EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
We jamaa si ndio ulipigaga ila pisi iliyotoka Mwanza ukampa 7800 au nimekufananisha?Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne.
Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda.
Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Hanishindi katika jina mwokozi alie hai....Unaweza ukawa mwema Ila mwenzio akakushinda pamoja na wema wako
Sote na tuseme emen!Hanishindi katika jina mwokozi alie hai....
Hakunaga komadoo kwene haya ni kumuomba tu MunguHanishindi katika jina mwokozi alie hai....
AmenHakunaga komadoo kwene haya ni kumuomba tu Mungu
Sasa si uendee mahakamani ukachukue talakaWewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.
Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.
Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.
Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.
Wwe unaonekana ni wale Mke singoki hata iweje!!Kipindi hiki talaka zinatembea kichizi, Ooh Father naomba unifanye nizidi kuwa mke mwema... Amen.
Baba Aggy kwanini umemuacha? Pole sana....
Ndio pale niliposema kwa vijana wa kiume wanapambana na mengi. Ksbb wengi wanapitia magumu kwenye ndoa lakini ksbb ya ile hali ya uanaume anabaki nayo moyoni.Sasa si uendee mahakamani ukachukue talaka
Kwanini uishi maisha artificial wakati maisha ni haya haya mafupi??Ndio pale niliposema kwa vijana wa kiume wanapambana na mengi. Ksbb wengi wanapitia magumu kwenye ndoa lakini ksbb ya ile hali ya uanaume anabaki nayo moyoni.
Pia ambacho kwangu ni kinanisumbua ni muda sina. Nina shughuri zangu nyingi,kwa hiyo si unajua mambo ya mahakama...! Siku ambazo una kazi MUHIMU ofisini kwako ya kuingiza hela,ndio inatakiwa na wewe uende mahakamani.
Mwisho wewe mwanaume kwenda mahakamani kudai Talaka ndio ufala nao wa hali juu. Bora upambane kivingine,lakini sio mimi kwenda mahakamani. Ikishindikana bora hata uandae gunia mbili,au hata tatu za mkaa (natania mkuu,siwezi kufikia huko,ila kwenda mahakamani nako siwezi)
Aisee pole sana, ila ndugu yangu unajua duniani humu hatuishi miaka mingi sana, ikizidi sana wanasema average ni 70. Sasa wewe huoni kuwa maisha yako duniani yatakuwa ni ya kuteseka? Kwanini iwe hivyo? mimi asingeniambia mtu kitu siwezi ishi maisha hayo tungeachana tu. Watoto najua ningefanya namna yoyote waishi vyema.Ni kama kusogeza siku tu.
Hii ndoa imenifundisha mambo mengi. Zamani wazee ilikuwa mtoto mmojawapo iwe wa kike au kiume akilalamikia ndoa wanamwambia vumilia tu ndio ndoa zilivyo. Kumbe huko ndani anaungulia hatari. Ndio maana kuna wimbi kubwa la wanandoa kuuana.
Hasa vijana wa kiume wanapitia magumu sana kwenye ndoa ksbb ile hali ya uanaume inakufanya uugulie peke yako ndani kwa ndani.
Mimi ksbb najua nimeji-control ili nisiuumize moyo. Kwa hiyo lolote mi poa tu,ili maisha yasonge. Sio kwamba niko vibaya kimaisha...! Yeye mwenyewe nimenunulia usafiri. Wapo watu ambao ni forward tu wanawaza. Hafikiri nyuma,yeye akiwaza jambo usimpinge.
Wewe oa mwanamke mwingine yeye ataenda Mahakamani.Ndio pale niliposema kwa vijana wa kiume wanapambana na mengi. Ksbb wengi wanapitia magumu kwenye ndoa lakini ksbb ya ile hali ya uanaume anabaki nayo moyoni.
Pia ambacho kwangu ni kinanisumbua ni muda sina. Nina shughuri zangu nyingi,kwa hiyo si unajua mambo ya mahakama...! Siku ambazo una kazi MUHIMU ofisini kwako ya kuingiza hela,ndio inatakiwa na wewe uende mahakamani.
