YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mleta mada hujielewi bunge la kenya limegoma kusaini mkataba kati ya uungereza na Kenya wa kuuza bidhaa za kilimo uingerez unaojulikana kama EPA sababu ni wa kinyonyaji unaumiza wakulima wa kenya.Bunge la uingereza lilisaini lakini kulikwa na kipengele cha kusema bunge la kenya halitakuwa na mamlaka ya kubadilisha huo mkataba au kuridhia
Tanzania huo mkataba wa EPA bunge letu liligoma na nyie michadema kwa ujinga wenu mkatukana sana humu sasa Bunge la kenya limegoma kuridhia
Ni sahihi chadema kuwa mlipigwa chini sio wazalendo kabisa.Bunge la kenya wabunge wa chama tawala na upinzani wamesimama kama kitu kimoja kukataa mkataba Wa EPA wa kibiashara kati ya Kenya na Uingereza wakati sisi mivyama koko kama Chadema haikusimama na wabunge wa CCM kupinga!!!
Tanzania huo mkataba wa EPA bunge letu liligoma na nyie michadema kwa ujinga wenu mkatukana sana humu sasa Bunge la kenya limegoma kuridhia
Ni sahihi chadema kuwa mlipigwa chini sio wazalendo kabisa.Bunge la kenya wabunge wa chama tawala na upinzani wamesimama kama kitu kimoja kukataa mkataba Wa EPA wa kibiashara kati ya Kenya na Uingereza wakati sisi mivyama koko kama Chadema haikusimama na wabunge wa CCM kupinga!!!