Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Daaaaaaah great thinker jamii forum wameisha, ila wamebaki waimba pambio na ngojera, afu watunzi wenyewe walishakufa.
Hivi kabla ujaandika ulifikiria nini?
 
Polisi wa Tanzania wafanye haya kwa ndugu wa Mwangosi ndo mje na porojo kama hizi. Mbona hatukuwasikia mkilaani mauaji ya Mwandishi asiye na hatia?View attachment 1464900
Hawa wote wangetumbuliwa hapo hapo, na hata pengine kuwekwa ndani na kufunguliwa mashtaka ya kubambikiziwa.

Siioni picha hii ikitokea hivi karibuni jirani na sisi.

Kadri ya kiasi cha kuua, ndio kadri ya kuzawadiwa kwa kazi nzuri jeshini.
 
Chadema wakiona muzungu meno yote nje

Sijui Mabeberu yaliwapa nini
Mamtu ya CCM bwana hao mnaowaita mabeberu wakiwapa misaada mnawaita wadau wa maendeleo wakiwachana kuhusu ujinga mnaoufanya mnawaita mabeberu
 
Uzuei kuna ignore list ww nilikusahau ngoja nikakuweke kwenye dustbin
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
wi kimeshakufa hiko chama au?mbona hujaulizia wanaharakati wa nnccr,cuf na tlp?
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Kwani Zitto ameshatoa tamko AU andiko kuhusu hilo?
 
Ccm wameshatoa?
Nilidhani utani kumbe kweli unapaswa kuwa "ignored"

Dear members pease "ignore" jingalao
Sasa Kama hujakubaliana na hoja yake ilikuwa haina haja ya kuwa mjinga kucomment pili ukitaka kumu ignore mtu ni uamuzi wako tu Sasa ukiifanya ya watu wote hujioni kuwa Ni usmall thinker wako unaonekana
 
Kuna vitu havisikiki hata sauti iwe kubwa kiasi gani.
 
Nasikia kesho watatoa tamko la kulaani

1 kugawa tausi

2 flyover ya ubungo kuanza kutumika

3 mauaji wanayo fanya polisi USA
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Kwani CCM wanaoongoza nchi wameshalaani?
 
Police Officers in Miami
 

Attachments

  • 2FD7AB86-644D-4046-9201-F41FDBF881A3.jpeg
    2FD7AB86-644D-4046-9201-F41FDBF881A3.jpeg
    179.3 KB · Views: 1
Sasa Kama hujakubaliana na hoja yake ilikuwa haina haja ya kuwa mjinga kucomment pili ukitaka kumu ignore mtu ni uamuzi wako tu Sasa ukiifanya ya watu wote hujioni kuwa Ni usmall thinker wako unaonekana
Huwezi kuwaacha watu wafakamie sumu eti kwa sababu ni hiyari ya moyo wao.
Kumjibu na kutokumjibu vina uzito sawa. Nimechagua kumjibu ili niwakurupushe wapumbavu kutoka mafichoni. Na kweli wamejitokeza.

Wito wangu ni ule ule jingalao apuuzwe.
 
Huwezi kuwaacha watu wafakamie sumu eti kwa sababu ni hiyari ya moyo wao.
Kumjibu na kutokumjibu vina uzito sawa. Nimechagua kumjibu ili niwakurupushe wapumbavu kutoka mafichoni. Na kweli wamejitokeza.

Wito wangu ni ule ule jingalao apuuzwe.
Huo ndio udumavu wa hoja zako hupendi itikadi yake achana nae ukiwa msemaji wa jf itakuwa ni kituko sasa,tukisema watu kama wewe ndio mnao haribu jf sikosei Soma kauli mbiu ya jf Ni nini halafu urudi zako FB
 
Huo ndio udumavu wa hoja zako hupendi itikadi yake achana nae ukiwa msemaji wa jf itakuwa ni kituko sasa,tukisema watu kama wewe ndio mnao haribu jf sikosei Soma kauli mbiu ya jf Ni nini halafu urudi zako FB
Narudia tena kwa maneno tofauti:-
Uongo ukiachwa bila kupingwa unakua ukweli, ndipo jukumu la kuusema ukweli nimelivaa.
 
Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani.

CC: Mmawia
Tunamsubiri Mbowe aongee na Taifa kuhusu kifo cha George Floyd maana na yeye siku hizi kajipa ukuu eti ataongea na Taifa. Vipi na yule Shoga wa Ubeligiji hana taarifa za mauaji kule Marekani?
 
Back
Top Bottom