Kwanini Lissu kaolewa ubelgiji?
Nimeshawaeleza watu humu tangia Jana kuwa CCM ndio iliyounda serikali hivyo Ina haki na inafanya kazi ya ukaguzi wa utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi, upinzani usitake kuleta chokochoko zake maana ilikataliwa kwenye uchaguzi mkuu uliiopita,
hivyo isubiri uchaguzi ukifika ikaombe Ridhaa ya wananchi , japo Ni ngumu Sana kwa upinzani kupata kura maana wananchi na watanzania walishawapuuza kwa Sasa kutokana na kukosa Sera na ajenda za kueleweka kwa wananchi
Vitajifuta vyenyewe kwa kukosa Sera na ajenda Kama Sasa, kwani Marekani umesikia wanapiga makerere uchaguzi ukipita? Huu Ni muda wa kazi kwa chama kilichopewaa kura,Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi, kwanini upangie vyama vingine kujieneza kwa miezi miwili tu kwa miaka mitano?. Kama ni hivyo basi ccm iruhusiwe kuwa chama pekee vingine vifutwe.
Maana hata ikifika kipindi Cha uchaguzi ni Yale Yale hakuna jipya.
Vijana wakitanzania, tunawahi kulewa sana madaraka tofauti na uhalisia wenyewe,bado kama vijana ktk Taifa hili tunasafari ndefu sana