Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Siyo sijiamini dear mambo yamebadilika siku hizi mtu anakudanganya anakupendaa kumbe ana upwiru akipiga anapita hivi sasa ndugu nitatifuliwatifuliwa na kila mwanaume?
Labda una hoja lakini utasubiri sana kwa mtindo huo.
Halafu nikwambie tu kwamba mwanaume anayekupenda utamjua tu maana na wewe utafeel kumpenda.
Tatizo unasubiri upendwe..wewe hutaki kupenda?

Utafikisha 30 ndo uanze kusema nataka mwanaume yoyote yule sichagui.
 
Ni hivi, hakuna mwanamke anakubali moja kwa moja kwamba anatoa penzi.

Kwa uzoefu wangu ni kwamba huyo jamaa anaenda kupewa penzi na huyu mwanamke.

My mimi ni mtu mmoja mgumu sana kuvua kyupi labda tu niwe na upwiru bila hivyo my huwezi hata kunusa punani yang
 
Labda una hoja lakini utasubiri sana kwa mtindo huo.
Halafu nikwambie tu kwamba mwanaume anayekupenda utamjua tu maana na wewe utafeel kumpenda.
Tatizo unasubiri upendwe..wewe hutaki kupenda?

Utafikisha 30 ndo uanze kusema nataka mwanaume yoyote yule sichagui.

Daah labda hapo kwenye mimi kusubiri kupendwa ndio umepiga kwa mshono… nahisi sijawah kupenda na ukweli natafutaga mtu wa kunipenda sio mimi nimpende
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Some stories have to be written because no one would believe the absurdity of it all....🤣
 
Kama kweli wewe ni mwanamke, basi jamaa anakukula. Hapa unatusanifu tu!

Wewe jamaa unaonekana ni mbishi sasa Kama ananikula si ningesema hapa kwani umeelewa naomba ushaurii wa nini my mbona Kama unataka nitumie manguvu kukuaminisha wakati wa cuba wameshaelewa
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Acha kumtesa mwanaume mwenzetu toa mzigo yaani mtu anachoma nauli rombo imesimama kumbe wewe unawaza kumkimbia.
 
My mimi ni mtu mmoja mgumu sana kuvua kyupi labda tu niwe na upwiru bila hivyo my huwezi hata kunusa punani yang
Kama anakuja kwa ajili yako, na wewe huna mpango wa kumpa papuchi, mwambie asije!

Naongea kwa uchungu maana kuna demu nilishawahi kumfungia safari kutoka arusha mpaka dar halafu nafika dar demu hatokei. Aisee nilikaribia kupata heart attack kile kipindi we acha tu.
 
Kama anakuja kwa ajili yako, na wewe huna mpango wa kumpa papuchi, mwambie asije!

Naongea kwa uchungu maana kuna demu nilishawahi kumfungia safari kutoka arusha mpaka dar halafu nafika dar demu hatokei. Aisee nilikaribia kupata heart attack kile kipindi we acha tu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] nimechekaa kwaiyo ulifanyaje
 
Daah labda hapo kwenye mimi kusubiri kupendwa ndio umepiga kwa mshono… nahisi sijawah kupenda na ukweli natafutaga mtu wa kunipenda sio mimi nimpende
Kama wewe hujui kupenda utasubiri sana mtu akupende. Itakuwa hupendeki..
 
Acha kumtesa mwanaume mwenzetu toa mzigo yaani mtu anachoma nauli rombo imesimama kumbe wewe unawaza kumkimbia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinachoniuma ni kuwa sijawah muomba hata mia halafu ajiongezi hata babe chukua hela usuke nataka nikija nikuone umependeza yeye anapanda tu gari
 
Kama wewe hujui kupenda utasubiri sana mtu akupende. Itakuwa hupendeki..

Tatizo vigezo vyangu kwao sivioni mfano mimi sipendii mwanaume mlevi sasa karibu wote wanaonifuata ni walevi nitapendaje huyo mtu
 
Back
Top Bottom