OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Waliokuwa naye hapa Ndanda tunaomba taarifa. Hiki kibali ni kizito sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuja Mwasibu
Mwamba amepewa kabisa na kibali🤣🤣🤣🤣🤣
Siku dogo aliponiambia baba shule tunakula vizuri kuliko nyumbani, nikajua hapo hakuna shule likizo itakuwa anaenda kijijini kuchunga mbuziIla amenikumbusha mbali, lile harage lenye chuzi jeupeeee, likiwekwa kwenye bakuli linalia kama halikuwahi kupikwa, huku likiwa limeoga mafuta ya taa au sabuni(huu ukatili sijui kama bado wanafanyiwa Hawa vijana wa siku hizi)😂😂😂😂😂.
Hizo janja janja tu za vijana... Ukoko ni mwingi kwahiyo unaachiwa jungu baada ya wenzako wote kupewa kikombe kimoja cha wali, ila alichonishangaza ni namna alivyomshawishi huyo mkuu wa shule hadi kumpa hiko kibali😂😂😂Huenda amegundulika ana tatizo la ukosefu wa Madini ambayo amegundua yanapatikana kwenye huo Ukoko
Ila Ulaji wa Ukoko kupita kiasi, unaweza kumletea shida huyo ndugu, hivyo awe makini
Siku hizi wanakula hadi pilau bhana, nilishangaa sana niliposkia hizi habari😅😅Siku dogo aliponiambia baba shule tunakula vizuri kuliko nyumbani, nikajua hapo hakuna shule likizo itakuwa anaenda kijijini kuchunga mbuzi
Hahaha..........balaaHizo janja janja tu za vijana... Ukoko ni mwingi kwahiyo unaachiwa jungu baada ya wenzako wote kupewa kikombe kimoja cha wali, ila alichonishangaza ni namna alivyomshawishi huyo mkuu wa shule hadi kumpa hiko kibali😂😂😂
Yeah shule za boarding ukitaka ufurahie maisha uwe kiongozi na ukiweza jitahidi uwe kiongozi wa msosi au wa dom kama wewe kwa maana viongozi wa dom huwa wanaheshimiwa sana kutokana na zile favor za kujificha bwenini muda wa prepo😅Hahaha..........balaa
Ndiyo maana wakati nipo shule niligombea dormitory leader ili iwe rahisi kupata wali wakutosha 😜
Na wasi wasi na muhuli kafogiView attachment 3234164
Waliokuwa naye hapa Ndanda tunaomba taarifa. Hiki kibali ni kizito sana
Kabisa MkuuYeah shule za boarding ukitaka ufurahie maisha uwe kiongozi na ukiweza jitahidi uwe kiongozi wa msosi au wa dom kama wewe kwa maana viongozi wa dom huwa wanaheshimiwa sana kutokana na zile favor za kujificha bwenini muda wa prepo😅
Majini yanapenda sana ukokoView attachment 3234164
Waliokuwa naye hapa Ndanda tunaomba taarifa. Hiki kibali ni kizito sana