Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Yaani wanaume sijui mpoje yaani kwamba inamaana kwamba kama sina bikra ndio iwe tiketi ya kumpa kila ataeomba sasa nikifanya hivyo si nitajaza kijiji
Sasa ni kwanini huna bikra wakati huna mume?
 
Sasa Kama tayari ulishapoteza ubikra kwanini umnyime?

We jiandae kuachwa tu kwa sababu sidhani Kama huyo jamaa ataendelea kukuvumilia wakati wanawake wako wengi Sana mitaani
 
Siyo sijiamini dear mambo yamebadilika siku hizi mtu anakudanganya anakupendaa kumbe ana upwiru akipiga anapita hivi sasa ndugu nitatifuliwatifuliwa na kila mwanaume?
Ila kama hupendi kuliwaliwa hovyo unaweza kuwa waifu matirio.

Mfanyie intavyuu kiundani sana ujue ukweli wake kuhusu kukuoa. Ukihakikisha ni mkweli mpe tunda. Ukimnyima atajua hujamuelewa au unatifuliwa sana na mwingine, hivyo atasepa chap
 
Sasa mdogo wangu..
Unavyokataa kumpa..imagine mmeshaoana unakuta ana kibamia hawezi kukuridhisha utafanyaje?
Hakikisha yaliyomo yamo usije ukajuta baadae.
Au yeye akajuta baada ya ndoa anakuta hauna utamu wowote.

My dear...ndoa ni tendo. Mengine mbwembwe tu.
Wanafalsafa wa JF bhana..

Leo..sex sio kila kitu kwenye ndoa..

Kesho..sex ndo kila kitu kwenye ndoa

Tushike lipi??..
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
Ngoja ,sasa nikupe kichambo cha yombo msukuma ndio nikushauri, kadada kenyewe kabaya sura kama baba yaga kwenye filamu ya hell boy,miguu kama miti ya genge la mwananyamala,mkwapani unanuka harufu ya vitunguu vinavyoanza kuoza ,alafu unataka kumnyima mwenzio ,ebu mpe, eti akuwoe kwa shepu gani kama sabuni ya kuogea ya rungu, rangi haieleweki mweupe au mweusi kama kombati ya jeshi, mh. Subiri kwanza hapo nimeweka nukta utakuta chini kunanuka unaogopa ukimpa atakimbi ,au ukute ni bwawa la mwalimu nyerere unataka kumbakia kijana wa watu siku hizi tuna test mitambo kwanza ndio tunaoa mh ,bado sija maliza kenge wewe mchoyo wamekutumia wangapi bibi kizee wewe ndo ukamnyime kijana wa watu ,mchambia upupu we haya sasa natoa ushauri akija kila siku mwambie upo period
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
Ningekuwa mm ningekuuliza swali Moja tu, tangia uzaliwe hujawahi kusex??

Ukisema ndio, hiyo ndo tiketi Yako ya ndoa.. ukisema umewahi suala lako lakukataa halina mantiki kwangu na yaweza kuwa mwanzo wakupotea mazima
 
Back
Top Bottom