Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Kama wewe ni bikira sawa usimpe ila kama siyo bikira basi ulisha vulia wanaume chupi sana tuu uko nyuma kwahiyo we endeleza tuu, mpeeee maana ni mpenzi wako sasa hivi kama ana kupenda Kweli sawa kama hakupendi Kweli ni sawa. Upendo wa mtu haupimwi kwa kumvulia chupi au kumnyima kitumbua.

[emoji15][emoji15]
 
Wewe km unapigwa paipu nyuma usifikiri hata Baba yako nae anafirwa kenge ndogo wewe

Sasa baba yangu kaingiaje mamy au unahisi ukiingiza wazazi ndio roho itaniuma my… mimi nimeongea ukweli huko nyuma kwako kunapumuaaa
 
Wewe endelea kuhamisha topic tu unapenda sana ushoga ndio maana ukaanzisha topic za ushoga ukihisi labda Mimi na-entertain ushoga sasa nakuambiaje km wewe unafirwa wewe fi.rwa tu Ila Mimi sijihusishi na hio ufirauni wako kenge mdogo wewe

Kwani mimi ndio nilianzisha mada au wewe mamy… kama wewe unaniita mimi mwanaume kwanini wewe nisikwite mwanamke ili tubadilishane jinsia maana una wivu sana mimi kuwa wa kike
 
Kwanza nakupongeza kwa msimamo huo! Ukitaka ndoa yenye heshima,usikubali Mwanaume akuchezee kabla ya kuolewa naye! Endelea na msimamo huo huo!
Lakini hakikisha vile vile na wewe hutoi mwili wako kwa wengine mbali na yeye!

Amen
 
Ilitoka bira kutegemea
Mmhhh kivipi, alafu hio story imewahi nikuta, na nime andika hapa hiyo thread mwanamke aliniambia bikira siku ananipa tunda baada ya kufosi sana nakuta hakuna bikira wala nini alafu anasema eti mbona siku ile nakuja kwako nilikuwa bikira sasa nikajiuliza bikira ile ilitoka akiwa kwenye daladala au vipi. Ila nikapiga chini sipendi uongo mimi aisee
 
Kwanza nakupongeza kwa msimamo huo! Ukitaka ndoa yenye heshima,usikubali Mwanaume akuchezee kabla ya kuolewa naye! Endelea na msimamo huo huo!
Lakini hakikisha vile vile na wewe hutoi mwili wako kwa wengine mbali na yeye!
Viaz hawa wanaliwa na kila mtu alafu anambania huyo
 
Back
Top Bottom