COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,821
Mkuu NIMEKUTUMIA pmChubu nishapk nyingi 50 zinafk nishakunywa madawa mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu NIMEKUTUMIA pmChubu nishapk nyingi 50 zinafk nishakunywa madawa mengi sana
Huyu ni ngoma tu hakuna kingine mkuuLabda upime na HIV ndugu yangu
Vitunguu saumu na presha ya kushuka unakufa?Pole kwa maswahibu. Kama unahitaji dawa ya kienyeji, chukua punje 10 za kitunguu swaumu vitwangwe na weka chumvi kidogo na maji ya vuguvugu kijko kimoja au viwili. Changanya then kunywa kwa siku 5 asubuhi na jioni. Visipokauka uchawi upo.
Unaweza paka hiyo alovera wakati unatumia swaumu.
Pia uwe unabadili boxer. Mtu boxer moja siku 2 khaaa... Na ukilala achia mbupu hizo zipate hewa.
Tahadhari: Kama una presha ya kushuka usitumie vitunguu swaumu utakufa.
Nipe mrejesho next week 28/07/2021.
Hapana wapendwa ni FANGASI SUGUHuyu ni ngoma tu hakuna kingine mkuu
Mpaka inakuwa sugu ulikuwa wapi mkuu, ngoma umecheki lakini usiogopeHapana wapendwa ni FANGASI SUGU
Mkuu siyo Mimi. Mimi ni mchangiaji mwenzako tu.Mpaka inakuwa sugu ulikuwa wapi mkuu,ngoma umecheki lakini usiogope
Huwa wanapuuzia mwisho we ndo Kama hivyo SUGUMpaka inakuwa sugu ulikuwa wapi mkuu,ngoma umecheki lakini usiogope
Unaongea utopolo mtuI can advice,
Jaribu dawa ya meno Whitedent Herbal. Ile ya kijani. Paka twice per day mpaka upne tatizo linapungua.
NB: kabla ya kupaka oga kwanza na ukauke.
I wish you quick recovery
Ulikuwa unamaliza dozi au huwa unaacha baada ya kupata nafuu. Umepima ukimwiChubu nishapk nyingi 50 zinafk nishakunywa madawa mengi sana
Hili nalo la msingiLabda upime na HIV ndugu yangu
Mkuu 100°C unataka aive Hadi nyama?????Dawa ya uwakika chemsha maji ya moto 100 degree Celsius hafu changanya na chumvi ambayo imeiva pamoja na maji, jikande, maumivu makali lakini utapona
Drum..ndio kipimo gani?Pole sana Fungus zinatesa sana ,nadhani wadau washakupa muongoz! Inaonekana fungus yako ni ya ndani kwahiyo lazima unywe vidonge au kuchoma sindano! Pia jaribu kupima "DRUM".
Hutapata msaada kwa sababu hujasema ni dawa zipi umetumia ili sasa ushauriwe kutumia dawa zingine.Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
[emoji851][emoji851][emoji851] pale anapojikanda joto linashukaMkuu 100°C unataka aive Hadi nyama?????
Drum..ndio kipimo gani?