Uchaguzi 2020 Nasimama na Dkt. John Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM

Uchaguzi 2020 Nasimama na Dkt. John Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM

Nilitabiri humu na ikawa kweli kuwa Wagombea wakuu wa uchaguzi mkuu wa Rais mwaka huu ni Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu (Upinzani/CHADEMA) na Dr. John Pombe Magufuli (CCM). Ni katika andiko langu hili: Uchaguzi 2020 - Utabiri wangu 2020: Ni Dr. John Pombe Magufuli (CCM) na Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu (Upinzani) Urais. Tuwafuatilie; tuwachambue na tuwachague!. Katika andiko langu hilo, niliahidi mgombea wa kusimama naye katika kuelekea uchaguzi mkuu huu.

Wengi wetu tunajua kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeshakamilisha uteuzi wa wagombea wa Urais. Pia, tunafahamu kuwa kampeni za Urais zinaanza leo ambapo CHADEMA watazindua kampeni zao Mbagala, jijini Dar es Salaam. Kesho itakuwa zamu ya CCM kuzindua kampeni zao huko jijini Dodoma. Wapo wagombea wengi katika ngazi ya Urais. Lakini, Dr. John Pombe Magufuli, Rais wa sasa wa Tanzania na mgombea wa CCM pamoja na Wakili Msomi Tundu Antiphas M. Lissu wanabaki kuwa wagombea wanaofuatiliwa Zaidi.

Ndiyo kusema, katika ngazi ya Urais, mchuano mkali utakuwa kati ya wagombea hao wawili. Kama mtanzania wa kawaida, mfuatiliaji wa siasa na nisiye mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania na kwingineko, nawiwa kusimama na Dr. John Pombe Magufuli, mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM. Naahidi kumuunga mkono katika kampeni zake atakazozianza kesho na kumuombea kura pale itakapobidi kwa nafasi yangu. Sababu za kumuunga mkono nitazieleza katika siku zijazo humuhumu JF zikichagizwa na yatakayosemwa kwenye kampeni.

#Nasimama na JPM kwa miaka mitano mingine!



Peter tumepingulua urafiki rasmi kuanzia leo!😣😣😣😣
 
Kibaraka wa Prof Kabudi mlamba miguu mkuu wa magufuli usimame na nani tena???? Unajulikana humu. Alafu Eti unasema huna Chama??? Tunakujua vizuri sana zaidi ya unavyojifahamu!

Ila jueni tu mwaka huu ndo mwisho wa udhalimu wenu wote nyie CCM. Kuna ujumbe mkubwa sana mtaupata mwaka huu !!
Unazungumza ukweli upi??? Ni wapi umewai kukemea udhalimu unaofanywa na Chama cha huyo mtu unayesema unam support??? Wamepora majimbo zaidi ya 80 kwa wapinzani kwa kujitangaza kuwa wamepita bila kupingwa huku wakifanya udhalimu wa kila aina, Ni wapi umekemea haya kama wewe unasimamia ukweli????
Mkuu, anza na hili halafu nitarudi:Nani amewajazia 'kitaalamu na kiusahihi' wagombea wa CCM? Inaruhusiwa kujaziwa fomu za kugombea?
 
Mkuu wanaccm tunachagua chama,hayo Mambo ya sera sijui nini ni secondary kwetu
Mkuu Magufuli anabebwa na silka yake, mwaka 2015 kipindi vikao vinaendelea pale Dodoma Kila mtu alitega sikio kujua nani atapewa kijiti kupeperusha bendera ya chama Cha CCM, binafsi kipindi hicho nilikuwa dilema! Sikujua Nani naweza kumpa kura yangu zaidi ya Dr. Slaa, lakini nafsi yangu nikisema Lowasa siwezi kumpa ata Membe siwez kumpa kura yangu!

Matokeo yakatangazwa pale ukumbi wa Jakaya Kikwete na JPM akashika usukani! Kwakweli sikuitaji kusikia sera wala maneno ya ziada cos CV ya Magufuli kwenye utendaji kazi naikubali Sana, nikaamua pasi na shakha kuwa Dr. Magufuli anaenda kupata kura yangu na kweli nilimpa kura yangu.

