandaa kijana kuwa mtaalamu badala ya general knowledge ya kidato Cha sita.

Hapo Kenya tu, ukimaliza shule ya upili basi unajiunga na college.

Kumbuka diploma inamuandaa mtu kuwa mtaalamu na sio mfanya maamuzi ambao ndio msingi wa Taifa lolote duniani.

3) VETA au Mafundi mangungo
Nani asiye ijua thamani ya elimu itolewayo na Veta kwenye nchi nchi hii.

Kumbuka kuingia Moja kwa Moja kutoka kidato Cha sita au Kupitia college haimfanyi mtu awe na akili au hapana ila inategemeana na mazingira.

Hivyo huyu popoma wa mass communication anayejihesabu ana akili, mjue tu hakuna kitu.

Shuleni kote vichwa husoma sayansi, halafu Biashara na Hesabu huko kwenye Sanaa ndio unakompata popoma ambaye naye akili kisoda.
 
SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.

Taarifa: habarileo_tz

Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.

Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.

Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
Hiv wakikaa watu udsm. Sua. Mzumbe.. mtu wa saut anaweza hata nyanyuka. Hahaha
 
Cc: kisiju pwani

Nijuavyo ni kwamba Mtu mwenye Lower Second wa SAUT kwa UDSM ni Upper Second kutokana na Grades za SAUT.

Nikisema kuwa SAUT Mwanza haifundishi wala haizalishi Vilaza ( Wapumbavu ) kama wa Vyuo Vikuu vingine ( hasa cha Jirani na Ubungo Maji, Survey na Mlimani City ) jua namaanisha Kweli na nina uhakika nalo.
Mh!!!!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mtoa mada na wachangiaji wote mnakwama Kama mmefika vyuoni mbona nchi yenu bado maskini?? Elimu zenu zimesaidia Nini nchi yenu? Digrii bila tija Ni Makaratasi alisema kishimba. Ni aibu Leo mtu anabishana eti chuo fulani ni bora huku barabara zenu zinajengwana wachina nyie mtaenda lini kijenga kwao. Shame on you. Karne unajidili ubora wa vyuo wakati Mimi natamani vyuo vikuu vyote viwe VETA.
 
USHAURI: Kama unataasisi yako na unahitaji kuajiri, ajiri watu waliosoma private universities utakuja kunishukuru

Kuna baadhi ya vyuo pu*lic vinawajenga wanafunzi wao katika mifumo ya kishamba sana
Hasa UDSM.
 
Mifumo ya elimu.

Kwanza ifahamike hakuna mfumo mmoja ulio Bora kushinda mwenzie.

Mifumo yote ni mizuri na hakuna ulio bora kushinda mwingine unless atokee popoma mmoja atakaye sifia A na kuponda B kwa sababu ya personal interest zake.

Pili elimu itambulike mwisho kidato Cha sita yaani academic.

Baada ya hapo kinachofuata ni Taaluma.

1)Direct kutoka kidato Cha Sita
Hapa naomba ijulikana mtu ataomba undergraduate studies au Diploma baada ya kumaliza kidato Cha sita.

Mfano:Hapa kundi kubwa la watu wa PCB, PCM,PGM huangukia kwa sababu ya mfumo mbovu wa shule za serikari eneo hili huwezi kumkuta yule popoma wa Alasiri ila yeye utamkuta hakuna kusoma kufaulu lazima.

2) Direct kutoka form four kwenda college
Hapa Kuna Lile kundi linaloomba kwenda technical college.

Mfumo huu ndio uliotengeneza wataalamu kibao kwenye Mataifa yaliyoendelea. ambayo inamuandaa kijana kuwa mtaalamu badala ya general knowledge ya kidato Cha sita.

Hapo Kenya tu, ukimaliza shule ya upili basi unajiunga na college.

Kumbuka diploma inamuandaa mtu kuwa mtaalamu na sio mfanya maamuzi ambao ndio msingi wa Taifa lolote duniani.

3) VETA au Mafundi mangungo
Nani asiye ijua thamani ya elimu itolewayo na Veta kwenye nchi nchi hii.

Kumbuka kuingia Moja kwa Moja kutoka kidato Cha sita au Kupitia college haimfanyi mtu awe na akili au hapana ila inategemeana na mazingira.

Hivyo huyu popoma wa mass communication anayejihesabu ana akili, mjue tu hakuna kitu.

Shuleni kote vichwa husoma sayansi, halafu Biashara na Hesabu huko kwenye Sanaa ndio unakompata popoma ambaye naye akili kisoda.
Umeshajiuliza ni kwanini Umeandika Kiurefu hivi ( kwa Maelezo ) na mpaka sasa hujapata hata tu Like Moja? Jibu ni kwamba Umeandika Upumbavu mtupu uliotokana na Upumbavu wako wa Kurithishwa.
 
We popoma unatafuta tumakosa tudogo hivyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Ishara ya kwamba huna hoja ila umejaa vihoja.

Ndio ni kozi laini laini, zisizo hitaji akili nyingi au wanafunzi wanaochukua mkondo wa Sanaa wanakuwaga special darasani[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Yaani wewe Uwe kipanga na waliosoma kozi ngumu wasemaje.

Wewe ni kilaza tu na deep down unalijua hili.
View attachment 2298025
Mbona kila ukitoa Maelezo yako hupati Like yoyote Ile? au tayari Wadau ( Members ) nao Wameshakushtukia kuwa licha ya kuwa ni Imbecile lakini pia ni Mental Case?
 
Chuo ni Don Bosco Youth Training Central (DBYTC)
 
Umeshajiuliza ni kwanini Umeandika Kiurefu hivi ( kwa Maelezo ) na mpaka sasa hujapata hata tu Like Moja? Jibu ni kwamba Umeandika Upumbavu mtupu uliotokana na Upumbavu wako wa Kurithishwa.
Like za nini Mimi, we popoma.

Jibu hoja
 
Mbona kila ukitoa Maelezo yako hupati Like yoyote Ile? au tayari Wadau ( Members ) nao Wameshakushtukia kuwa licha ya kuwa ni Imbecile lakini pia ni Mental Case?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwa sababu wewe na hao wenzio ni sampuli moja
 
Yaani aliyesoma mass communication naye anajisifia kuwa ana akili.

Sisi ilikuwa ukienda huko tunasema umebadili jinsia
 
Back
Top Bottom