Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Mkuu duuuh unanifanya nitokwe na machozi mkuu
 
Yeah kuna gap but it,s not physical gap,,,,,,,spritual gap mkuu
 
Sawa mkuu
 
Sawa mkuu
 
Duuuh
 
Samahani lakini, naomba kukuuliza tu, hivi wewe ni Muislam?
 
Hapana mm ni mbantu asilia kilembwe wa mtemi KINTU,,,,siwezi kua mfuasi wa dini ya kiarabu!!
Sawa, nilikuuliza vile makusudi kwani waumini wengi wa hiyo dini ndiyo wanapatwa na majini na kuwashawishi wajiunge na Hamas ili wakifa waende motoni kupokelewa na kuwadi wao FaizaFoxy kisha kuwakabidhi mabikra 72 walioshindikana hapa duniani.
 
dah pole sana mkuu,hilo ni janga kwa vijana wengi, tatizo hilo mara nyingi ni la kisaikojia maana linahusiana na matatizo ya afya ya akili.jaribu kuwaona watalam wa saikolojia kabla hali haijawa mbaya zaidi,kingine zidisha maombi huenda hizo ni sauti za shetani au uchawi.
 
Wewe utakuwa Muislam tu kushukiwa na majini / mashetani. Hawajakupa ahadi ya kupewa mabikra 72 baada ya kujiua?
 
Wakati mwingine hayo matatizo mtu akiyasema, mbele ya jamii ama Kwa wa wale anaowaamini huishia pengine hishia kulaumiwa na kuonekana mkosaji, kupewa maneno ya dhihaka na kutokusaidiwa kabisa, ama kusaidiwa Kwa vijembe!!
So mtu anaamua kujikalia kimya tu Kwa sababu ya mapokeo kwenye jamii!!
Ukitaka kujua Hilo, wewe leta hata mapito Yako humu kuomba msaada uone utakavyojibiwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…