Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

Singo mazazi jamani waliwakosea nini? Kwani walijitomba na kujizalisha wenyewe? Mbona chuki hivi dhidi yao kila siku hapa JF? Tatizo hasa ni nini? 😳

Sio chuki
Tunaeleza uhalisia wa mambo.
Kama vile wanawake wanavyoelezea uhalisia wao kuhusu kukataa wanaume Maskini.
Sio kama wanachuki na wanaume Maskini ila wanazungumzia ukweli wa magumu watakayoyapata wakiwa na wanaume wasio na Pesa.

Vivyohivyo vijana lazima wapewe miongozo
 
Kweli kabisa mkuu, maana mbingu na ardhi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana vimewalaani pia...
 
Hata usipo oa huyo single Maza , [emoji23][emoji23] kama mwanamke uliyemuoa Hana heshima na adabu atakufedhehesha zaid ya huyo single Maza Nina mashoga zangu walio kwenye ndoa zao na waliolewa vibint bila watoto ila wanachepuka mpaka mim najisikia aibu

Labda uyo mwanamke unayemtaka wewe ambaye Bora zaid ya single mama umuumbe mwenyewe kama robot Ili umcontrol
 
Ila olyaga ahene ubhugali?
Nalyaga nkoyi. Aho namalūgūlya nūchima lyanikī lyamadako matale. Nilūmbaga sana.

Gīnehūbebe? Olyaga? Ochimaga? 😁👋

IMG-20230526-WA0000 (1).jpg
 
Three suitors one husband, kila mtu aoe/aolewe nafsi yake ilipo penda

Huu mfumuko wa kila kijana akisha ota mavuz anaingia mtandaoni kutoa ushauri unapanda Kwa kasi

Kwako Kuota mavuzi unaona ni Jambo kubwa Sana au kukomaa au unazungumzia nini hasa
 
Hata usipo oa huyo single Maza , [emoji23][emoji23] kama mwanamke uliyemuoa Hana heshima na adabu atakufedhehesha zaid ya huyo single Maza Nina mashoga zangu walio kwenye ndoa zao na waliolewa vibint bila watoto ila wanachepuka mpaka mim najisikia aibu

Labda uyo mwanamke unayemtaka wewe ambaye Bora zaid ya single mama umuumbe mwenyewe kama robot Ili umcontrol

Embu tueleze ni Kwa namna ipi ukimuoa single mother atakuzalia mzaliwa wa Kwanza?

Eleza Kwa namna ipi kijana mdogo badala ya ku-focus na maisha ya utafutaji awe na Kazi ya kumfurahisha mama na mtoto ambaye sio wake?

Eleza ni Kwa namna ipi, kijana atazuia mawasiliano na mzazi mwenza.

Wanawake wanasumbua lakini Single mother usumbufu wao kidogo unahitaji mwanaume mtu mzima ambaye ameshajipata au kashajikatia tamaa
 
Back
Top Bottom