Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wewe ndio lipumbavu mkuu! Yani umeandika ujinga tu. Hujui hata dunia inavyoenda!Kenya is not here to peddle Tanzanian interests
Business is war,and Kenya is doing it like they really mean it...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio lipumbavu mkuu! Yani umeandika ujinga tu. Hujui hata dunia inavyoenda!Kenya is not here to peddle Tanzanian interests
Business is war,and Kenya is doing it like they really mean it...
Hivi wewe lipumbavu hapa aliedharau uhusiano na mwenzie ni nani tz au Kenya?Pumbavu kama hili utakuta lipo kwa shemeji kazi ni kubadili chanel, utakuta limekimbia kijijini huko halijawahi hata kuuza karanga hajui lolote kuhusu ugumu unaowakuta wakulima na wafanyabiashara...
Kenya hawana ardhi mkuu,sisi ndo basket of food for east and central Africa,Ila tu tumekosa viongozi wa kutuongoza ili tuwe a real basket of food for our majiraniskwani unalima kwa ajiri ya kenya!!!
unafikiri kenya wakianza kulima na wao utamuuzia nani mahindi??
C unaona vilaza wanaochangia? Hii nch ina mabogaz mengi hayajitambui.Wakulima Walime, Watanzania tule kwani Kenya tu ndo wanamatumbo peke Yao?.. Viongozi wetu sio wajinga na sisi Watanzania tupunguze uoga, changamoto kidogo tu mshaanza kupost Mabandiko, Kama hawanunui wao tutauza kwingine watakapo hitaji, ikishindikana tuuziane humuhumu Maisha yaendelee mi hua hainingii akilini kununua debe la Mahindi 20,000 wakati mengine yanapelekwa Kenya huko.. hii Ni Vita ya kiuchumi na Kenya wameshaona Kuna uwezekano wakageuka koloni la Tanzania.. Punguzeni Uoga Vijana, maendeleo hayaji bila changamoto.. Sengwile Makamanda!!
Changia hoja ukiwa na uraia wako usijinasibishe na uraia usiokuhusu.subirini kujibiwa mapigoKenya is not here to peddle Tanzanian interests
Business is war,and Kenya is doing it like they really mean it..
Jamani hivi dunia ishakua kijiji, na wote tutaishi kwa kutegemeana mpendwa msiende, na uadui au ushabiki kama wa Simba na Yanga ktk mambo msingi ya kiuchumi hayatupeleka popote...mambo ya kutunisiana misuli kwenye ulimwengu wa free market economies hayana nafasi tena, labda kama mnataka kurudi nyuma tena kwenye siasa zilizoshindwa za kikomunisti.Kwa hiyo wewe unataka wakenya wafanye wanachotaka wao siyo?? Subiri tunapiga stop bidhaa zao zote kuja TZ tuone nani ataumia zaidi.
Magu amewashika pabaya sana nowadays, c unajua jamaa ni madalali wa malighafi za Tz, ss sleeping giant imeamka mali zake inauza yenyewe hapo ndipo kunapowauma cz wao mali zao ni chache na kanchi kao 3/4 ni kame[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nafikiri na sisi tulichangia baada ya kuchoma viranga vyao mpakani kwa sababu ya kutokukidhi viwango au labda kuna mengi nyuma ya pazia ambayo hajawekwa wazi
Tuna visa vya kibwege sanaNafikiri na sisi tulichangia baada ya kuchoma viranga vyao mpakani kwa sababu ya kutokukidhi viwango au labda kuna mengi nyuma ya pazia ambayo hajawekwa wazi
Wamesema mahindi ya Tz yana sumu kuvu inayosababisha kansa, je ni kweli hayana hilo limethibitishwa na mamlaka za Tz? maana Tz kwa siku za karibuni imekuwa ikifanya vituko/uwongo wa kijinga kwa mfano watu wanapimwa korona wanapewa vyeti hawana lakini wakifika nchi wanayoenda wakipimwa wanakutwa nayo mifano ipo ingi tu!kuna clip nimeiona inaonyesha wakulima wa kenya wakilaumu ofisi ya makamu wa rais wa nchi yao, kuwa ndiye yeye na group lake wameagiza mahindi kutoka nje, ndiyo wao wanalima mahindi heka 500,000 huko congo brazavile ili wayauze kwa wananchi wa kenya..
nakubaliana na usemayo mkuu, nafikir ni muda muafaka wasisi kama tz kujitathimini kwny baadhi ya maswala kama hilo la sukar nk. ijapokuwa yapo ambayo tulimalizana nao kama hilo la vifaranga.Wamesema mahindi ya Tz yana sumu kuvu inayosababisha kansa, je ni kweli hayana hilo limethibitishwa na mamlaka za Tz? maana Tz kwa siku za karibuni imekuwa ikifanya vituko/uwongo wa kijinga kwa mfano watu wanapimwa korona wanapewa vyeti hawana lakini wakifika nchi wanayoenda wakipimwa wanakutwa nayo mifano ipo ingi tu!
Sasa umekuwa mwongo.Kenya sasa hivi wanakimbizana na nchi za ulaya kwenye kilimo. Afrika wameshampiga bao south na misri kitambo, hawa vijana wanashinda jukwaa la siasa hawasomi yanayojiri kenya na nje ya tz matokeo yake ndio haya