Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15]Mdogo angu, sasa ile siku ya hanimuni ukikuta shemela hana kidudu itakuaje? Au utaturudishia michango....au? [emoji849]
Daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kifo cha mende ndiyo kinakuwaje MkuuSio kila mahusiano lazima yaishie kwenye ndoa, wewe mpe tu ila usimpe stlye zote. Unaweza ukampa tu kifo cha mende.
Hiyo ni hadi uone live , kuelezea ni ngumuDaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kifo cha mende ndiyo kinakuwaje Mkuu
kumbe wa nyumban tutauana ujueMmmh anatoka subwawanga mkuu mpk Dar nimuwekee tomato si bora nimwambie asije
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vaa chupi nyeupe pedi wekea tomato
Ok,una haki ya kuchagua wa kumpa,uliamua kuwapa wale wa kupiga na kusepa,huyu mwenye nia njema na wewe unamnyima.Yaani hata Kama ndio nikitembeze kwa kila mtu et kisa sio
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi
Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu
Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda
Sasa ni hivi anakuja huku nilipo kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwa ajili yangu
Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa sina uhakika kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki
Yaani nasubirii awe mume ndio nimpe tunda
Ushaurii tafadhari namna ya kumkacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ok,una haki ya kuchagua wa kumpa,uliamua kuwapa wale wa kupiga na kusepa,huyu mwenye nia njema na wewe unamnyima.
Utasema kwamba huna imani kwamba atakuoa,wale uliowapa kabla ulikuwa na Imani nao au imekaaje hii?Unaweza hata kumkazia usimpe,lakini akala baada ya ndoa na akaona mzigo sio kiviile,akaanza kukuchiti ukiwa na ndoa naye.We mpe tu huo mzigo akague,akiridhika nao ataendelea na mchakato wa ndoa,asiporidhika pia fresh tu,mnapigana chini mapema,unasubiri mwingine aje akufanyie Vetting!
HahahaKama umewahi kulala na mwanaume haustahili ushauri wetu.
No need to teach a fool how to be stupid.
OK jiandae kimbiwa
HahahaEnzi hizoo huu ujinga nilifanyaa na nikaliwa hivyo hivyoo😄😄😄😄😄😂😂
SAMAHANI USIJE NITUKANA:My kutokuwa bikira haina maana ndio nivuevue chupi ndugu bado nina safari ndefu
Mwamba mbinguni utapasikia kupitia ZBC 2Ok,una haki ya kuchagua wa kumpa,uliamua kuwapa wale wa kupiga na kusepa,huyu mwenye nia njema na wewe unamnyima.
Utasema kwamba huna imani kwamba atakuoa,wale uliowapa kabla ulikuwa na Imani nao au imekaaje hii?Unaweza hata kumkazia usimpe,lakini akala baada ya ndoa na akaona mzigo sio kiviile,akaanza kukuchiti ukiwa na ndoa naye.We mpe tu huo mzigo akague,akiridhika nao ataendelea na mchakato wa ndoa,asiporidhika pia fresh tu,mnapigana chini mapema,unasubiri mwingine aje akufanyie Vetting!
MWAMBA WE TAFUTA MENDE ALIYEKUFA MGEUZE GEUZE NDO UTAJUADaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kifo cha mende ndiyo kinakuwaje Mkuu