Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Silaa anatafuta umaarufu tu hana lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshakujua kua unaitwa Charles kilianTuliosoma vyema Somo la Critical Thinking / Logical Reasoning Chuo Kikuu changu cha Geniuses watupu nchini cha Saint Augustine University of Tanzania ( SAUT Mwanza 'We Build the City of God' ) mwaka 2009 tumemuelewa Waziri wa Ardhi Jerry Slaa katika Angles zifuatazo....
1. Kusema Kwake kuwa alikataa Rushwa ya Shilingi Milioni 300 kamaanisha wanaotaka Kumhonga wawe wanaenda na Kiasi cha Juu ya hiko alichokitaa.
2. Kusema Kwake kuwa hapokei Rushwa na Katosheka na anachokipata kama Waziri katengeneza hali ya kutaka Kugopwa na Kutozoeleka hivyo kwa wale Watakaothubutu kutaka kwenda Kumhonga basi wawe Wamejipanga kisawasawa huku wakiwa na Kinachotosheleza na Kisichokataliwa pengine na hata Bosi wake Mkuu aliyemteua.
3. Kusema Kwake waziwazi kuwa hapokei Rushwa yoyote kama Waziri kwa Akili Kubwa hapa katuma Ujumbe Muhimu kwa Watanzania kuwa Serikalini ( na hasa kwa Wao Mawaziri ) na hata Mawaziri wa Wizara aliyoko pamoja na waliokuwa Manaibu Wao walikuwa ni Wala Rushwa na Wamekula mno Rushwa hivyo Kiaina ni kama pia anamtaarifu Boss wake Mkuu ( Rais Samia ) kuwa kuna Rushwa Kubwa mno nchini na sana huko Serikalini waliko.
Mwisho GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza hapa leo hii Kumtabiria yafuatayo kwenda Kumtokea Mheshimiwa Waziri wa Ardhi Jerry Slaa baada ya Kauli yake hii ya Rushwa....
1. Kuanzia sasa atategwa na kufanyiwa Hujuma Kubwa ambazo huenda zinaathiri hata huo Uwaziri wake
2. Kuanzia sasa ameshajihatarishia Maisha yake kwani wale waliotaka Kumhonga hiyo Shilingi Milioni 300 watajisikia vibaya na Kuogopa kuwa ipo Siku anaweza Kuwataja na Kuwaharibia
3. Kuanzia sasa ameshatengeneza Uadui wa ama moja kwa moja au usio wa moja kwa moja dhidi ya Watendaji wake katika Wizara husika na hata Mawaziri Wenzake ila sidhani kama hata Boss wake Mkuu atamfurahia tena kwani kwa Alichokisema ni kama anaichafua Serikali yake na Yeye pia.
4. Sioni tena kama ataendelea kuwa Waziri wa hiyo Wizara ndani ya Miezi 6, 9 au 12 ijayo.
USHAURI / RAI
Tafadhali Viongozi Waandamizi ( Wakubwa ) Serikalini mkiwa mnazungumza hebu jaribuni Kwanza kuyapima yale mnayotaka Kuyasema au msiwe mnapayuka mkiwa Mmelewa Pombe au mna Hasira Kali ( Uchungu )
Hivi Moderators wa JamiiForums na JamiiForums Founder kwanini mnailea sana hii tabia ya kila mara GENTAMYCINE kufanyiwa Name Calling kama hivi huku nikihusishwa tu na kila IDs hapa JamiiForums kama ambavyo huyu Member amenihusisha na hii ya Charles kilian?Tumeshakujua kua unaitwa Charles kilian
Acha kutafuta sifa wewe alafu usiwe unanitag hovyo humu Mimi Id yangu ipo verified sina Id nyingine hapa jamiiforumsTumeshakujua kua unaitwa Charles kilian