- Thread starter
- #141
Halafu wanaume huangalia vitu vingi sio sex tu.
Unapoanza kumpa vikwazo msubiri baada ya ndoa ataanza kufikiria huyu anaficha nini..
Mwanaume akujue hata mwili wako unafananaje, harufu yako ipoje..
Sasa mnakutana baada ya ndoa unamuona mwenzako ana harufu kama beberu..my friend..utajua hujui
Weee