Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Alokudanganya kwamba usipotoa tunda utaolewa ni mjinga, kutoa tunda na kutolewa ni vitu viwili tofaut. Mpe jamaa ale lakini mwambie swala la ndoa kwanza uone muelekeo wale
 
Sasa mdogo wangu..
Unavyokataa kumpa..imagine mmeshaoana unakuta ana kibamia hawezi kukuridhisha utafanyaje?
Hakikisha yaliyomo yamo usije ukajuta baadae.
Au yeye akajuta baada ya ndoa anakuta hauna utamu wowote.

My dear...ndoa ni tendo. Mengine mbwembwe tu.

Daaah ngumu hiyo
 
Alokudanganya kwamba usipotoa tunda utaolewa ni mjinga, kutoa tunda na kutolewa ni vitu viwili tofaut. Mpe jamaa ale lakini mwambie swala la ndoa kwanza uone muelekeo wale

Kwa kuongea analiongelea shida ni kuwa inaweza kuwa ni njia ya kutaka kunipata tu
 
Utasubiri sana, labda wale wanaosali TAG wanaweza kuvumilia mpaka waoe. Hiyo papuchi utazeeka nayo unasubiri 😂
Screenshot_20240311_160953_WhatsApp.jpg
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Usimkaribishe nyumbani kwako Na msionane sehemu za faragha kutaneni mazingira yenye watu msikutane mazingira YA kukaa wawili usiingie room YA hoteli au lodge atakapofikia
 
Itaota kutu hiyo na usipate mwanaume atayeelewa msimamo wako.

Ungekuwa bikra hapo sawa ungeweza kuendeleza msimamo wako.

Kama unajiamini wewe ni wife material utaolewa tu haijalishi umeliwa au la.
Inaonyesha hujiamini kwenye mambo mengine.

Siyo sijiamini dear mambo yamebadilika siku hizi mtu anakudanganya anakupendaa kumbe ana upwiru akipiga anapita hivi sasa ndugu nitatifuliwatifuliwa na kila mwanaume?
 
Back
Top Bottom