Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Joseph Stalin mtawala wa zamani wa Sovieti aliwahi kunukuliwa akisema "Death is a solution of every thing, no man no problem"
Alimaanisha kwamba kifo ndio suruhu ya kila kitu. Matatizo mengi yanasababishwa na binadamu na matatizo yapo kwa ajili ya binadamu.

Bro we endelea na mpango wako wa kujiua
Duuh
 
Nipo hapa kwa huyu Nabii Joe Davie.
Waumini wanapeleka hela madhabahuni.
Wameinuka kwenda mbele KATI YA MARA KUMI NA MARA ISHIRINI KUPELEKA HELA MADHABAHUNI.
HATA KWA MWAMPOSYA SIJAONA HII.
Nipo Arusha katika Ibada. Huyu Nabii Joe David.
Yeye hayupo. Huyu ni msaidizi wake.
IT IS ENOUGH.NAONDOKA.
NASIKIA HILI TANGAZO,"HEBU,WAUMINI,TUANZE RASMI SASA KUTOA SADAKA"
WAKATI WATU WAMESHATOA SADAKA MARA ISHIRINI.

Nipo ndani ya daladala sasa narudi Arusha mjini.
Nimeona jambo ambalo sijawahi kuliona maisha yangu yote ya kupanda daladala.
Huyu kijana amekataa kulipa nauli ya nyongeza ya serikali. Ameondoka akilindwa na rafiki zake. Wameondoka wanatabasamu,wamemwacha kondakta anaongea vitisho.
 
Nipo hapa kwa huyu Nabii Joe Davie.
Waumini wanapeleka hela madhabahuni.
Wameinuka kwenda mbele KATI YA MARA KUMI NA MARA ISHIRINI KUPELEKA HELA MADHABAHUNI.
HATA KWA MWAMPOSYA SIJAONA HII.
CAN WE BLAME THOSE PEOPLE WHO ARE BOMBING THESE CHURCHES?
Nipo Arusha katika Ibada. Huyu Nabii Joe David.
Yeye hayupo. Huyu ni msaidizi wake.
IT IS ENOUGH.NAONDOKA.
NASIKIA HILI TANGAZO,"HEBU,WAUMINI,TUANZE RASMI SASA KUTOA SADAKA"
WAKATI WATU WAMESHATOA SADAKA MARA ISHIRINI.

Nipo ndani ya daladala sasa narudi Arusha mjini.
Nimeona jambo ambalo sijawahi kuliona maisha yangu yote ya kupanda daladala.
Huyu kijana amekataa kulipa nauli ya nyongeza ya serikali. Ameondoka akilindwa na rafiki zake. Wameondoka wanatabasamu,wamemwacha kondakta anaongea vitisho.
Sadaka mara ishirini mkuu
 
Kweli mkuu???
Yes Mkuu speaking from experience....nkipitiaga hali kama yako Kuna mawili...either I messed up with God Yan unakua unafeel empty kama kopo flan hivi Yan unajiona Kuna missing part imeondoka huaga naomba toba ya dhat kabisa nalia na kuomboleza ...yapili shetani anacheza na akili yako hapo anataka akudestroy huaga nasali naitia jina laYesu...ananihuisha
 
Yes Mkuu speaking from experience....nkipitiaga hali kama yako Kuna mawili...either I messed up with God Yan unakua unafeel empty kama kopo flan hivi Yan unajiona Kuna missing part imeondoka huaga naomba toba ya dhat kabisa nalia na kuomboleza ...yapili shetani anacheza na akili yako hapo anataka akudestroy huaga nasali naitia jina laYesu...ananihuisha
Oky mkuu
 
Sauti inakuja kichwani jiue....!!!

Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.

Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...

NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.

Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.

Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.

Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.

Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Pole sana ndugu,ikatae iabusa hiyo sauti/roho wa mauti.
Yani hupaswi kujiua hata iweje,pambana mpaka tone la mwisho la jasho lako. Kukata kwangu tamaa huwa ni kuchapa kazi yoyote ile kama mwehu bila kujali.
 
Back
Top Bottom