econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwanini Lissu kaolewa ubelgiji?
Tupunguze siasa za majitaka hata Kama ni vyama tofauti. Tusifike kwenye kutukanana na kichafuana haitasaidia. Unamtukana Lissu kisa Nini. Lissu hayupo Tanzania Wala sio kiongozi.