Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kwani toka lini mkakubali kuliwa?☺️Wewe jamaa unaonekana ni mbishi sasa Kama ananikula si ningesema hapa kwani umeelewa naomba ushaurii wa nini my mbona Kama unataka nitumie manguvu kukuaminisha wakati wa cuba wameshaelewa
Sitaki nataka ndiyo za kwenu.
Halafu unaombaje ushauri wa kutoa ama kubana mapaja yako?
Wewe ni mtu mzima ilitakiwa ufanye maamuzi huko huko kwako.
Huku unatafuta majawabu magumu.
NB ushauri huu ni iwapo wewe ni ke kweli maana mwandiko wako hauleweki.