Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

We jamaa si ndio ulipigaga ila pisi iliyotoka Mwanza ukampa 7800 au nimekufananisha?

Leo yamekukuta wewe
 
Mtu umemzalisha watoto wa nne una wasi wasi gani?...yeye ndo amepoteza mkuu...hakuna mtu atakayekubali kuoa mtu ana watoto wanne...ingekuwa mm ningefanya sherehe na kuvuta chombo kipya within a week!
 
Sasa si uendee mahakamani ukachukue talaka
 
Sasa si uendee mahakamani ukachukue talaka
Ndio pale niliposema kwa vijana wa kiume wanapambana na mengi. Ksbb wengi wanapitia magumu kwenye ndoa lakini ksbb ya ile hali ya uanaume anabaki nayo moyoni.

Pia ambacho kwangu ni kinanisumbua ni muda sina. Nina shughuri zangu nyingi,kwa hiyo si unajua mambo ya mahakama...! Siku ambazo una kazi MUHIMU ofisini kwako ya kuingiza hela,ndio inatakiwa na wewe uende mahakamani.

Mwisho wewe mwanaume kwenda mahakamani kudai Talaka ndio ufala nao wa hali juu. Bora upambane kivingine,lakini sio mimi kwenda mahakamani. Ikishindikana bora hata uandae gunia mbili,au hata tatu za mkaa (natania mkuu,siwezi kufikia huko,ila kwenda mahakamani nako siwezi)
 
Kwanini uishi maisha artificial wakati maisha ni haya haya mafupi??
Yani uishi na mtu ambaye ushamchoka kwa kuwa tu unataka kuonesha uanaume?
Si uhame umuachie nyumba akichoka ataendelea na yake...
Maisha ya amani ni kila kitu asee maana stress unazopata Leo au maumivu unayopitia Leo ndo cancer au stroke ya kesho.
Ninaona watu 2 ambao wanapitia hizi illness kwa sababu ya stress na maumivu waliyopitia kwenye ndoa ila kwa sasa ni too late
 
Aisee pole sana, ila ndugu yangu unajua duniani humu hatuishi miaka mingi sana, ikizidi sana wanasema average ni 70. Sasa wewe huoni kuwa maisha yako duniani yatakuwa ni ya kuteseka? Kwanini iwe hivyo? mimi asingeniambia mtu kitu siwezi ishi maisha hayo tungeachana tu. Watoto najua ningefanya namna yoyote waishi vyema.
 
Wewe oa mwanamke mwingine yeye ataenda Mahakamani.
 
Wewe oa mwanamke mwingine yeye ataenda Mahakamani.
Mwaka 2015 nikampiga mimba mdada mmoja huko wilayani. Lakini sijamuoa,ila nilikuwa nimekubaliana nae jambo. Ksbb nilimwambia hali halisi kwamba nina familia. Tukaelewana ABC.

Alipojifungua,mtoto amekua kua wa kiume. I see usiambiwe watoto wa kuiba mkuu. Mtoto ametoka copy tembea,kutabasamu,upole,kila kitu kachukua yule mtoto.

Kama kawaida Wazee wa ubuyu wakamtonya mke. Akapita njia zake akamfahamu yule mtoto. Ugomvi huo ulikuwa sio wa nchi hii. Mke akajifanya ameumia sana. Kiukweli ni kama nimemuachia maumivu. Ksbb mpaka aliumwa. Japo sikutaka afikie kwenye kuumwa,ila nilitaka sana apate funzo.

Lakini sio kwamba ndio amejifunza. Na utetezi wangu ni mmoja tu sipewi heshima ya mume ninayostahili kama mume. Kila kitu hapo ndani ni mimi tu ananitegemea. Lakini nafikiri ndio nikajua maana ya watu kusema usioe Mnyakyusa
 
Ndio hivyo mkuu. Zipo ndoa nyingi tu ambazo watu wamo wanaishi,ila namna ya kuachana inakuwa ngumu sana. Kama mimi hataki,anang'ang'ana.

Unajua nini mambo ya dharau za wanawake ndani ya nyumba ni ndogo ndogo lakini zenye maumivu makali ndani ya moyo. Unaweza ukafika nyumbani umeleta vyakula na vitu vingine vingine mahitaji ya nyumbani. Lakini yupo sebuleni anaperuzi amenyoosha miguu. Wewe unahangaika kushusha vitu na HG.

Ukienda kumcheck ni mzima tu. Ukimuuliza hata kuja kuangalia tu?. Anaweza kukujibu kwani nakula mimi tu,si wanakula wanao. Check kama hivyo.

Natamani hata nimfumanie hivi ili iwe ndio ushahidi usiosameheka namna ya kumuacha. Kuna siku hata nilileta uzi mwenye kujua namna ya kudukua simu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] muhaya je hao ndoo balaaa
 
Familia wasionkuwa na adabu ndio uwa hivyo lkn wenye hekima mtasumbuana sana..
Mke/Mme inambidi kuolewa/kuoa na mtu/familia sahihi.. Mida ndio huu kurudi zama za Babu zetu..
 
Pole mkuu, wanaume tunakufa na mapema kwa sababu nyingi..ikiwemo hili la kuishi na Hawa viumbe kwa lengo la kunusuru maisha na malezi ya watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…