mkuu pole sana, maisha yanakuwa magumu sana...yaani kukaa nyumbani inakuwa kama jehanamu vile.Ni kama hamna ndugu. Maana kila mmoja amelikinai hilo tendo kwa mwenzie. Lipo kwa mbali kama kubakana tu ili kutimiza wajibu.
Nilichokifanya ili kujiokoa na kuuweka sawa moyo usipitie majeraha makubwa,ikanibidi nifungue duka wilaya nyingine na tulipo mkoani.
Kwa hiyo muda mwingi namalizia huko shop. Naweza nikawa huko wiki na home siku 3,au 4 sababu ya watoto.
Una akili sana,Wewe oa mwanamke mwingine yeye ataenda Mahakamani.
Mkomae[emoji2902][emoji2902]Wanawake wataka kutupanda kichwani ukiwa na msimamo mwanaume lazima ndoa ivunjike
Daah pole sana kamanda, wahenga tunaelewa hiyo haliNi kama hamna ndugu. Maana kila mmoja amelikinai hilo tendo kwa mwenzie. Lipo kwa mbali kama kubakana tu ili kutimiza wajibu.
Nilichokifanya ili kujiokoa na kuuweka sawa moyo usipitie majeraha makubwa,ikanibidi nifungue duka wilaya nyingine na tulipo mkoani.
Kwa hiyo muda mwingi namalizia huko shop. Naweza nikawa huko wiki na home siku 3,au 4 sababu ya watoto.
Kwanini mnatufanyia hivyo lakini mtatuua jamaniMkomae[emoji2902][emoji2902]
Wewe ndio mafala duniani. Kama unampenda bado mpaka kukuliza kwa nini unamuacha?. Mimi nilijua unaweka sherehe kabisa kufanikisha kufikia kitu kigumu Talaka??.
Mimi natamani hata kufikia leo Talaka,lakini mwanamke huyu ni king'ang'anizi hatari. Nimetumia kila njia nifikie hatua uliyofikia wewe.
Mpaka siku nikabeba vitu vyote ndani na loli nilimwambia ndio nakupeleka kwenu na vitu vyote vya humu ndani. Aliita watu wote ninaofahamiana nao mpaka wachungaji sio kwamba anaomba samahani ili tu wasuruhishe abaki. Nimesema kwamba kuomba samahani mke ni jeuri,kiburi. Tunaweza tukakaa hata miezi mi3 amenuna tu. Tunaishi kama jehanum karibia mwaka wa 15. Kuachana ndio hataki kabisa.
Mimi nikifikia hatua uliyofikia wewe ni sherehe. Sitarudi nyuma kumfikiria hata nusu,. Halafu sitaoa tena maisha yangu yote yaliyobakia.
AbsolutelyUkiona nyumbani kwako kwa familia yako mwenyewe huna hamu ya kumaliza kazi zako uende kwako badala yake unatamani jioni isifike ili uendelee kuwa mbali na nyumbani kwako kwasababu ya KERO za mke / mume, moja kwa moja ndoa inakuwa mashakani
Huwa nawaza sana watoto kwenye hii hatua.Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Nimepigia mstari "nimemuuzi mtu niliyempenda"--- Mara nyingi sisi wababa ni chanzo-- Pole sana mkuu! Tupo wengi tunaohangaika kutafuta suluhisho, kuachana na mtu uliyeishi naye zaidi ya miaka 7 inauma sana hata pale unapojiaminisha kuwa haumpendi tena!Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.
Alikuja kugundua kama nilizaa na
Daaah nimekosa mpaka cha kukomenti