Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

My kutokuwa bikira haina maana ndio nivuevue chupi ndugu bado nina safari ndefu
Hata yeye atajiuliza kuwa kwanini umbanie au unataka kumwingiza mkenge asigundue labda
1. kitumbua kilishakatwa antena au
2. Unakitembeza sana kina gono pro max plus vipepe yaani kibaya baya tu. Au
3.Kinaharufu kali zaidi ya shombo la samaki. Au
4. Ni bwawa la kambale halina utamu.
Hapo utakula block na hutamuona tena.
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
kwendraaah

mwandiko wa dume huu.

wapi uliona demu haombi maokoto
 
Hata yeye atajiuliza kuwa kwanini umbanie au unataka kumwingiza mkenge asigundue labda
1. kitumbua kilishakatwa antena au
2. Unakitembeza sana kina gono pro max plus vipepe yaani kibaya baya tu. Au
3.Kinaharufu kali zaidi ya shombo la samaki. Au
4. Ni bwawa la kambale halina utamu.
Hapo utakula block na hutamuona tena.

Mmh mbona wengine wanakubali tu mpk ndoa
 
We Jhidanganye ,oghopa ,ni khatari ,mwanamme kamili hawezi kukaa muda wote huo! atakuwa siyo mzima au anasuza rungu pengine.
 
Nyie mnaosema kujasa server mnajua meseji ina kb ngapi? au mnazani zina MB.
Upumbavu wake jumlisha na upumbavu mingine ndio kujaza server. Halafu hizi sio sms kumbuka huku kuna kuweka video, pics n.k kwahy lazima zichukue nafasi kubwa
 
Back
Top Bottom