Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #221
Kweli mkuu???Oa,ndoa itaku keep busy tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu???Oa,ndoa itaku keep busy tu
DuuhJoseph Stalin mtawala wa zamani wa Sovieti aliwahi kunukuliwa akisema "Death is a solution of every thing, no man no problem"
Alimaanisha kwamba kifo ndio suruhu ya kila kitu. Matatizo mengi yanasababishwa na binadamu na matatizo yapo kwa ajili ya binadamu.
Bro we endelea na mpango wako wa kujiua
Kama una mwamini Mungu Muumba wa Mbigu na nchi, na Yesu Kristo nicheck tuombe pamoja, UtaponaOkoka, muamini Yesu Kristo, sauti ya mauti haitakuwa na nguvu juu yako
Duuh
I will do itKama una mwamini Mungu Muumba wa Mbigu na nchi, na Yesu Kristo nicheck tuombe pamoja, Utapona
Sadaka mara ishirini mkuuNipo hapa kwa huyu Nabii Joe Davie.
Waumini wanapeleka hela madhabahuni.
Wameinuka kwenda mbele KATI YA MARA KUMI NA MARA ISHIRINI KUPELEKA HELA MADHABAHUNI.
HATA KWA MWAMPOSYA SIJAONA HII.
CAN WE BLAME THOSE PEOPLE WHO ARE BOMBING THESE CHURCHES?
Nipo Arusha katika Ibada. Huyu Nabii Joe David.
Yeye hayupo. Huyu ni msaidizi wake.
IT IS ENOUGH.NAONDOKA.
NASIKIA HILI TANGAZO,"HEBU,WAUMINI,TUANZE RASMI SASA KUTOA SADAKA"
WAKATI WATU WAMESHATOA SADAKA MARA ISHIRINI.
Nipo ndani ya daladala sasa narudi Arusha mjini.
Nimeona jambo ambalo sijawahi kuliona maisha yangu yote ya kupanda daladala.
Huyu kijana amekataa kulipa nauli ya nyongeza ya serikali. Ameondoka akilindwa na rafiki zake. Wameondoka wanatabasamu,wamemwacha kondakta anaongea vitisho.
Yes Mkuu speaking from experience....nkipitiaga hali kama yako Kuna mawili...either I messed up with God Yan unakua unafeel empty kama kopo flan hivi Yan unajiona Kuna missing part imeondoka huaga naomba toba ya dhat kabisa nalia na kuomboleza ...yapili shetani anacheza na akili yako hapo anataka akudestroy huaga nasali naitia jina laYesu...ananihuishaKweli mkuu???
Mkuu ukiendelea mwishowe utaona pombe haikupi relief utajikuta unaingia kwenye madawa ya kulevyaMkuu pombe haitakusaidia... maombi tu ndo yatakusaidia
Kwa hiyo kichwa kimetulia sasa?Nimepiga K vant hapa na ndizi za kuchoma...mitaa ya kitambaa cheupe sinza
Sawa mkuuMkuu hio ishu yako ni more spiritual kuliko unavozanii I feel it kabisa moyoni hiyo ni spiritual warfare...muite Mungu wa walokoke ajibuye Kwa radio na moto
Hapana pombe ndio inapelekea watu kujiua,,,,i was joking about tht !!Kwa hiyo kichwa kimetulia sasa?
Oky mkuuYes Mkuu speaking from experience....nkipitiaga hali kama yako Kuna mawili...either I messed up with God Yan unakua unafeel empty kama kopo flan hivi Yan unajiona Kuna missing part imeondoka huaga naomba toba ya dhat kabisa nalia na kuomboleza ...yapili shetani anacheza na akili yako hapo anataka akudestroy huaga nasali naitia jina laYesu...ananihuisha
Surrender to Jesus now.....no gap/void will be left empty.Yeah kuna gap but it,s not physical gap,,,,,,,spritual gap mkuu
Una mke au watoto ?Pesa ninazo na uchumi upo oky,,,but deep inside i feel emotion less towards life...
The same as Wanaojiua wanavyokua wanahisi!!!Life seem empty and nothing
We jiue tu, watu waoe mkeo chapUtaambiwa komaa.. pambana
Inshort no one give a f*ck about you in real life, labda wazazi na cha nyongeza ni kwamba hata ukijiua ratiba zitayumba kidogo tu then zitaendelea kama kawaida
🥲
Pole sana ndugu,ikatae iabusa hiyo sauti/roho wa mauti.Sauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.