Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Kama jamaa kaleta posa then kakuvalisha pete ya uchumba na mahari amelipa mpe mzigo huo tena kiuno ukizungushe vzuri! La siivyo hakuna ndoa hapo.
 
Ona akili ya mwanamke.
Amegawa kwa wahuni wengi tu, right person hapewi.
Huyo jamaa atakupiga chini amuoe rafiki yako wa karibu.
Wanaume wa Sasa hawaoi bila kukagua Mali. Hatutaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Upumbavu wake jumlisha na upumbavu mingine ndio kujaza server. Halafu hizi sio sms kumbuka huku kuna kuweka video, pics n.k kwahy lazima zichukue nafasi kubwa
MKUU DUNIA YOTE YOTE INAENDESHWA NA UPUMBAVU HAMNA CHA MAANA. JARIBU SIKU MOJA CHAGUA CHANNEL YA TV UITAZAME ASUBUHI MPAKA USIKU UTAELEWA.
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
Km una bikra sawa, kwa hiyo unataka kuendelea kunyanduliwa huko wa ndoa ataka kiu wapi
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
Kama sio bikra toa huo uchakavu haraka
 
Kama hujawahi nyanduliwa usimpe hadi akuoe, ila kama umewahi nyanduliwa kwa chips na hukuolewa, basi haina maana, we mpe tu.
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
Kama sio bikra mpe hiyo k aichakate, haijalishi umevulia wangapi, K kitu gani bwana.??????

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Kuna tatizo unaliandaa wewe mwenyewe badae likaja kukutesa kwenye hiyo ndoa ukarudi hapa hapa kuomba tena ushauri.
 
HUTAKI KUMPA KIJANA MWANZIO,
UNAMPA YULE MUME WA MWENZIO.... BISHA
 
Wakati unasubiria akuoe akiwa na hamu ataenda kuzimalizia wapi??
 
mwenzenu ashaliwa sana kisha kuachwa, au utaolewa kisha siku ya kwanza tu utaachwa
sasa kwa hili hapa utaachwa bila kuliwa
 
Back
Top Bottom