Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana

mkuu pole sana, maisha yanakuwa magumu sana...yaani kukaa nyumbani inakuwa kama jehanamu vile.
 
Ukiona nyumbani kwako kwa familia yako mwenyewe huna hamu ya kumaliza kazi zako uende kwako badala yake unatamani jioni isifike ili uendelee kuwa mbali na nyumbani kwako kwasababu ya KERO za mke / mume, moja kwa moja ndoa inakuwa mashakani
 
Daah pole sana kamanda, wahenga tunaelewa hiyo hali
 
Reactions: BAK

Kuoa ndoa za kikristo ni shida sana...ndoa ya kiislam ndio sahihi
 
Ukiona nyumbani kwako kwa familia yako mwenyewe huna hamu ya kumaliza kazi zako uende kwako badala yake unatamani jioni isifike ili uendelee kuwa mbali na nyumbani kwako kwasababu ya KERO za mke / mume, moja kwa moja ndoa inakuwa mashakani
Absolutely
 
Huwa nawaza sana watoto kwenye hii hatua.
Mungu asimamame kurejesha amani kwenye ndoa aisee.
 
Ni yule uliyemhonga 7800, ooh! Nimecoment kabla sijasoma.
 
Katika kipengele ninachokipenda katika dini ya Ukristo ni kile cha katazo la kutalikiana, Kama umewahi kupitia pito analopita mleta mada utadhibitisha hiki nisemacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepigia mstari "nimemuuzi mtu niliyempenda"--- Mara nyingi sisi wababa ni chanzo-- Pole sana mkuu! Tupo wengi tunaohangaika kutafuta suluhisho, kuachana na mtu uliyeishi naye zaidi ya miaka 7 inauma sana hata pale unapojiaminisha kuwa haumpendi tena!
Pole kwa mara nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…