Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda

Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
Wewe ni bikra?
 
Dume/dada linaendesha ID ya kike uzi unafikisha reply 296 page 15. 🀣 🀣 Nitachoma moto watu mimi
 
Foolish yani huna bk unataka kumnyima mtot wa watu utamu kuna binti ivo ivo nashukuru Mungu alinitenganisha nae yule kiumbe saiv kachaka mpaka anaona aibu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ inatosha evelyn
Kwamba ni 🀣🀣🀣🀣
images (1).jpeg
 
Upo around 28 halafu unakuja kutafuta attention na maoni ya watu humu. Mwanamume mwenye Nia ya kukuoa anajulikana. Kama akitaka kulimega hilo tunda muachie tu. Kwa umri wako huo Upwiru ukikuzidi huwa mnakuwaga na vitabia ambavyo ni vya hovyo hovyo, Kisirani, ukifanya jambo hufanyi kwa ufasaha. Kwanza kwa kipindi chote hicho Cha miaka 6 hujawahi kumegwa kisela na watu wengine? Na kama ulimegwa kwa nini kwa Mshikaji hutaki ? Kama nilivyosema Wewe unatafuta attentions za watu tu humu .
 
Back
Top Bottom