Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Kuna single Maza ni boss wangu,, aiseee kuna wanawake ni wataamuuuu
😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna single Maza ni boss wangu,, aiseee kuna wanawake ni wataamuuuu
Ni kweli mkuuUkifika umri huo unaweza kufanya hivyo japokuwa akili za umri huo za wanaume zinazidi kuvutiwa na vibinti Vidogovidogo kwani huo ndio uanaume
🤣🤣Walikufanya nini
Huu uzi ni mahsusi kwangu wakuu au..? 😁😁🙌🙌🙌🙌
Tupo busy na Vikao vya chama!
Nitamfikishia ujumbe huu Mh TUNDU LISU
🤣🤣🤣Hii nimeiona live aisee...Leo leo ni hatari na kikao kinapinga vikali 😅
Mimi nina watoto na mama watoto zangu wote wameolewa na wanajitambua , na pia kuna mipaka mikubwa kati yangu na wao .Hiyo inatokea lakini waulize waliooa Single mother watakuambia.
Kuoa single mother kuna matatizo mazito zaidi ya Hilo la kuchapiwa ambalo unafukuza tuu.
Sasa unakuta hauchapiwi lakini hizo kero za hapa na pale unazozipata ni Hatari tupu
Wewe si unawatoto, unawasiliana na Mama zao, huwezi Amini wanaume waliooa hao wanawake uliowazalisha wote kwa huyo mwanamke mnanafasi Sawa. Hasa kama alikuwa anakupenda au anamhudumia
Ni kweli mkuu
Tuishi nao kwa akiliOgopa Sana mwanamke.
Mimi nina watoto na mama watoto zangu wote wameolewa na wanajitambua , na pia kuna mipaka mikubwa kati yangu na wao .
Japo mambo hayo yapo ila inategemea mtu na mtu.
Sahih, na wengi yanaowakuta haya wala hawakuoa SINGLE MAZA.Unaweza usioe single maza ukaoa fresh kabisa ila ukachapiwa watoto wote na mwamba mwingine tu .
Hakika, ifikie hatua vijana waipende mioyo yao kwanza...Hawajawahi nifanya kitu.
Ila najua mishemishe Zao.
Rafiki yangu Babaake NI mganga, nilikuwa nashinda Kule wakati Fulani kwa huyo Mzee, Kipindi nipo O Level kuna mambo niliyaona kuhusu wanawake. Hatari Sana.
Alafu ni wanawake wenye kuheshimiwa kwenye jamii na ambao huwezi wadhania
Ktk aina 3 za single maza, mada yako inazungumzia aina ipi zaidi?
1.alieachika
2.aliezalia home
3.mjane
Ujumbe mzuri kabisa kwa single moms ila usivuruge mipango yetu😂🤣🤣🤣Hii nimeiona live aisee...
Ila singlemoms tusiingie kwenye ndoa kwa mihemko tu,tukalia mpaka kaburini kwa majuto.
Furaha binafsi ni kitu muhimu sana
Alafu kaka vipi ugomvi wako na shemeji kuhusu kumwandikia page sita kujibu swali la <<kwanini mpaka umri huo huna gariHuu uzi ni kwaajili ya vijana wakaidi
Sahihi kabisaMimi nina watoto na mama watoto zangu wote wameolewa na wanajitambua , na pia kuna mipaka mikubwa kati yangu na wao .
Japo mambo hayo yapo ila inategemea mtu na mtu.