Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Halafu wanaume huangalia vitu vingi sio sex tu.
Unapoanza kumpa vikwazo msubiri baada ya ndoa ataanza kufikiria huyu anaficha nini..
Mwanaume akujue hata mwili wako unafananaje, harufu yako ipoje..

Sasa mnakutana baada ya ndoa unamuona mwenzako ana harufu kama beberu..my friend..utajua hujui

Weee
 
Sasa mapenzi gani hayo?? Hutaki hela yake wala hutaki kunyanduana,,, wewe hujielewi. Kunyanduana ni muhimu kabla ya kuona. Lazima kutest mitambo, mpe tunda acha ushamba. Na usirudi tena kuomba ushauri wa kipuuzi kama huu hapa, kuna mambo ya muhimu ya kujadili humu JF.

Mambo gani muhimu munajadili Jf ndugu mkomentiji
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
utamkwaza sana na anaweza badili gia angani,

hivi unajua ndoa ni jumla ya yale mahitaji yote muhimu ambayo nyinyi wawili wanandoa watarajiwa mmethibitishiana na mmedhihirishiana kiroho na kimwili, kwa maneno na matendo kwamba kila moja kairdhika na alivyo mwenzie licha ya dosari na madhaifu ya kiroho na kimwili ya kibinadamu yaliopo?

ile ya kule kanisani na mahali pengine ni kudhihirisha tu kwa wazazi na kwa jamii kwamba sasa mtakua mnaishi pamoja ile ahabari ya kukutana kwa kificho hakuna tena....

ni kama dhambi ya uzinzi tu unaitenda kwanza moyoni halafu mkifika kule gest house kwenye vitendo ni kuithibitisha tu na kuigonga muhuri...

"zingatia kiroho na kimwili"
 
Utajuaje kama anayo hiyo ndogo bila kuiona? Utakutana na mkono wa tembo utoke mbio
Umenikumbusha mkasa mmoja

Kuna siku kuna Sista alikua anasimulia alikua na kibwana kimoja dereva wa Malori basi kipindi chote yapata Miezi 6 Jamaa alikua hajawahi kumgonga sasa huyo Sista akawa amemuomba Jamaa zawadi ya Simu, Jamaa akamwambia akirudi toka Zambia anamletea Simu watakutana sehemu basi siku zikasogea kweli siku ikafika Jamaa akarudi wakapanga wakutane 'Villa Hotel' Mawasiliano Simu 2000,

Kweli bibie akaenda mpaka Chumba Namba 10 wakawa wamepiga story za hapa na pale anampa zawadi yake ya Simu akafurahi sana Simu nzuri akaiset pale kila kitu wakatoka wakaenda kula chini tu pale kuna sehemu ya chakula baada ya kula wakapanda tena juu,

Sasa Sista akaenda kuoga akamaliza akarudi akamwambia Jamaa akaoge basi Jamaa akaenda kuoga aliporudi akarudi bila taulo Konga la Tembo 🍆 lipo nje nje tayari kwa shughuli

Sista ikabidi aishiwe pumzi na kuanza kumuomba Jamaa asimgonge,

Jamaa akamuuliza kwanini akasema lile Konga haliwezi ni kubwa sana basi Jamaa hakua na hiana akakubari hakufanya tamaa akasema Sawa basi tutalala hadi asubuhi bila kufanya chochote

Subiri inaendelea...
 
utamkwaza sana na anaweza badili gia angani,

hivi unajua ndoa ni jumla ya yale mahitaji yote muhimu ambayo nyinyi wawili wanandoa watarajiwa mmethibitishiana na mmedhihirishiana kiroho na kimwili, kwa maneno na matendo kwamba kila moja kairdhika na alivyo mwenzie licha ya dosari na madhaifu ya kiroho na kimwili ya kibinadamu yaliopo?

ile ya kule kanisani na mahali pengine ni kudhihirisha tu kwa wazazi na kwa jamii kwamba sasa mtakua mnaishi pamoja ile ahabari ya kukutana kwa kificho hakuna tena....

ni kama dhambi ya uzinzi tu unaitenda kwanza moyoni halafu mkifika kule gest house kwenye vitendo ni kuithibitisha tu na kuigonga muhuri...

"zingatia kiroho na kimwili"

Aya nipe mbwinu ya kuepukana na mimbaa
 
Mmmh anatoka subwawanga mkuu mpk Dar nimuwekee tomato si bora nimwambie asije
Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu
 
Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu
We nenda kamgonge tu na ukishamaliza kumgonga ndio akili zinarudi unaona Bora hata usingemgonga ungefanya shughuli zingine tu maana umeingiza dushe kwenye Jaba unaonekana una kibamia
 
Haya nenda kasome uzi wake mwingine ndipo ujue huyo unayemtetea ni mpumbavu afu uje unambie umemuelewa vp huyu mwenzako

Wewe nae umeganda kwenye nyuzi zangu kwani huoni zingine huko unang’ang’ania upumbavu

Nimegundua unapenda mambo ya kipumbavu ndio maana umeganda humu
 
Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu

Njoo tu my tufanye biashara
 
Back
Top Bottom