Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

🤣🤣Walikufanya nini

Hawajawahi nifanya kitu.
Ila najua mishemishe Zao.

Rafiki yangu Babaake NI mganga, nilikuwa nashinda Kule wakati Fulani kwa huyo Mzee, Kipindi nipo O Level kuna mambo niliyaona kuhusu wanawake. Hatari Sana.
Alafu ni wanawake wenye kuheshimiwa kwenye jamii na ambao huwezi wadhania
 
Hiyo inatokea lakini waulize waliooa Single mother watakuambia.

Kuoa single mother kuna matatizo mazito zaidi ya Hilo la kuchapiwa ambalo unafukuza tuu.

Sasa unakuta hauchapiwi lakini hizo kero za hapa na pale unazozipata ni Hatari tupu

Wewe si unawatoto, unawasiliana na Mama zao, huwezi Amini wanaume waliooa hao wanawake uliowazalisha wote kwa huyo mwanamke mnanafasi Sawa. Hasa kama alikuwa anakupenda au anamhudumia
Mimi nina watoto na mama watoto zangu wote wameolewa na wanajitambua , na pia kuna mipaka mikubwa kati yangu na wao .


Japo mambo hayo yapo ila inategemea mtu na mtu.
 
Hawajawahi nifanya kitu.
Ila najua mishemishe Zao.

Rafiki yangu Babaake NI mganga, nilikuwa nashinda Kule wakati Fulani kwa huyo Mzee, Kipindi nipo O Level kuna mambo niliyaona kuhusu wanawake. Hatari Sana.
Alafu ni wanawake wenye kuheshimiwa kwenye jamii na ambao huwezi wadhania
Hakika, ifikie hatua vijana waipende mioyo yao kwanza...
Mahusiano ya kimapenzi kwa sasa yameingiliwa na mdudu
 
Back
Top Bottom