Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
UMEONA EEEEEHH... WANAWAKE WANA KAZI SANAPoleni sana wakina dada, mnataabika kwa kiasi kikubwa juu ya miili yenu, hebu achaneni na wakati, acha wakati uende na sio kukimbizana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMEONA EEEEEHH... WANAWAKE WANA KAZI SANAPoleni sana wakina dada, mnataabika kwa kiasi kikubwa juu ya miili yenu, hebu achaneni na wakati, acha wakati uende na sio kukimbizana nao.
Kabisa mkuuKati ya vitu vyakukwepa dunia ya sasa nipamoja na wanawake.Kama unafanya biashara au kazi yakukutana na wanawake unatakiwa uwe makini sana.
Nenda kachunguze utuletee ubuyu kamili basi☺️Lakini ukiangalia kiubinadamu hao wanawake ndio wendawazimu, hizo aina za dawa tulizisikia zamani enzi za waganga kutumia mbinu hiyo ya ‘kuingiza’ dawa kwa wanawake sio zama hizi.
Ila wewe nae una balaa? Kwahiyo unataka kusema Zari nae ‘aliingiziwa’ dawa na Keshas? Hii mbona ni mpya?
Ni effect ya uzi wako pendwa wa kula tunda kimasihara 😀yani wanawakee makengeee sana haoo acha waliweee tu
Mnapeeeenda ubuyu, nikiwaletea wa moto mnaanza kunitisha kufungwa!Nenda kachunguze utuletee ubuyu kamili basi☺️
Kitu kizuri lazima kipingwe.Mnapeeeenda ubuyu, nikiwaletea wa moto mnaanza kunitisha kufungwa!
Wanawake wana mambo mengi sana.Keshas na huyu Niiteboshen wa Tattoo ndo watu wanaoweza kusimama na kutamka kuufurahia uhuru uliopatikana 1961.
DahKeshas na huyu Niiteboshen wa Tattoo ndo watu wanaoweza kusimama na kutamka kuufurahia uhuru uliopatikana 1961.
Ila jamaa kawafaidi sanaWanawake wana mambo mengi sana.
Ni effect ya uzi wako pendwa wa kula tunda kimasihara 😀
Wanawake wanadanganyika kirahisi sanajamaa kawalaa sana..angewapa na ngomaa maana wapumbavuu mnoooo.
watu wamemuonea wivuuu...ila ataendelea kuyapataa mtahiraa yapo mengi sanaa. mtu anakwambia aliambiwa angiziwe dawa kwa dudu akakubalii leo utasemaje amebakwa??? mtu anatoa laki 9 aingiziwe dawa apunguee 😀 😀 😀 😀 😀 ni upepo mbaya utapita jamaa atapata wateja wengi zaidiIla jamaa kawafaidi sana
Sjui anaendelea kuwafaidi au
Ova
Hahaha..kuwaongopea kwamba ili matumbo yao yapungue basi itabidi aingize dawa kwenye uume wake na kuwaingizia hao wadada ili dawa ikayayushe hayo mafuta,
Saluni kafunga kwa muda.Ila jamaa kawafaidi sana
Sjui anaendelea kuwafaidi au
Ova
Wala jamaa hana tatizo wanawake hao wamependa wenyewewatu wamemuonea wivuuu...ila ataendelea kuyapataa mtahiraa yapo mengi sanaa. mtu anakwambia aliambiwa angiziwe dawa kwa dudu akakubalii leo utasemaje amebakwa??? mtu anatoa laki 9 aingiziwe dawa apunguee 😀 😀 😀 😀 😀 ni upepo mbaya utapita jamaa atapata wateja wengi zaidi
Dah aise,ila kafaidi sanaSaluni kafunga kwa muda.
MakubwaYani mimi kitu ambacho sielewi hivi siku hizi guts na haya wanawake wameiweka wapi hadi anaweza kwenda akamvulia mwanamme eti ampake dawa kwenye K au amnyoe mavuzi. Kwa kweli dunia iko kasi sana.