Watu huwa wanafanya mamuzi pale mgombea anapojulikana tu ila Kuna watu wanasubiri sera na hapa wapo wachache Sana ila pia wengine hufata mkumbo Kama mtu kujaza watu wengi viwanjan wakati wa kampen nao uhunga mkono hapohapo, hapa ndiyo Kuna kundi la vijana.
 
Nilitabiri humu na ikawa kweli kuwa Wagombea wakuu wa uchaguzi mkuu wa Rais mwaka huu ni Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu (Upinzani/CHADEMA) na Dr. John Pombe Magufuli (CCM). Ni katika andiko langu hili: Uchaguzi 2020 - Utabiri wangu 2020: Ni Dr. John Pombe Magufuli (CCM) na Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu (Upinzani) Urais. Tuwafuatilie; tuwachambue na tuwachague!. Katika andiko langu hilo, niliahidi mgombea wa kusimama naye katika kuelekea uchaguzi mkuu huu.

Wengi wetu tunajua kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeshakamilisha uteuzi wa wagombea wa Urais. Pia, tunafahamu kuwa kampeni za Urais zinaanza leo ambapo CHADEMA watazindua kampeni zao Mbagala, jijini Dar es Salaam. Kesho itakuwa zamu ya CCM kuzindua kampeni zao huko jijini Dodoma. Wapo wagombea wengi katika ngazi ya Urais. Lakini, Dr. John Pombe Magufuli, Rais wa sasa wa Tanzania na mgombea wa CCM pamoja na Wakili Msomi Tundu Antiphas M. Lissu wanabaki kuwa wagombea wanaofuatiliwa Zaidi.

Ndiyo kusema, katika ngazi ya Urais, mchuano mkali utakuwa kati ya wagombea hao wawili. Kama mtanzania wa kawaida, mfuatiliaji wa siasa na nisiye mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania na kwingineko, nawiwa kusimama na Dr. John Pombe Magufuli, mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM. Naahidi kumuunga mkono katika kampeni zake atakazozianza kesho na kumuombea kura pale itakapobidi kwa nafasi yangu. Sababu za kumuunga mkono nitazieleza katika siku zijazo humuhumu JF zikichagizwa na yatakayosemwa kwenye kampeni.

#Nasimama na JPM kwa miaka mitano mingine!
Usichoke mivyeo bado iko mingi
 
Kwasababu sheria ni taaluma ya makidai. Wao ndio wanajiona wamesoma kuliko watu wote. Wanasema katika kila fani/taaluma kuna aspect ya sheria

Bora wanajiita hivyo, unajua unaweza kujiita kitu chochote.

Kuna vitu wanafanya unabaki na maswali mengi.

Kupika kura ni haki yavkila mwenye vigezo. Lakini tunaambiwa kura ni siri. Mtu kumpenda au kuungana na mgombea sio tatizo ni haki yake, lakini ni siri yako unabaki nayo wewe.

Izingatiwe kampeni ndio rasmi zinaanza leo kwa wagombea kuanza kujinadi majukwaani, huyu anayejiita wakili msomi hata hajataka kusubiria asikilize wanasemaje wagombea ameshachagua upande huku akimalizia maamuzi yake yatazingatia kitakachosemwa, seriously?
 
Kura za upinzani zimeshagawanywa kwa wao kwa wao. Ccm itashinda maeneo mengi nafikiri mpaka level ya uraisi.

Hizo barabara ziandaliwe tu.

Hii hoja ya kura za upinzani kugawanyika huwa siielewi elewi sana kama chama kinakubalika kinakubalika tu ni kufanya kampeni na kujiamini tu huko kujifanya kuungana na hizo CCM B ndo kuzidi kujipoteza ni vema vyama serious vikasimsma vyenyewe na kujipigania badala ya kusema kura zinagawanyika hata za CCM pia zinagawanyika pia mbona kuna majimbo ya ubunge wapinzani huwa wanashinda bila hata ya wapinzani kuungana.
 
