Nasumbulia na tatizo la nguvu za kiume naomba msaada

Nasumbulia na tatizo la nguvu za kiume naomba msaada

Umejikondition vibaya sana,kukutibu wewe ni changamoto
Tiba ya kwanza ni kuamua kuacha kabisa matumizi ya huo mkongo,then ndiyo utumie dawa ya kuimarisha misuli yako vizuri
 
hakuna mwanaume ambae anaweza kuwa na tatizo la nguvu za kiume na ashindwe kulitibu,zifuatazo ni njia ambazo unaweza kuzitumia kutibu tatizo hilo
1-badilisha mindest yako-hiki ndicho kichocheo kikuu cha tatizo hili wengi huwa na mawazo kuwa wana upungufu wa nguvu za kiume na hatimae hata kwenye performance yao kweli uwezo hushuka,ukiwa na perception kuwa huna tatizo hilo basi perfromace yako itakuwa ya wastani aua itakuwa ya juu

2-usiwe na papara ,katika tendo jitahidi usiwe na papara nenda taratibu kwa mwanzo kadiri inavyowezeka,ili uweze kuondoa early ejaculation, pale unapopata joto la ghafla ni rahisi kupata early ejaculation hivyo ni lazima kulicontroll joto linaloingia mwilini mwako kupitia slowness ya kufanya tendo kwa gari kuingia gereji,lakini pia kama unaweza jaribu kutoweka full concentration katika tendo hii itakusaidia kutopata hilo tatizo la early ejaculation pia jaribu kupata mtu ambae ana jua tatizo lako na kuweza kwenda na wewe sambamba

3-mazoezi-hii ndio funga kazi ,na hii ndio njia kuu ili uweze kutibu tatizo hilo la erly ejacultion,uume kutokuwa ngangari na kushindwa kurudia roundi ni lazima misuli ya uume yako iwe imara na hadfdb hivyo kutibu hilo tatizo ji lazima uongeze msukumo wa damu katika mwili na mwili upate kutoka jasho mara kwa mara ,na hilo linawezekana kupitia mazoezi tu ,kutumia dawa sio njia sahihi hata kidogo kwani huleta kilema (addicted) miongoni mwa mazoezi mazuri ya kutibu tatizo hili ni mazoezi ya keagal na mountain climber(yaangalie kupitia youtube)

4-pia kama ni mtumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume acha mara moja au punguza kidogo kidogo mpaka hatua ya kuacha lakini pia kama unapendelea kuangalia movies za porn acha kabisa tena mara moja kwani zina athari mbaya mno kwa akili na mwili kwa ujuma wake zinapelekea kutamani kujichua muda wote na kukufanya usione ladha pindi unapokutana na mwenza wako,.


kwa sasa pokea njia hizo nikikumbuka zingine nitarudi,
Joseph midimu
 
Dawa kanunue manemane Duka la dawa za asili, loweka kwenye maji kunywa asubuhi au jioni na tatizo linakwisha.
 

Attachments

  • Screenshot_20240930-064942_WhatsAppBusiness.png
    Screenshot_20240930-064942_WhatsAppBusiness.png
    698.2 KB · Views: 24
Suala la nguvu za kiume ni tatizo la mfumo wa mwili,shida ni pale mtu anataka kupona siku tatu! Wanaosikiliza ushauri na kuzingatia tiba kwa maekekezo wanapona kabisa ila wachache wanaotaka atumie tiba siku ya tatu tu eti aalike demu wake gheto hao ndiyo wanabaki kutapatapa tu bila kupona.
 
NISAIDIE SASA,,DAWA.
Kuna mhindi anatangaza dawa za asili yuko pale kariakoo na mikoa 13 ntakurushia namba huku ana dawa inaitwa ujana ila ukinywa akikisha ukimaliza uwe na demu karibu unaweza baka

Kingine achana na mkongo unaharibu mishipa

2.wska mind zako kwamba unaweza kumbato bila mkongo hii muhimu sana
Pia usipige puñyetoooo

3 hii n kwa 💯
Chukua
Maji ktr moja
Weka mdalasini
Limao
Binzari njano
Vitunguusaumu
Ginger za kutosha

Chemsha hii kama juice yako kunywa asbh na jion nusu saa kabla ya mechi kila siku

2.chukua

Tango
Limaoo
Chungwa kama lipo
Karanga mbichi
Almond
Sagaaaaaaaaa
Ukimaliza weka maji ktr 1 ya uvuguvguu
Ukimaliza weka asali vijiko viwili
Kunywa kama juice yako mwezi
Njoo uniambie mrejeshoooo.....

Else kama unataka kuongeza urefu chukua vaseline og chemsha
Chukua limao miminia baada ya kuchemsha
Chukua tango ulilosaga changanya
Ikiwa ya moto paka ilekitu tokea nuuma kwenda amble wiki 3 njoo nipe mrejesho

All n all mwamini Mungu anaweza na atafanya

Dk Pdidytz
 
Back
Top Bottom