Mwisho wewe mwanaume kwenda mahakamani kudai Talaka ndio ufala nao wa hali juu. Bora upambane kivingine,lakini sio mimi kwenda mahakamani. Ikishindikana bora hata uandae gunia mbili,au hata tatu za mkaa (natania mkuu,siwezi kufikia huko,ila kwenda mahakamani nako siwezi)
Mwaka 2015 nikampiga mimba mdada mmoja huko wilayani. Lakini sijamuoa,ila nilikuwa nimekubaliana nae jambo. Ksbb nilimwambia hali halisi kwamba nina familia. Tukaelewana ABC.Wewe oa mwanamke mwingine yeye ataenda Mahakamani.
Ndio hivyo mkuu. Zipo ndoa nyingi tu ambazo watu wamo wanaishi,ila namna ya kuachana inakuwa ngumu sana. Kama mimi hataki,anang'ang'ana.Aisee pole sana, ila ndugu yangu unajua duniani humu hatuishi miaka mingi sana, ikizidi sana wanasema average ni 70. Sasa wewe huoni kuwa maisha yako duniani yatakuwa ni ya kuteseka? Kwanini iwe hivyo? mimi asingeniambia mtu kitu siwezi ishi maisha hayo tungeachana tu. Watoto najua ningefanya namna yoyote waishi vyema.
Nang'oka kwenda wapi? Siendi kokote mimiWwe unaonekana ni wale Mke singoki hata iweje!!
Wanawake wataka kutupanda kichwani ukiwa na msimamo mwanaume lazima ndoa ivunjikeJini mkata kamba kaingia kwenye ndoa za watu,
Jamani watu wanaacha msimu huu, sijui kwanini,
Kuweni makini na ndoa zenu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] muhaya je hao ndoo balaaaMwaka 2015 nikampiga mimba mdada mmoja huko wilayani. Lakini sijamuoa,ila nilikuwa nimekubaliana nae jambo. Ksbb nilimwambia hali halisi kwamba nina familia. Tukaelewana ABC.
Alipojifungua,mtoto amekua kua wa kiume. I see usiambiwe watoto wa kuiba mkuu. Mtoto ametoka copy tembea,kutabasamu,upole,kila kitu kachukua yule mtoto.
Kama kawaida Wazee wa ubuyu wakamtonya mke. Akapita njia zake akamfahamu yule mtoto. Ugomvi huo ulikuwa sio wa nchi hii. Mke akajifanya ameumia sana. Kiukweli ni kama nimemuachia maumivu. Ksbb mpaka aliumwa. Japo sikutaka afikie kwenye kuumwa,ila nilitaka sana apate funzo.
Lakini sio kwamba ndio amejifunza. Na utetezi wangu ni mmoja tu sipewi heshima ya mume ninayostahili kama mume. Kila kitu hapo ndani ni mimi tu ananitegemea. Lakini nafikiri ndio nikajua maana ya watu kusema usioe Mnyakyusa
Familia wasionkuwa na adabu ndio uwa hivyo lkn wenye hekima mtasumbuana sana..Tatizo mume na mke wakigombana kqa jamii za kitz ndugu wanaingilia pande mbili zinavurugika inakuwa ni uhasama najiulizaga nakosa jibu ni kwann inakuwa ivo hasa ndugu wa mume wanatoka huko kila mtu na lake wanatukana mke mara malaya, na hawajui hata chanzo.
Je unafikiri km mkuu MAGALLAH R ndo mkosaji kuna ndugu anaweza kwenda kuongea na mkewe
Pole mkuu, wanaume tunakufa na mapema kwa sababu nyingi..ikiwemo hili la kuishi na Hawa viumbe kwa lengo la kunusuru maisha na malezi ya watoto.Ni kama kusogeza siku tu.
Hii ndoa imenifundisha mambo mengi. Zamani wazee ilikuwa mtoto mmojawapo iwe wa kike au kiume akilalamikia ndoa wanamwambia vumilia tu ndio ndoa zilivyo. Kumbe huko ndani anaungulia hatari. Ndio maana kuna wimbi kubwa la wanandoa kuuana.
Hasa vijana wa kiume wanapitia magumu sana kwenye ndoa ksbb ile hali ya uanaume inakufanya uugulie peke yako ndani kwa ndani.
Mimi ksbb najua nimeji-control ili nisiuumize moyo. Kwa hiyo lolote mi poa tu,ili maisha yasonge. Sio kwamba niko vibaya kimaisha...! Yeye mwenyewe nimenunulia usafiri. Wapo watu ambao ni forward tu wanawaza. Hafikiri nyuma,yeye akiwaza jambo usimpinge.