Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

Never settle for less kwasababu utajilaumu na kuumia sana mbeleni. Wote wenye hizo tabia wapo ila kucheat ni combination ya vyote. Ukiogopa kusimamia ukitakacho basi utabaki kujilaumu sana mbeleni. Kuoa sio lazima, ukimkosa mwenye msingi mizuri ya maisha acha tulia kwakuwa ukiendelea naye atakuvuruga kabisa hata hapo ulipo maana ataiharibu afya yako ya akili. Na bila afya njema basi huna utakaloweza fanya. Uzinzi upo, ila mimi si mzinzi basi sitakubali niishi mtu mzinifu maana itaniharibia msingi mzima wa maisha yangu. Ukikosa mtu sahihi wa maisha, achana na mahusiano lasivyo utalea familia mbovu huku ukiwa na uchungu, kama utaishi hivyo mpaka kuingia kaburini basi sawa ila kamwe usipige kelele. Ukiharibu msimamo wako ili tu kumpata mtu basi utaharibu misimamo yote ya maisha yako. Kuoa sio lazima mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kusimamia ukitakacho ni pamoja na kuoa mwanamke unaempenda na ndio anachotaka kufanya jamaa yetu hapo. Pia huenda huyo mwanamke ndio anampa afya ya akili, pengine akimuacha ndio afya yake ya akili itazorota na atachanganyikiwa kabisa! Haya maisha yana mambo mengi..
 
Tanzania ni nchj huru,
Vyema sana kama unakupa furaha,komaa nae mwanzo mwisho.
 
Kiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata.

Sasa last week nlienda kufanya sapraiz kwake. Bahati mbaya nikamkuta na mwanaume wake wa zamani wananyonyana mate sebuleni. Nlishtuka sana nikawaomba radhi nikatoka kurudi home.

Baadaye nlimtafuta kwa simu akawa hapokei. Baada ya siku mbili ndo akapokea. Alinifokea sana kuwa nlimdhalilisha nitaendaje kwake bila kumtaarifu. Na hizo tabia za kishamba hapendi. Aliniambia wanaume huwa hawafanyi hivyo.

Kweli nlijisikia vibaya sana. Maana yeye alidhani nlienda kumfumania makusudi kumbe wala hata sikuwa na hiyo nia. Basi tu ilitokea bahati mbaya. Kiukweli kipindi chote napotaka kwenda huwa namwambia siku moja kabla siku ile ufala tu uliniingia. Nilijutia kosa langu kwa kweli.

Nimembembeleza sana mwishowe ameamua kunisamehe na kuruhusu tuendelee na uhusiano. Jaman nashauri msipende kusapraizi mtu si nzuri kwenye mahusiano.

Sasa tumerudiana na nimeshika adabu yangu. Huyu dada nachompendea pia ana msimamo sana so tumekutana watu wa misimamo. Mwakani nataka nimuwowe.
Kwahiyo huo ni msimamo???ngoja nikasali kwanza,nikirudi ntakujibu vizuri,maama naona unataka kuniharibia ibada yangu leo j.pili...
 
Kiukweli kama week mbili sasa sikuwa na amani kabisa wala furaha. Huyu dada nampenda sana na ni mwaka sasa. Nimeamua nimuoe. Of course nlimkuta ana mtu so nikatumia nguvu nyingi kumpata.

Sasa last week nlienda kufanya sapraiz kwake. Bahati mbaya nikamkuta na mwanaume wake wa zamani wananyonyana mate sebuleni. Nlishtuka sana nikawaomba radhi nikatoka kurudi home.

Baadaye nlimtafuta kwa simu akawa hapokei. Baada ya siku mbili ndo akapokea. Alinifokea sana kuwa nlimdhalilisha nitaendaje kwake bila kumtaarifu. Na hizo tabia za kishamba hapendi. Aliniambia wanaume huwa hawafanyi hivyo.

Kweli nlijisikia vibaya sana. Maana yeye alidhani nlienda kumfumania makusudi kumbe wala hata sikuwa na hiyo nia. Basi tu ilitokea bahati mbaya. Kiukweli kipindi chote napotaka kwenda huwa namwambia siku moja kabla siku ile ufala tu uliniingia. Nilijutia kosa langu kwa kweli.

Nimembembeleza sana mwishowe ameamua kunisamehe na kuruhusu tuendelee na uhusiano. Jaman nashauri msipende kusapraizi mtu si nzuri kwenye mahusiano.

Sasa tumerudiana na nimeshika adabu yangu. Huyu dada nachompendea pia ana msimamo sana so tumekutana watu wa misimamo. Mwakani nataka nimuwowe.

Wewe ni mwanaume kweli?
 
Fala wewe ulinikera kidogo nikulambe makofi me nipo zangu nakula vitu unaleta pua lako.. Mamayo na ukimuoa kwa mwezi kwako atalala siku 5 tu pumbavu zingine zote kwangu shenzi
 
Heee, wewe ni zwazwa kabisa, na utateseka mpaka akili ikukae sawa
 
Nimejizuia kucomment ila nimeshindwa

Nikuuulize!!!

Wewe ni yule member Daktari wa meno aka Mtanesco?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtanesco
 
Basi sawa
04D5F184-E7E7-4DC5-A4CD-5CAC72C184A5.gif
 
We jamaa utakuwa umepungukiwa kitu kwenye kichwa chako kaa utafakali
 
Kusimamia ukitakacho ni pamoja na kuoa mwanamke unaempenda na ndio anachotaka kufanya jamaa yetu hapo. Pia huenda huyo mwanamke ndio anampa afya ya akili, pengine akimuacha ndio afya yake ya akili itazorota na atachanganyikiwa kabisa! Haya maisha yana mambo mengi..
Watu wanataka lazimisha maisha yao yawe yetu. Mwanaume lazima uwe na moyo mgumu. Siyo jambo dogo tu unasusa. Mimi huyu dada namkubali sana.
 
Back
Top Bottom