Unazungumza ukweli upi??? Ni wapi umewai kukemea udhalimu unaofanywa na Chama cha huyo mtu unayesema unam support??? Wamepora majimbo zaidi ya 80 kwa wapinzani kwa kujitangaza kuwa wamepita bila kupingwa huku wakifanya udhalimu wa kila aina, Ni wapi umekemea haya kama wewe unasimamia ukweli????

Achana naye huyu ana njaa Kali..lazima alambe makalio
 
Nilitabiri humu na ikawa kweli kuwa Wagombea wakuu wa uchaguzi mkuu wa Rais mwaka huu ni Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu (Upinzani/CHADEMA) na Dr. John Pombe Magufuli (CCM). Ni katika andiko langu hili: Uchaguzi 2020 - Utabiri wangu 2020: Ni Dr. John Pombe Magufuli (CCM) na Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu (Upinzani) Urais. Tuwafuatilie; tuwachambue na tuwachague!. Katika andiko langu hilo, niliahidi mgombea wa kusimama naye katika kuelekea uchaguzi mkuu huu.

Wengi wetu tunajua kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeshakamilisha uteuzi wa wagombea wa Urais. Pia, tunafahamu kuwa kampeni za Urais zinaanza leo ambapo CHADEMA watazindua kampeni zao Mbagala, jijini Dar es Salaam. Kesho itakuwa zamu ya CCM kuzindua kampeni zao huko jijini Dodoma. Wapo wagombea wengi katika ngazi ya Urais. Lakini, Dr. John Pombe Magufuli, Rais wa sasa wa Tanzania na mgombea wa CCM pamoja na Wakili Msomi Tundu Antiphas M. Lissu wanabaki kuwa wagombea wanaofuatiliwa Zaidi.

Ndiyo kusema, katika ngazi ya Urais, mchuano mkali utakuwa kati ya wagombea hao wawili. Kama mtanzania wa kawaida, mfuatiliaji wa siasa na nisiye mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania na kwingineko, nawiwa kusimama na Dr. John Pombe Magufuli, mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM. Naahidi kumuunga mkono katika kampeni zake atakazozianza kesho na kumuombea kura pale itakapobidi kwa nafasi yangu. Sababu za kumuunga mkono nitazieleza katika siku zijazo humuhumu JF zikichagizwa na yatakayosemwa kwenye kampeni.

#Nasimama na JPM kwa miaka mitano mingine!


TANZANIA HAKUNA UCHAGUZI KUNA UCHAFUZI NA NDIKO TUNAKOELEKEA KONGO MPYA HII
 
Upo sahihi, ila jiandae kuoga matusi na tuhuma kuwa ''umenunuliwa''.
Wakudadavua mlimuaminisha Mzee kuwa ni yeye tu, vyama vingine vimekufa . Sasa hila zote kwa wapinzani za nini kama kweli vyama vyao vimekufa ?!

Kutekana, kukimbia ofisi, mapingamizi ya kubumba , kunyang'anywa fomu, kuwekana ndani nk . Yoote haya ya nini kama upinzani umekufa !!
 
Nina matatizo makubwa sana na tabia za Magufuli, ila ninakubaliana 100% kwa misimamo yake kutetea maslahi ya kitaifa, na vile vile nina matatizo makubwa sana na busara za lissu ingawa nakubaliana naye 80% kuwa inabidi sheria zifuatwe.
Tatizo lenu mnadhani ccm ndio Taifa yani kuilinda ccm na bunduki ndio kulinda Taifa? hebu kuweni serious
 
Hapa at least ulisema jambo!!! Sio kwa hizo thread ulizoleta hapo juu ambazo hukukemea lolote!!!

Sasa kwa haya uliyoyasema mwaka 2017??? How comes unam support mgombea wa hicho chama na hicho Chama kwenye uchaguzi huu???? Au kwa sababu kipindi hichi kabudi hakuwepo kwenye ulaji????
 
Back
Top Bottom